-
Rais Putin: Kiongozi wa Korea Kaskazini ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili
Jan 12, 2018 04:37Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa, Kim Jong-un Kiongozi wa Korea Kaskazini, ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili na aliyepikika.
-
The Guardian: 2017 ulikuwa mwaka wa kuenea zaidi udikteta na kudhoofika Marekani
Dec 27, 2017 02:42Gazeti la Guardian linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa mwaka huu wa 2017 ulikuwa mwaka wa kuenea udikteta na uchoyo na kudhoofika zaidi uongozi wa Marekani.
-
Putin na Erdogan: Hatua ya Trump ina madhara kwa amani ya Mashariki ya Kati
Dec 08, 2017 03:08Marais wa Russia na Uturuki wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kuitaja hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuutambua rasmi mji mtakatifu wa Baitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni kuwa ni hatari na kwa madhara ya amani ya Mashariki ya Kati.
-
Rais wa Russia akutana na Rais wa Syria na kumpongeza kufuatia mafanikio dhidi ya magaidi
Nov 21, 2017 08:08Rais Vladimir Putin wa Russia amempongeza Rais Bashar al-Assad wa Syria kufuatia ushindi mkubwa wa jeshi la Syria dhidi ya magaidi.
-
Rais Putin: Machafuko eneo la Mashariki ya Kati yanasababishwa na kupenda kujitanua kwa baadhi ya pande.
Oct 20, 2017 04:50Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa, hali ya sasa ya eneo la Mashariki ya Kati imekuwa mbaya kutokana na njama za baadhi ya madola katika kulisukuma eneo hilo kuelekea kwenye maslahi yao binafsi.
-
Putin na Salman wakutana kwa mazungumzo ya faragha mjini Moscow
Oct 06, 2017 08:19Mfalme Salman bin Abduaziz wa Saudi Arabia jana alikutana na Rais Vladimir Putin wa Russia katika ikulu ya Kremlin mjini Moscow.
-
Russia yatahadharisha kuhusu kuongezeka mivutano kati ya Magharibi na Korea ya Kaskazini
Oct 05, 2017 04:16Rais Vladimir Putin wa Russia ametahadharisha kuhusu kuongezeka mivutano kati ya Magharibi na Korea Kaskazini.
-
Putin: Vikwazo vipya dhidi ya Korea Kaskazini havitakuwa na taathira yoyote
Sep 05, 2017 14:15Rais wa Russia Vladimir Putin ametahadharisha kuhusu kuibuka mgogoro mkubwa wa kimataifa iwapo kadhia ya Peninsula ya Korea haitasuluhishwa kwa njia ya kidiplomasia.
-
Putin: Kuishinikiza Korea ya Kaskazini hakutakuwa na taathira
Sep 01, 2017 08:06Rais Vladimir Putin wa Russia ameishauri Marekani na waitifaki wake barani Asia kutochukua hatua za kuishinikiza Korea ya Kaskazini na ametoa wito wa mazungumzo ili kuhitimisha mvutano kuhusu miradi ya silaha za nyuklia za nchi hiyo.
-
Putin: Hakuna atakayepona katika vita vya nyuklia vya Marekani na Russia
Jun 07, 2017 07:16Rais Vladimir Putin wa Russia ametahadharisha kuwa, iwapo Marekani itaamua kuingia katika vita vya nyuklia na nchi yake, hakuna upande utakaopona 'kusherehekea' ushindi.