Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Putin

  • Putin: Kipaumbele ni kutuma nafaka za Ukraine kwa nchi zenye uhitaji mkubwa

    Putin: Kipaumbele ni kutuma nafaka za Ukraine kwa nchi zenye uhitaji mkubwa

    Sep 15, 2022 10:57

    Rais wa Russia Vladimir Putin amesema katika mazungumzo ya simu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kwamba "kipaumbele kinapaswa kuwa kupeleka nafaka za Ukraine kwa nchi zenye uhitaji mkubwa duniani.

  • Tofauti kati ya safari ya Biden na Putin eneo la Asia Magharibi

    Tofauti kati ya safari ya Biden na Putin eneo la Asia Magharibi

    Jul 19, 2022 08:34

    Baada ya safari ya Rais Joe Biden wa Marekani katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na Saudi Arabia, Rais Vladimir Putin wa Russia leo yuko safarini nchini Iran. Kuna tofauti za wazi kati ya malengo na ajenda za safari ya Biden na Putin katika eneo la Asia Magharibi. Rais Tayyip Erdoğan wa Uturuki pia yuko safarani nchini Iran kwa lengo la mkutano wa pande tatu wa marais wa Iran, Russia na Uturuki.

  • Rais wa Russia atoa jibu zito kwa maneno ya upuuzi ya waziri mkuu wa Uingereza

    Rais wa Russia atoa jibu zito kwa maneno ya upuuzi ya waziri mkuu wa Uingereza

    Jul 01, 2022 08:02

    Rais Vladimir Putin wa Russia amejibu kauli za kipuuzi na upayukaji za waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson alizotoa dhidi yake pembeni ya mkutano wa nchi wanachama wa G7.

  • Putin atangaza kutumwa kwa makombora ya Alexander huko Belarusi

    Putin atangaza kutumwa kwa makombora ya Alexander huko Belarusi

    Jun 26, 2022 07:44

    Rais wa Russia, Vladimir Putin alitangaza jana katika mazungumzo yake na rais mwenzake wa Belarus, Alexander Lukashenko huko St. Petersburg kwamba Moscow inapeleka mifumo ya makombora ya Iskander-M huko Belarus.

  • Putin: US, EU ziwajibishwe dunia ikitumbukia kwenye baa la njaa

    Putin: US, EU ziwajibishwe dunia ikitumbukia kwenye baa la njaa

    Jun 18, 2022 11:29

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema ukoloni mamboleo ndio umesababisha migogoro wa kibinadamu inayoshuhudiwa katika sehemu mbalimbali duniani; na kwamba Marekani na nchi za Ulaya ndizo zinazopaswa kubebeshwa dhima iwapo dunia itatumbukia kwenye baa la njaa.

  • Rais Ebrahim Raisi: Nchi huru zishirikiane ili kusambaratisha vikwazo vya mabeberu

    Rais Ebrahim Raisi: Nchi huru zishirikiane ili kusambaratisha vikwazo vya mabeberu

    Jun 09, 2022 07:15

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ushirikiano baina ya nchi huru katika kudhamini mahitaji yao ya pamoja kieneo na kimataifa ni jambo muhimu sana na ndiyo njia ya kusambaratisha mashinikizo ya madola yanayopenda kuziwekea vikwazo nchi nyingine.

  • Putin awaagiza wanajeshi wake kuizingira kikamilifu Mariupol

    Putin awaagiza wanajeshi wake kuizingira kikamilifu Mariupol

    Apr 21, 2022 12:02

    Rais Vladimir Putin wa Russia amewaagiza wanajeshi wa nchi hiyo kutovamia ngome ya mwisho ya Ukraine iliyosalia katika mji uliozingirwa wa Mariupol badala yake wauzingire mji huo ili hata nzi ashindwe kuingia katika mji huo.

  • Biden: Siombi radhi wala sibadili kauli yangu kuhusu Putin

    Biden: Siombi radhi wala sibadili kauli yangu kuhusu Putin

    Mar 29, 2022 07:54

    Rais Joe Biden wa Marekani amesema, haombi radhi wala hatobadili kauli yake kuhusu aliyosema kwamba Rais Vladimir Putin wa Russia hapasi kubaki madarakani.

  • Biden: Tutamjibu Putin iwapo atatumia silaha za kemikali

    Biden: Tutamjibu Putin iwapo atatumia silaha za kemikali

    Mar 25, 2022 08:05

    Rais Joe Biden wa Marekani ametangaza kuwa iwapo Rais Vladimir Putin wa Russia atatumia silaha za kemikali na kusababisha uharibifu mkubwa huko Ukraine Marekani itajibu hatua hiyo.

  • Peskov: Matamshi ya Biden dhidi ya Putin

    Peskov: Matamshi ya Biden dhidi ya Putin "hayasameheki", "hayakubaliki"

    Mar 17, 2022 03:23

    Msemaji wa Rais wa Russia Dmitry Peskov ameyataja matamshi yaliyotolewa na Rais Joe Biden wa Marekani dhidi ya mwenzake wa Russia, Vladimir Putin kuwa "hayakubaliki" na "hayawezi kusamehewa."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS