Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Putin

  • Putin na Kim watilia mkazo kuwepo uhusiano wa karibu zaidi kati ya Russia na Korea Kaskazini

    Putin na Kim watilia mkazo kuwepo uhusiano wa karibu zaidi kati ya Russia na Korea Kaskazini

    Aug 15, 2023 23:18

    Rais Vladimir Putin wa Russia na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un wameahidi kujenga ushirikiano wa karibu zaidi kati ya nchi zao mbili katika mawasiliano waliyofanya kwa barua kwa manasaba wa maadhimisho ya Siku ya Taifa ya Ukombozi wa Korea Kaskazini.

  • Putin: Russia iko tayari kushirikiaina kibiashara na nchi za Kiislamu

    Putin: Russia iko tayari kushirikiaina kibiashara na nchi za Kiislamu

    May 15, 2023 07:18

    Rais wa Russia ametangaza utayarifu wa nchi hiyo wa kuwa na ushirikiano mkubwa wa kibiashara na kiutamaduni na nchi za Kiislamu.

  • Putin asema: Wamagharibi wanataka kuigawa Russia

    Putin asema: Wamagharibi wanataka kuigawa Russia

    May 09, 2023 07:12

    Rais wa Russia ametangaza kwamba ustaarabu wa dunia unakabiliwa na mabadiliko makubwa, na kwamba lengo la Magharibi katika kueneza propaganda chafu dhidi ya Russia ni kuigawa nchi hiyo.

  • Erdogan: Uhusiano wangu na Putin ni wa

    Erdogan: Uhusiano wangu na Putin ni wa "ukweli na kuaminiana"; Macron "si mkweli"

    Jan 31, 2023 07:56

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema, uhusiano wake na Rais Vladimir Putin wa Russia na kwa ujumla kati ya nchi hizo mbili ni wa "ukweli na wenye msingi wa kuaminiana" na akamtaja Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuwa "si mtu mkweli".

  • Moscow yatoa onyo baada ya Washington kutishia kumuua Rais wa Russia

    Moscow yatoa onyo baada ya Washington kutishia kumuua Rais wa Russia

    Dec 27, 2022 03:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametoa indhari baada ya maafisa 'wasiojulikana' wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) kutoa vitisho vya kumuua Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo.

  • Putin: Nina uhakika wa asilimia 100 tutayateketeza makombora ya Marekani ya Patriot Ukraine

    Putin: Nina uhakika wa asilimia 100 tutayateketeza makombora ya Marekani ya Patriot Ukraine

    Dec 25, 2022 22:47

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuhusu uamuzi wa Marekani wa kutuma mitambo ya makombora aina ya Patriot nchini Ukraine, kwamba ana uhakika wa asilimia 100 vikosi vya jeshi la nchi yake vitayateketeza makombora hayo ya ulinzi wa anga ya Washington.

  • Rais Putin wa Russia kutohudhuria mkutano ujao wa G20

    Rais Putin wa Russia kutohudhuria mkutano ujao wa G20

    Nov 10, 2022 23:39

    Ikulu ya Rais wa Russia (Kremlin) imesema Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo hatoshiriki mkutano wa kundi la G20 unaotazamiwa kufanyika wiki ijayo mjini Bali nchini Indonesia.

  • Rais Putin: Kampuni kubwa 80 za Russia kwenda Iran wiki ijayo

    Rais Putin: Kampuni kubwa 80 za Russia kwenda Iran wiki ijayo

    Sep 15, 2022 23:37

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema Moscow imefanya kila iwezalo kuhakikisha kuwa Iran inakua mwanachama kamili wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO).

  • Putin: Kipaumbele ni kutuma nafaka za Ukraine kwa nchi zenye uhitaji mkubwa

    Putin: Kipaumbele ni kutuma nafaka za Ukraine kwa nchi zenye uhitaji mkubwa

    Sep 15, 2022 06:27

    Rais wa Russia Vladimir Putin amesema katika mazungumzo ya simu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kwamba "kipaumbele kinapaswa kuwa kupeleka nafaka za Ukraine kwa nchi zenye uhitaji mkubwa duniani.

  • Tofauti kati ya safari ya Biden na Putin eneo la Asia Magharibi

    Tofauti kati ya safari ya Biden na Putin eneo la Asia Magharibi

    Jul 19, 2022 04:04

    Baada ya safari ya Rais Joe Biden wa Marekani katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na Saudi Arabia, Rais Vladimir Putin wa Russia leo yuko safarini nchini Iran. Kuna tofauti za wazi kati ya malengo na ajenda za safari ya Biden na Putin katika eneo la Asia Magharibi. Rais Tayyip Erdoğan wa Uturuki pia yuko safarani nchini Iran kwa lengo la mkutano wa pande tatu wa marais wa Iran, Russia na Uturuki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS