Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Putin

  • Rais Putin: Kiongozi wa Korea Kaskazini ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili

    Rais Putin: Kiongozi wa Korea Kaskazini ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili

    Jan 12, 2018 04:37

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa, Kim Jong-un Kiongozi wa Korea Kaskazini, ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili na aliyepikika.

  • The Guardian: 2017 ulikuwa mwaka wa kuenea zaidi udikteta na kudhoofika Marekani

    The Guardian: 2017 ulikuwa mwaka wa kuenea zaidi udikteta na kudhoofika Marekani

    Dec 27, 2017 02:42

    Gazeti la Guardian linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa mwaka huu wa 2017 ulikuwa mwaka wa kuenea udikteta na uchoyo na kudhoofika zaidi uongozi wa Marekani.

  • Putin na Erdogan: Hatua ya Trump ina madhara kwa amani ya Mashariki ya Kati

    Putin na Erdogan: Hatua ya Trump ina madhara kwa amani ya Mashariki ya Kati

    Dec 08, 2017 03:08

    Marais wa Russia na Uturuki wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kuitaja hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuutambua rasmi mji mtakatifu wa Baitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni kuwa ni hatari na kwa madhara ya amani ya Mashariki ya Kati.

  • Rais wa Russia akutana na Rais wa Syria na kumpongeza kufuatia mafanikio dhidi ya magaidi

    Rais wa Russia akutana na Rais wa Syria na kumpongeza kufuatia mafanikio dhidi ya magaidi

    Nov 21, 2017 08:08

    Rais Vladimir Putin wa Russia amempongeza Rais Bashar al-Assad wa Syria kufuatia ushindi mkubwa wa jeshi la Syria dhidi ya magaidi.

  • Rais Putin: Machafuko eneo la Mashariki ya Kati yanasababishwa na kupenda kujitanua kwa baadhi ya pande.

    Rais Putin: Machafuko eneo la Mashariki ya Kati yanasababishwa na kupenda kujitanua kwa baadhi ya pande.

    Oct 20, 2017 04:50

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa, hali ya sasa ya eneo la Mashariki ya Kati imekuwa mbaya kutokana na njama za baadhi ya madola katika kulisukuma eneo hilo kuelekea kwenye maslahi yao binafsi.

  • Putin na Salman wakutana kwa mazungumzo ya faragha mjini Moscow

    Putin na Salman wakutana kwa mazungumzo ya faragha mjini Moscow

    Oct 06, 2017 08:19

    Mfalme Salman bin Abduaziz wa Saudi Arabia jana alikutana na Rais Vladimir Putin wa Russia katika ikulu ya Kremlin mjini Moscow.

  • Russia yatahadharisha kuhusu kuongezeka mivutano kati ya Magharibi  na Korea ya Kaskazini

    Russia yatahadharisha kuhusu kuongezeka mivutano kati ya Magharibi na Korea ya Kaskazini

    Oct 05, 2017 04:16

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametahadharisha kuhusu kuongezeka mivutano kati ya Magharibi na Korea Kaskazini.

  • Putin: Vikwazo vipya dhidi ya Korea Kaskazini havitakuwa na taathira yoyote

    Putin: Vikwazo vipya dhidi ya Korea Kaskazini havitakuwa na taathira yoyote

    Sep 05, 2017 14:15

    Rais wa Russia Vladimir Putin ametahadharisha kuhusu kuibuka mgogoro mkubwa wa kimataifa iwapo kadhia ya Peninsula ya Korea haitasuluhishwa kwa njia ya kidiplomasia.

  • Putin: Kuishinikiza Korea ya Kaskazini hakutakuwa na taathira

    Putin: Kuishinikiza Korea ya Kaskazini hakutakuwa na taathira

    Sep 01, 2017 08:06

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameishauri Marekani na waitifaki wake barani Asia kutochukua hatua za kuishinikiza Korea ya Kaskazini na ametoa wito wa mazungumzo ili kuhitimisha mvutano kuhusu miradi ya silaha za nyuklia za nchi hiyo.

  • Putin: Hakuna atakayepona katika vita vya nyuklia vya Marekani na Russia

    Putin: Hakuna atakayepona katika vita vya nyuklia vya Marekani na Russia

    Jun 07, 2017 07:16

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametahadharisha kuwa, iwapo Marekani itaamua kuingia katika vita vya nyuklia na nchi yake, hakuna upande utakaopona 'kusherehekea' ushindi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS