Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Jordan kumuita balozi wake wa Romania kupinga hatua ya nchi hiyo dhidi ya Quds

    Jordan kumuita balozi wake wa Romania kupinga hatua ya nchi hiyo dhidi ya Quds

    Apr 18, 2019 03:59

    Jordan imesema kuwa itamuita nyumbani balozi wake wa Romania, ikiwa ni jibu kwa hatua ya nchi hiyo ya Ulaya kutangaza kuwa itauhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu kutoka Tel Aviv.

  • Rais wa Lebanon: Tangazo la Trump kuhusu miinuko ya Golan na Quds ni kinyume na maazimo ya kimataifa

    Rais wa Lebanon: Tangazo la Trump kuhusu miinuko ya Golan na Quds ni kinyume na maazimo ya kimataifa

    Apr 12, 2019 04:25

    Rais Michel Aoun wa Lebanon kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, tangazo la Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na umiliki wa utawala vamizi wa Israel kwa miinuko ya Golan ya Syria linakinzana na maazimio ya kimataifa.

  • Rouhani: Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina na Golan haiwezi kutenganishwa na Syria

    Rouhani: Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina na Golan haiwezi kutenganishwa na Syria

    Apr 07, 2019 02:28

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina na miinuko ya Golan ni ardhi ya Syria isiyotenganishika na ardhi nyingine za nchi hiyo na kwamba hatua yoyote iliyo kinyume na hivyo ni kukanyaga maamuzi wa Umoja wa Mataifa na ni kinyume na uhakika wa kihistoria.

  • Idadi ya wanajeshi wa Israel walioangamizwa kaskazini mwa Quds imeongezeka

    Idadi ya wanajeshi wa Israel walioangamizwa kaskazini mwa Quds imeongezeka

    Mar 18, 2019 14:26

    Vyombo vya habari vya Kizayuni leo Jumatatu vimetangaza kuwa kuhani mmoja wa Kizayuni ambaye alijeruhiwa katika oparesheni ya kijana wa Kipalestina karibu na kitongoji cha Ariel kaskazinii mwa mji wa Salfit katika Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan ameaga dunia.

  • Matakwa matatu ya Kamisheni ya Masuala ya Palestina ya Bunge la Jordan dhidi ya Israel

    Matakwa matatu ya Kamisheni ya Masuala ya Palestina ya Bunge la Jordan dhidi ya Israel

    Mar 15, 2019 07:21

    Kamisheni ya Masuala ya Palestina ya Bunge la Jordan imetoa wito wa kufukuzwa balozi wa Israel mjini Amman, kurejeshwa nyumbani balozi wa Jordan huko katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kufutwa mkataba wa gesi na Israel.

  • Spika wa Bunge la Lebanon: Eneo lote la Quds ni mji mkuu wa Palestina

    Spika wa Bunge la Lebanon: Eneo lote la Quds ni mji mkuu wa Palestina

    Mar 12, 2019 02:54

    Spika wa Bunge la Lebanon kwa mara nyingine tena amesisitiza msimamo wa nchi yake kuhusiana na kuiunga mkono Baytul -Muqaddas na Palestina na kusema kuwa, eneo lote la Quds Tukufu ni mji mkuu wa nchi ya Palestina.

  • Wazayuni wawatia nguvuni wasimamizi wa Matukufu ya Kiislamu Quds

    Wazayuni wawatia nguvuni wasimamizi wa Matukufu ya Kiislamu Quds

    Feb 24, 2019 14:19

    Polisi ya utawala haramu wa Israel imewakamata wasimamizi wa ngazi za juu wa Matukufu ya Kiislamu katika mji mtukufu wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu

    Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu

    Feb 02, 2019 04:35

    Katika mada ya 11 ya Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwa msingi wa Aya ya Qur'ani Tukufu inayosema: Hakika umma wenu huu ni umma mmoja, na Mimi ni Mola wenu, kwa hivyo niabuduni Mimi, serikali ya Jamhuri ya Kiislamu inawajibika kuratibu siasa zake kuu kwa msingi wa kuleta umoja na mshikamano wa kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kati ya mataifa yote ya Kiislamu.

  • UN yapinga vikali mashambulizi ya Wazayuni wa Israel huko Quds

    UN yapinga vikali mashambulizi ya Wazayuni wa Israel huko Quds

    Jan 28, 2019 07:36

    Nickolay Mladinov ambaye ni mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika eneo la Mashariki ya Kati amesema kuwa mashambulizi ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya kijiji cha kaskazini mwa Quds (Jerusalem) hayakubaliki na yanashtua sana.

  • Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuzima sauti ya adhana Baitul Muqaddas Mashariki

    Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuzima sauti ya adhana Baitul Muqaddas Mashariki

    Jan 03, 2019 03:11

    Televisheni ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa manispaa ya utawala huo haramu katika eneo la Baitul Muqaddas Mashariki (East Jerusalem) ina mpango wa kuzuia sauti ya adhana isisikike katika misikiti ya eneo hilo la Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS