Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Marais wa Iran na Russia wazungumzia uasi wa Wagner, masuala ya Caucasia

    Marais wa Iran na Russia wazungumzia uasi wa Wagner, masuala ya Caucasia

    Jun 27, 2023 00:00

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono mamlaka ya kujitawala Russia na vile vile hatua zilizochukuliwa na serikali ya Moscow kukomesha uasi wa kundi la Wagner wa Juni 24.

  • Chokochoko mpya zilizoanzishwa na Biden kuhusiana na China

    Chokochoko mpya zilizoanzishwa na Biden kuhusiana na China

    Jun 22, 2023 22:57

    Rais Joe Biden wa Marekani siku ya Jumanne wiki hii alimfananisha mwenzake wa China, Xi Jinping na madikteta.

  • Raisi: Muqawama umefichua kuwa Israel haina uwezo wa kujihami

    Raisi: Muqawama umefichua kuwa Israel haina uwezo wa kujihami

    Jun 21, 2023 00:15

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kambi ya muqawama imeanika njozi na uwezo bandia wa kujihami wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Takwa la Rais wa Ufaransa kwa Ulaya la kujiepusha na utegemezi wa kijeshi kwa Marekani

    Takwa la Rais wa Ufaransa kwa Ulaya la kujiepusha na utegemezi wa kijeshi kwa Marekani

    Jun 20, 2023 08:33

    Jumatatu ya jana tarehe 19 Juni, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alizitaka nchi za Ulaya kutafuta uhuru zaidi katika ulinzi wa anga zao na kuacha kuwa tegemezi kupita kiasi kwa Marekani.

  • Iran, Venezuela zasaini hati 19 za ushirikiano; mabadilishano ya kibiashara kufikia dola bilioni 20

    Iran, Venezuela zasaini hati 19 za ushirikiano; mabadilishano ya kibiashara kufikia dola bilioni 20

    Jun 13, 2023 04:31

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Venezuela zina uwezo wa kuongeza kiwango chao cha mabadilishano ya kibiashara kifikie cha thamani ya dola bilioni 20.

  • Raisi: Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na nchi rafiki

    Raisi: Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na nchi rafiki

    Jun 04, 2023 08:13

    Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuimarisha uhusiano wake na nchi ambazo zimetangaza utayarifu wao wa kuhuisha uhusiano na Tehran.

  • Kutishiwa kuwekewa vikwazo Uganda, njama za Marekani za kuzitwisha ufuska nchi za Afrika

    Kutishiwa kuwekewa vikwazo Uganda, njama za Marekani za kuzitwisha ufuska nchi za Afrika

    Jun 01, 2023 08:42

    Rais wa Marekani, Joe Biden amelaani sheria mpya iliyotiwa saini na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda dhidi ya vitendo vya ushoga na kusema kuwa Marekani inaweza kuiwekea Uganda vikwazo na ameitaka Uganda kufuta mara moja sheria hiyo.

  • Uganda yapasisha sheria ya kukabili mapenzi ya watu wa jinsia moja

    Uganda yapasisha sheria ya kukabili mapenzi ya watu wa jinsia moja

    May 29, 2023 07:23

    Hatimaye Rais Yoweri Museveni ameupasisha kuwa sheria, Muswada wa 2023 wa kupiga marufuku nchini humo na kuwachukulia hatua kali wanaojihusisha na mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja, licha ya maonyo na vitisho vya nchi za Magharibi.

  • Bola Tinubu aapishwa kuwa Rais mpya wa Nigeria

    Bola Tinubu aapishwa kuwa Rais mpya wa Nigeria

    May 29, 2023 07:18

    Bola Ahmed Tinubu ameapishwa kuwa Rais wa tano wa Nigeria tokea kurejea kwa utawala wa demokrasia nchini humo mwaka 1999; huku akiwahijiwa na changamoto nyingi za kiuchumi na kiusalama.

  • Muungano wa kimataifa wa ndege za kivita: Hatua mpya ya kuchochea vita nchini Ukraine

    Muungano wa kimataifa wa ndege za kivita: Hatua mpya ya kuchochea vita nchini Ukraine

    May 20, 2023 21:58

    Marekani imepiga hatua mpya katika kupanua wigo wa vita nchini Ukraine. Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Ikulu ya Rais wa Marekani (White House) Jake Sullivan ametangaza kuwa Rais Joe Biden Ijumaa aliwafahamisha viongozi wa Kundi la G7 kwamba ameafiki kutoa mafunzo ya kuendesha ndege za kivita za F-16 kwa marubani wa Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS