Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Putin

  • Putin: Marekani inaitumia Ukraine kuidhibiti Russia

    Putin: Marekani inaitumia Ukraine kuidhibiti Russia

    Feb 02, 2022 08:09

    Rais wa Russia amesema kuwa Washington imejaribu kila iwezalo kuidhibiti Russia na inaitumia Ukraine kama wenzo wa kufanikisha lengo hilo.

  • Rais Raisi wa Iran kutembelea Russia leo, kukutana na Rais Putin

    Rais Raisi wa Iran kutembelea Russia leo, kukutana na Rais Putin

    Jan 19, 2022 03:28

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran leo anaelekea Russia kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo kuhusu masuala muhimu ya kieneo, kimataifa na ya pande mbili.

  • Putin: Umaskini ni adui mkuu wa Russia

    Putin: Umaskini ni adui mkuu wa Russia

    Oct 14, 2021 02:21

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa kiwango cha chini ya mapato ya aghalabu ya wananchi wa Russia ndio adui mkuu wa nchi hiyo na kueleza kuwa adui mkubwa zaidi wa Warussia ni mapatano ya kiwango cha chini ya mamilioni ya raia wa nchi hiyo.

  • Putin ataka kuhuishwa JCPOA katika muundo wake wa asili

    Putin ataka kuhuishwa JCPOA katika muundo wake wa asili

    May 01, 2021 13:16

    Rais Vladmir Putin wa Russia ametoa mwito wa kuhuishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuyarejesha katika muundo wake wa asili.

  • Rais Putin: Ugaidi ni tishio hatari zaidi kwa dunia

    Rais Putin: Ugaidi ni tishio hatari zaidi kwa dunia

    Feb 25, 2021 12:14

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema nchi yake itaendeleza vita dhidi ya ugaidi katika maeneo ya mbali kama vile Syria na kuongeza kuwa: "Ugaidi ni tishio hatari zaidi kwa dunia."

  • Putin: Vikwazo dhidi ya nchi zinazokabiliana na janga la corona vinapaswa kuondolewa

    Putin: Vikwazo dhidi ya nchi zinazokabiliana na janga la corona vinapaswa kuondolewa

    Dec 18, 2020 05:35

    Rais wa Russia amesisitiza katika mkutano wake wa kila mwaka kwamba, vikwazo na vizuizi vya kibiashara vilivyowekewa nchi ambazo zimeathiriwa na maambukizi ya corona vinapaswa kuondolewa.

  • Rais wa Russia asisitizia haki ya Wapalestina ya kupigania ukombozi wao

    Rais wa Russia asisitizia haki ya Wapalestina ya kupigania ukombozi wao

    Nov 30, 2020 04:36

    Rais Vladimir Putin wa Russia amemtumia ujumbe wa maandishi Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kushikamana na Taifa la Palestina na kusisitiza kuwa ni haki ya taifa hilo kupigania ukombozi wake.

  • Rais Putin wa Russia atangaza chanjo ya kwanza ya corora duniani, binti yake apewa chanjo hiyo

    Rais Putin wa Russia atangaza chanjo ya kwanza ya corora duniani, binti yake apewa chanjo hiyo

    Aug 11, 2020 12:14

    Rais Vladmir Putin wa Russia ametangaza leo kuwa, nchi yake imetengeneza chanjo ya kwanza kabisa ya virusii vya corona inayotoa kinga ya kudumu dhidi ya virusi hivyo.

  • Rais Rouhani asisitiza kuwa JCPOA itabakia hai kwa ushirikiano

    Rais Rouhani asisitiza kuwa JCPOA itabakia hai kwa ushirikiano

    Mar 01, 2020 03:09

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yataendelea kuwepo na kubakia hai madhali kutakuwepo na ushirikiano wa pande zote husika.

  • Putin atembelea Syria na kukutana Assad, atembelea mitaa ya Damascus

    Putin atembelea Syria na kukutana Assad, atembelea mitaa ya Damascus

    Jan 08, 2020 02:49

    Rais Vladimir Putin wa Russia jana aliwasili Damascus mji mkuu wa Syria na kukutana na Rais wa nchi hiyo, Bashar Assad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS