-
Rais Putin wa Russia ataka kuhitimishwa mgogoro wa Libya
Dec 19, 2019 12:55Rais Vladimir Putin wa Russia amesema angependa kuona mgogoro wa Libya unapatiwa ufumbuzi na mazungumzo baina ya pande mbili hasimu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika yanaanza.
-
Putin ataka kuongezeka maradufu mabadilishano ya kibiashara kati ya Russia na Afrika
Oct 24, 2019 02:48Rais Vladimir Putin wa Russia ametoa mwito wa kuongezeka maradufu mabadilishano ya kibiashara kati ya nchi yake na nchi za bara Afrika.
-
Putin: Nchi za Kiarabu ziheshimu Iran na maslahi yake katika eneo
Oct 13, 2019 08:09Rais Vladimir Putin wa Russia ameziasa nchi za Kiarabu na nyinginezo katika Ghuba ya Uajemi na eneo la Asia Magharibi kuiheshimu Iran na kuitambua kama taifa lenye uwezo mkubwa katika eneo.
-
Juhudi za Putin za kukabiliana na Magharibi; kuunda G-7 mpya na makombora mapya
Sep 07, 2019 11:31Katika miaka ya karibuni Russia imefanya ubunifu na kuchukua hatua kadhaa kwa ajili ya kukabiliana na nchi za Magharibi hususan Marekani au imewasilisha mapendekezo kadhaa katika uwanja huo.
-
Malengo halisi ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia
Nov 18, 2018 07:02Uhusiano wa Marekani na Russia tangu baada ya kumalizika Vita Baridi umekuwa na pandashuka nyingi na mivutano ya mara kwa mara. Tangu mwaka 2011 Marekani imekuwa ikiiwekea vikwazo Russia kwa kutumia visingizio mbalimbali.
-
Putin: Operesheni za anga za Israel zinakiuka uhuru wa kujitawala Syria
Sep 19, 2018 07:52Rais Vladimir Putin wa Russia amesema operesheni za anga za jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika anga ya Syria ni ukiukaji wa mamlaka na kujitawala serikali halali ya sasa ya Damascus. Putin amesema hayo huku mgogoro kuhusu ajali ya kutunguliwa ndege ya Russia katika anga ya Syria wakati wa shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nchi hiyo Kiarabu ukiendelea kutokota.
-
Qassemi: Yaliyozungumzwa baina Mjumbe wa Iran na Rais wa Russia hayajatangazwa
Jul 16, 2018 13:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Yaliyozungumzwa baina ya Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa na Rais Vladimir Putin wa Russia hayjatangazwa."
-
Kupuuza Mogherini na Putin mchezo wa kitoto wa Benjamin Netanyahu
May 01, 2018 12:07Ikulu ya Russia Kremlin imetangaza kuwa, Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Benjamin Netanyahuu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Putin: Lengo la mashambulizi ya Magharibi lilikuwa kuwasaidia magaidi
Apr 25, 2018 14:02Rais wa Russia amelitaja shambulio la makombora la nchi za Magharibi huko Syria kuwa lilitekelezwa ili kuwasaidia magaidi.
-
Putin apata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa rais Russia
Mar 19, 2018 04:22Vladimir Putin amechaguliwa tena kuingoza Russia baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi uliofanyika jana.