Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mkutano wa al-Azhar: Baytul-Muqaddas ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Mkutano wa al-Azhar: Baytul-Muqaddas ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Jan 19, 2018 00:44

    Washiriki wa mkutano wa kimataifa wa kuunga mkono Quds uliofanyika katika Chuo Kikuu cha al-Azhar huko Cairo Misri umesisitiza umuhimu wa kutangazwa Baytul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa milele wa Palestina.

  • Abbas: Quds inaweza kuwa lango la amani au vita, Trump achague

    Abbas: Quds inaweza kuwa lango la amani au vita, Trump achague

    Jan 17, 2018 23:03

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amesema mji wa Baitul Muqaddad unaweza kuwa lango la kupatikana amani au kuibua vita, na Marekani ina khiari ya kuchagua njia inayoitaka.

  • Kiongozi Muadhamu:

    Kiongozi Muadhamu: "Ufidhuli mkubwa inaofanya Marekani" kuhusiana na Quds Tukufu hautafika popote

    Jan 16, 2018 13:39

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani imekuwa ikifanya "ufidhuli mkubwa" kuhusu Quds Tukufu na kuongeza kuwa njama zake hizo hazitafika popote.

  • Rais wa Palestina: Tutakata uhusiano na nchi zitakazohamishia balozi zake Quds

    Rais wa Palestina: Tutakata uhusiano na nchi zitakazohamishia balozi zake Quds

    Jan 15, 2018 11:04

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametahadharisha kwamba, mamlaka hiyo itakata uhusiano wake na nchi yoyote ile ambayo itafuata uamuzi wa Marekani na kuuhamishia ubalozi wake huko Beitul-Muqaddas kutoka Tel-Aviv.

  • Bandera za Israel zachomwa moto kumkaribisha Netanyahu India

    Bandera za Israel zachomwa moto kumkaribisha Netanyahu India

    Jan 14, 2018 04:32

    Maandamano makubwa yameshuhudiwa katika mji mkuu wa India, New Delhi, kabla ya kuanza safari ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu katika nchi hiyo.

  • Burkina Faso: Hatua ya Trump dhidi ya Quds inapaswa kuzuiwa

    Burkina Faso: Hatua ya Trump dhidi ya Quds inapaswa kuzuiwa

    Jan 14, 2018 04:29

    Naibu Spika wa Bunge la Burkina Faso ametoa mwito wa kusimamishwa utekelezwaji wa mpango wa Marekani wa kuuhamishia mjini Quds Tukufu, ubalozi wake ulioko Tel Aviv.

  • Spika wa Baraza la Wawakilishi Indonesia: Quds daima itaendelea kuwa ni mali ya Palestina

    Spika wa Baraza la Wawakilishi Indonesia: Quds daima itaendelea kuwa ni mali ya Palestina

    Jan 14, 2018 01:06

    Kaimu Spika wa Baraza la Wawakilishi la Indonesia amesisitiza udharura wa kuchukuliwa hatua za kurejesha haki za taifa la Palestina na kusema bayana kwamba, daima Beitul-Muqaddas itaendelea kuwa mali ya Palestina.

  • Wakristo waendelea kuilaani Israel, waiambia Yerusalemu si mji wenu

    Wakristo waendelea kuilaani Israel, waiambia Yerusalemu si mji wenu

    Jan 13, 2018 04:19

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Rome Orthodox linalojulikana kwa jina rasmi la Orthodox Catholic Church katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, kwa mara nyingine tena amelaani jinai za Israel dhidi ya Wakristo na Waislamu na kusema kuwa, mji wa Quds (Yerusalemu) ni mali ya Wapalestina si mji wa Wazayuni.

  • Netanyahu: Makao ya Bunge na Serikali ya Israel yatakuwa Baitul Muqaddas

    Netanyahu: Makao ya Bunge na Serikali ya Israel yatakuwa Baitul Muqaddas

    Jan 11, 2018 12:56

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema makao ya bunge na serikali ya utawala huo haramu yatahamishiwa mji wa Baitul Muqaddas.

  • Mahmoud Abbas: Marekani haina hadhi tena ya kuwa mpatanishi katika mgogoro wa Palestina

    Mahmoud Abbas: Marekani haina hadhi tena ya kuwa mpatanishi katika mgogoro wa Palestina

    Jan 10, 2018 01:05

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amesema kuwa, uamuzi uliochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu Quds tukufu (Jerusalem) ni hatari sana na umeharibu sura ya nchi hiyo katika duru za kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS