Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mataifa ya Kiislamu yatakiwa kulipa uzito suala la ukombozi wa Quds

    Mataifa ya Kiislamu yatakiwa kulipa uzito suala la ukombozi wa Quds

    May 05, 2021 02:00

    Mwanaharakati mmoja nchini Russia ametoa mwito kwa mataifa ya Kiislamu kulipa kipaumbele cha kwanza suala la ukombozi wa Quds tukufu na kadhia ya Palestina kwa ujumla.

  • Israel imebomoa makumi ya majengo ya Wapalestina mjini Quds

    Israel imebomoa makumi ya majengo ya Wapalestina mjini Quds

    May 03, 2021 21:03

    Shirika huru la kutetea haki za binadamu limesema utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa majengo 58 ya Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) tokea mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa.

  • Palestina yataka dunia iishinikize Israel iruhusu uchaguzi Quds

    Palestina yataka dunia iishinikize Israel iruhusu uchaguzi Quds

    Apr 28, 2021 21:58

    Msemaji wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameiasa jamii ya kimataifa iushinikize zaidi utawala wa Kizayuni wa Israel ili ukubali kufanyika uchaguzi wa Bunge la Palestina katika mji wa Quds (Jerusalem).

  • Iran yalaani hujuma za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Quds tukufu

    Iran yalaani hujuma za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Quds tukufu

    Apr 25, 2021 01:28

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali uvamizi na chokochoko mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Waislamu wahamakishwa na hatua ya Kosovo kufungua ubalozi Quds

    Waislamu wahamakishwa na hatua ya Kosovo kufungua ubalozi Quds

    Mar 15, 2021 07:20

    Waislamu wameghadhabishwa mno na kitendo cha Kosovo kufungua ubalozi wa nchi hiyo ndogo ya Ulaya katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

  • Mufti Mkuu wa Misri aonya dhidi ya mpango wa Israel wa kuiyahudisha Quds

    Mufti Mkuu wa Misri aonya dhidi ya mpango wa Israel wa kuiyahudisha Quds

    Feb 27, 2021 08:37

    Mufti Mkuu wa Misri ametadharisha juu ya njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuuyahudisha mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, na kufuta kabisa utambulisho wake halisi.

  • Manung'uniko baada ya Equatorial Guinea kusema itahamishia ubalozi wake Quds

    Manung'uniko baada ya Equatorial Guinea kusema itahamishia ubalozi wake Quds

    Feb 20, 2021 09:12

    Hatua ya mtawala wa muda mrefu wa Equatorial Guinea kusema kuwa nchi hiyo itauhamishia ubalozi wake mjini Quds Tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel kutoka Tel Aviv imekosolewa vikali ndani ya nje ya nchi.

  • Malawi kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kufungua ubalozi Quds inayokaliwa kwa mabavu

    Malawi kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kufungua ubalozi Quds inayokaliwa kwa mabavu

    Nov 05, 2020 00:27

    Malawi inatazamiwa kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kufuata mkumbo wa Marekani wa kufungua ubalozi katika mji mtukufu wa Quds huko Palestina unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Mahakama ya Israel yatoa agizo la kubomolewa msikiti Quds Mashariki

    Mahakama ya Israel yatoa agizo la kubomolewa msikiti Quds Mashariki

    Sep 15, 2020 02:59

    Mahakama moja katika utawala wa Kizayuni wa Israel imetoa amri ya kubomolewa msikiti mmoja ulioko mashariki wa Quds Tukufu inayokaliwa kwa mabavu.

  • HAMAS yatoa wito wa kuanzishwa Kamati ya Kitaifa ya Kutetea Quds Tukufu

    HAMAS yatoa wito wa kuanzishwa Kamati ya Kitaifa ya Kutetea Quds Tukufu

    Aug 07, 2020 06:11

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa wito wa kuanzishwa kamati ya mirengo yote ya Palestina kwa ajili ya kuutetea mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) na kuulinda kutokana na hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS