Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Putin

  • Rais Putin wa Russia ataka kuhitimishwa mgogoro wa Libya

    Rais Putin wa Russia ataka kuhitimishwa mgogoro wa Libya

    Dec 19, 2019 12:55

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema angependa kuona mgogoro wa Libya unapatiwa ufumbuzi na mazungumzo baina ya pande mbili hasimu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika yanaanza.

  • Putin ataka kuongezeka maradufu mabadilishano ya kibiashara kati ya Russia na Afrika

    Putin ataka kuongezeka maradufu mabadilishano ya kibiashara kati ya Russia na Afrika

    Oct 24, 2019 02:48

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametoa mwito wa kuongezeka maradufu mabadilishano ya kibiashara kati ya nchi yake na nchi za bara Afrika.

  • Putin: Nchi za Kiarabu ziheshimu Iran na maslahi yake katika eneo

    Putin: Nchi za Kiarabu ziheshimu Iran na maslahi yake katika eneo

    Oct 13, 2019 08:09

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameziasa nchi za Kiarabu na nyinginezo katika Ghuba ya Uajemi na eneo la Asia Magharibi kuiheshimu Iran na kuitambua kama taifa lenye uwezo mkubwa katika eneo.

  • Juhudi za Putin za kukabiliana na Magharibi; kuunda G-7 mpya na makombora mapya

    Juhudi za Putin za kukabiliana na Magharibi; kuunda G-7 mpya na makombora mapya

    Sep 07, 2019 11:31

    Katika miaka ya karibuni Russia imefanya ubunifu na kuchukua hatua kadhaa kwa ajili ya kukabiliana na nchi za Magharibi hususan Marekani au imewasilisha mapendekezo kadhaa katika uwanja huo.

  • Malengo halisi ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia

    Malengo halisi ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia

    Nov 18, 2018 07:02

    Uhusiano wa Marekani na Russia tangu baada ya kumalizika Vita Baridi umekuwa na pandashuka nyingi na mivutano ya mara kwa mara. Tangu mwaka 2011 Marekani imekuwa ikiiwekea vikwazo Russia kwa kutumia visingizio mbalimbali.

  • Putin: Operesheni za anga za Israel zinakiuka uhuru wa kujitawala Syria

    Putin: Operesheni za anga za Israel zinakiuka uhuru wa kujitawala Syria

    Sep 19, 2018 07:52

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema operesheni za anga za jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika anga ya Syria ni ukiukaji wa mamlaka na kujitawala serikali halali ya sasa ya Damascus. Putin amesema hayo huku mgogoro kuhusu ajali ya kutunguliwa ndege ya Russia katika anga ya Syria wakati wa shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nchi hiyo Kiarabu ukiendelea kutokota.

  • Qassemi: Yaliyozungumzwa baina Mjumbe wa Iran na Rais wa Russia hayajatangazwa

    Qassemi: Yaliyozungumzwa baina Mjumbe wa Iran na Rais wa Russia hayajatangazwa

    Jul 16, 2018 13:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Yaliyozungumzwa baina ya Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa na Rais Vladimir Putin wa Russia hayjatangazwa."

  • Kupuuza Mogherini na Putin mchezo wa kitoto wa Benjamin Netanyahu

    Kupuuza Mogherini na Putin mchezo wa kitoto wa Benjamin Netanyahu

    May 01, 2018 12:07

    Ikulu ya Russia Kremlin imetangaza kuwa, Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Benjamin Netanyahuu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Putin: Lengo la mashambulizi ya Magharibi lilikuwa kuwasaidia magaidi

    Putin: Lengo la mashambulizi ya Magharibi lilikuwa kuwasaidia magaidi

    Apr 25, 2018 14:02

    Rais wa Russia amelitaja shambulio la makombora la nchi za Magharibi huko Syria kuwa lilitekelezwa ili kuwasaidia magaidi.

  • Putin apata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa rais Russia

    Putin apata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa rais Russia

    Mar 19, 2018 04:22

    Vladimir Putin amechaguliwa tena kuingoza Russia baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi uliofanyika jana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS