Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Qatar imewanasa majasusi kadhaa wa Israel raia wa India

    Qatar imewanasa majasusi kadhaa wa Israel raia wa India

    Nov 11, 2022 03:09

    Shirika la Intelijensia la Qatar limewakamata maafisa wanane wa zamani wa Jeshi la Wanamaji wa India nchini Qatar wanaoshukiwa kufanya ujasusi kwa manufaa ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Qatar yataka kuhitimishwa ukaliaji mabavu wa utawala wa Kizayuni

    Qatar yataka kuhitimishwa ukaliaji mabavu wa utawala wa Kizayuni

    Nov 02, 2022 07:59

    Mwakilishi wa Kudumu wa Qatar katika Umoja wa Mataifa leo asubuhi amehutubia katika kikao cha kiduru cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kusema: Israel inapasa kuhitimisha hatua zake za kuzikalia kwa mabavu ardhi za Waarabu ikiwemo miinuko ya Golan huko Syria, ardhi za Lebanon na Palestina.

  • Wanaharakati wa mitandao ya kijamii waanzisha kampeni ya kususiwa PUMA na kupeperusha bendera ya Palestina Qatar 2022

    Wanaharakati wa mitandao ya kijamii waanzisha kampeni ya kususiwa PUMA na kupeperusha bendera ya Palestina Qatar 2022

    Nov 01, 2022 02:30

    Wanaharakati wa mitandao ya kijamii wameanzisha kampeni ya kusuusiwa kampuni ya vifaa vya michezo ya PUMA ya Ujerumani na kupeperushwa bendera ya Palestina wakati wa mashindano ya Kombe la Dunia Qatar 2022 ili kuwaazindua walimwengu kuhusumasaibu ya watu wa Palestina na umuhimu wa ukombozi wa ardhi hiyo inayokaliwa kwa mabavu na Israel.

  • Qatar: Hatutoi gesi ya wateja wa Asia kwenda Ulaya

    Qatar: Hatutoi gesi ya wateja wa Asia kwenda Ulaya

    Oct 19, 2022 08:10

    Waziri wa Masuala ya Nishati wa Qatar ametangaza kuwa haitazamiwi katika msimu ujao wa baridi kali shehena ya gesi iliyopangwa kwenda Asia kuelekea Ulaya.

  • Mazungumzo ya kuondoa vikwazo; ajenda kuu ya mazungumzo ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Qatar

    Mazungumzo ya kuondoa vikwazo; ajenda kuu ya mazungumzo ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Qatar

    Sep 20, 2022 08:06

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Qatar wamezungumzia suala la kuondolewa vikwazo katika fremu ya vikao vya Vienna.

  • Jumamosi, 3 Septemba, 2022

    Jumamosi, 3 Septemba, 2022

    Sep 03, 2022 04:27

    Leo ni Jumamosi mwezi 6 Mfunguo Tano Safar 1444 Hijria mwafaka na tarehe 3 Septemba 2022 Miladia.

  • Serikali ya kijeshi ya Chad na makundi ya upinzani wasaini makubaliano ya amani Qatar

    Serikali ya kijeshi ya Chad na makundi ya upinzani wasaini makubaliano ya amani Qatar

    Aug 09, 2022 02:48

    Serikali ya kijeshi ya Chad na makundi zaidi ya 40 ya upinzani wamesaini makubaliano ya amani mjini Doha, Qatar kwa lengo la kuanzisha mazungumzo ya maridhiano ya kitaifa, huku kundi kuu la waasi katika nchi hiyo Afrika ya Kati likikataa kusaini mapatano hayo.

  • Amir wa Qatar: Israel ndio chanzo kikuu cha mivutano katika eneo la Asia Magharibi

    Amir wa Qatar: Israel ndio chanzo kikuu cha mivutano katika eneo la Asia Magharibi

    Jul 18, 2022 02:31

    Amir wa Qatar ameitaja Israel kuwa ndio chanzo kikuu cha mizozo katika eneo la Asia Magharibi, akisema machafuko na hali ya kutokuwepo utulivu itaendelea katika eneo hilo isipokuwa utawala ghasibu wa Israel utakapokoma kukiuka sheria za kimataifa.

  • Shamkhani: Tumeingia katika mazungumzo ya kuondoa vikwazo ili kufikia makubaliano imara, endelevu na ya kuaminika

    Shamkhani: Tumeingia katika mazungumzo ya kuondoa vikwazo ili kufikia makubaliano imara, endelevu na ya kuaminika

    Jul 07, 2022 08:20

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar hapa Tehran kuwa Iran imeingia katika mazungumzo ya kuondoa vikwazo ili kufikia makubaliano imara, endelevu na ya kuaminika.

  • Rais wa Iran na Mfalme wa Qatar wabadilishana mawazo kuhusu mazungumzo ya uondoaji vikwazo

    Rais wa Iran na Mfalme wa Qatar wabadilishana mawazo kuhusu mazungumzo ya uondoaji vikwazo

    Jul 01, 2022 02:44

    Rais Ebrahim Raisi amesisitiza kuhusu misimamo ya wazi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo vya kidhalimu lilivyowekewa taifa hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS