Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

polisi

  • Polisi: Watu 16 wameuawa kwa risasi katika maandamano nchini Sudan

    Polisi: Watu 16 wameuawa kwa risasi katika maandamano nchini Sudan

    Apr 13, 2019 08:09

    Polisi nchini Sudan imesema kuwa, kwa akali watu 16 wameuawa huku wengine zaidi ya 20 wakijeruhiwa katika maandamano ya Alkhamisi na jana Ijumaa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.

  • Wamarekani weusi waandamana kupinga kitendo cha kufutiwa mashtaka polisi mzungu aliyeua kijana mweusi

    Wamarekani weusi waandamana kupinga kitendo cha kufutiwa mashtaka polisi mzungu aliyeua kijana mweusi

    Mar 23, 2019 13:53

    Wanasheria na familia ya kijana mwenye asili ya Kiafrika aliyeuawa na polisi mzungu nchini Marekani wamefanya maandamano mbele ya mahakama wakilaani kitendo cha kufutiwa mashtaka polisi huyo muuaji katika jimbo la Pennsylvania.

  • HRW: Polisi ya Kongo DR iliua watu 27 katika 'Operesheni ya Likofi'

    HRW: Polisi ya Kongo DR iliua watu 27 katika 'Operesheni ya Likofi'

    Feb 22, 2019 02:29

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema polisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo iliwaua watu 27 katika operesheni dhidi ya magenge ya uhalifu katika mji mkuu Kinshasa, mwaka jana.

  • Askari polisi 10 waviziwa na kuuawa kaskazini mwa Burkina Faso

    Askari polisi 10 waviziwa na kuuawa kaskazini mwa Burkina Faso

    Dec 28, 2018 15:57

    Maafisa 10 wa polisi ya Burkina Faso wameuawa katika hujuma dhidi yao katika eneo la Toeni, kaskazini magharibi mwa nchi karibu na mpaka wa Mali.

  • Polisi Nigeria wawashambulia kwa risasi Waislamu katika maombolezo ya Ashura

    Polisi Nigeria wawashambulia kwa risasi Waislamu katika maombolezo ya Ashura

    Sep 22, 2018 03:11

    Polisi nchini Nigeria wamewafyatulia risasi Waislamu waliokuwa katika maomboleza ya ashura na kujeruhi baadhi yao.

  • Magaidi 22 wa genge la Boko Haram wanaswa nchini Nigeria

    Magaidi 22 wa genge la Boko Haram wanaswa nchini Nigeria

    Jul 19, 2018 07:55

    Polisi ya Nigeria wametangaza kwamba maafisa usalama wa nchi hiyo wamewatia mbaroni wanachama 22 na viongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Aliyekuwa mlinzi wa Bin Laden atiwa mbaroni nchini Tunisia

    Aliyekuwa mlinzi wa Bin Laden atiwa mbaroni nchini Tunisia

    Jul 15, 2018 07:16

    Mlinzi wa aliyekuwa kiongozi wa mtandao wa al Qaida, Usama bin Laden ametiwa mbaroni nchini Tunisia, baada ya kutimuliwa nchini Ujerumani.

  • Sheikh Zakzaky hajulikani alipo, njia za mawasiliano zakatwa

    Sheikh Zakzaky hajulikani alipo, njia za mawasiliano zakatwa

    May 20, 2018 07:21

    Harakati ya Kiislamu Nigeria imeeleza juu ya wasi wasi ilionao kuhusu uwepo wa kiongozi wao, Sheikh Ibrahim Zakzaky, na kubainisha kwamba njia ambazo zilikuwa zikitumiwa na familia na watu wa karibu naye kwa ajili ya mawasiliano zimekatwa.

  • Kanisa Katoliki Kongo DR lalaani vikali ukandamizaji wa polisi dhidi ya wafuasi wake

    Kanisa Katoliki Kongo DR lalaani vikali ukandamizaji wa polisi dhidi ya wafuasi wake

    Jan 05, 2018 08:02

    Kanisa Katoliki nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limelaani vikali vitendo vya ukatili na ukandamizaji walivyofanyiwa watu waliokuwa wamekusanyika kwa ajili ya shughuli ya kidini katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kinshasa.

  • HRW: Polisi wa Kenya waliwabaka wanawake wakati wa uchaguzi

    HRW: Polisi wa Kenya waliwabaka wanawake wakati wa uchaguzi

    Dec 14, 2017 15:53

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema makumi ya wanawake walibakwa na maafisa wa polisi wakati wa msimu wa uchaguzi mkuu mwaka huu nchini Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS