-
Raisi: US, nchi za Ulaya zilipanga ghasia za mwaka jana Iran
Aug 15, 2023 04:26Rais wa Iran ameikosoa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya kwa kuratibu machafuko yaliyoshuhudiwa mwaka jana hapa nchini Iran kwa kisingizo cha kifo cha Mahsa Amini.
-
Raisi: Marekani na Israel zinakula njama za kuvuruga usalama wa eneo
Aug 09, 2023 08:43Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikosi vya ulinzi na usalama vya Jamhuri ya Kiislamu si tu vinalinda usalama wa taifa hili, bali pia usalama na uthabiti wa nchi nyingine za eneo la Asia Magharibi.
-
Kukosoa Maduro kimya cha viongozi wa Ulaya kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
Aug 08, 2023 23:41Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amekosoa vikali kuendelea kukaa kimya viongozi wa Ulaya kuhusiana na kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
-
Sisitizo la Rais wa Brazil la kupigwa teke sarafu ya dola katika biashara za kimataifa
Aug 05, 2023 00:26Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil ametaka kupigwa teke na kuwekwa pembeni matumizi ya sarafu ya dola katika biashara za kimataifa na kutafutwa sarafu nyingine za kuziba nafasi ya sarafu hiyo ya Marekani.
-
Ukosoaji mkali wa Putin kwa hatua ya Ulaya ya kuifuata kibubusa Marekani
Jul 17, 2023 22:57Rais Vladimir Putin wa Russia amekosoa vikali kutokuwa huru nchi za Ulaya na kuwa tayari nchi hizo kutekeleza kibubusa amri na maagizo ya Marekani.
-
Magazeti ya Afrika Mashariki yaakisi safari ya Rais wa Iran katika nchi za Afrika
Jul 11, 2023 04:50Magazeti na vyombo vingine vya habari vya nchi za Afrika Mashariki vimeakisi kwa mapana safari ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye leo Jumanne anatazamiwa kuondoka nchini kuelekea barani Afrika kwa ziara ya siku tatu ya kuzitembelea nchi za Kenya, Uganda na Zimbabwe.
-
Rais wa Iran aalikwa kuhudhuria mkutano wa BRICS Afrika Kusini
Jul 04, 2023 03:54Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amealikwa rasmi kuhudhuria mkutano ujao wa kundi la BRICS utakaofanyika nchini Afrika Kusini.
-
Rais wa Senegal: Sitagombea muhula mwingine wa urais
Jul 04, 2023 03:25Rais Macky Sall wa Senegal amesema hatagombea muhula wa tatu wa urais katika uchaguzi mkuu ujao unaotazamiwa kufanyika mwaka ujao 2024.
-
"Ni wajibu kwa kila Muislamu kupinga vitendo vya Wamagharibi kuidhalilisha Qurani"
Jul 01, 2023 07:57Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mataifa ya Waislamu yana wajibu na jukumu la kulaani na kupinga vitendo vya nchi za Magharibi vya kuvunja heshima matukufu ya Kiislamu, hususan Qurani Tukufu.
-
Mgogoro na machafuko vyaendelea nchini Ufaransa, wananchi wapinga ukatili na ubaguzi wa rangi
Jul 01, 2023 06:07Kuendelea mgogoro wa kijamii na machafuko yaliyoenea nchini Ufaransa kumeibua hisia tofauti katika ngazi ya viongozi na wanasiasa wa nchi hiyo, na katika ngazi ya Ulaya na dunia nzima kwa ujumla.