Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe

    Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe

    May 25, 2016 10:02

    Maelfu ya wananchi wa Zimbabwe wamejitokeza barabarani katika mji mkuu Harare, kushiriki maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, mwenye umri wa miaka 92.

  • Mahakama ya Katiba Comoro yaidhinisha ushindi wa Kamanda Azali Assoumani

    Mahakama ya Katiba Comoro yaidhinisha ushindi wa Kamanda Azali Assoumani

    May 15, 2016 23:08

    Mahakama ya Katiba nchini Comoro imemtangaza Kamanda Azali Assoumani kuwa mshindi wa duru ya pili ya uchaguzi wa rais katika visiwa hivyo.

  • Rais wa Guinea-Bissau amfuta kazi Waziri Mkuu na kuvunja serikali

    Rais wa Guinea-Bissau amfuta kazi Waziri Mkuu na kuvunja serikali

    May 13, 2016 03:39

    Rais José Mário Vaz wa Guinea-Bissau amempiga kalamu Carlos Correia, Waziri Mkuu wa nchi hiyo na kutangaza kuivunja serikali.

  • Besigye kuendelea kuzuiliwa wakati Rais Museveni wa Uganda akiapishwa

    Besigye kuendelea kuzuiliwa wakati Rais Museveni wa Uganda akiapishwa

    May 12, 2016 03:32

    Katika hali ambayo Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda anatazamiwa kuapishwa wakati wowote tokeo sasa, kinara wa upinzanai nchini humo Dakta Kizza Besigye anaendelea kuzuiliwa katika jela ya Nalufenya wilayani Jinja eneo la Karamoja.

  • Mgombea urais wa wapinzani Kongo aitwa mahakamani

    Mgombea urais wa wapinzani Kongo aitwa mahakamani

    May 08, 2016 03:09

    Mwendesha mashtaka mkuu wa mji wa Lubumbashi, kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amemwita mahakamani mgombea wa urais wa muungano wa wapinzani.

  • Rais wa Equitorial Guinea ahifadhi kiti chake kwa kupata 98% ya kura

    Rais wa Equitorial Guinea ahifadhi kiti chake kwa kupata 98% ya kura

    Apr 26, 2016 03:53

    Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Equitorial Guinea yanaonyesha kuwa Rais Teodoro Obiang Nguema ameshinda kiti hicho kwa kupata asilimia 98 ya kura zilizopigwa.

  • Riek Machar kuwasili Juba leo kuunda serikali na Salva Kiir

    Riek Machar kuwasili Juba leo kuunda serikali na Salva Kiir

    Apr 18, 2016 23:24

    Kiongozi wa upinzani wa Sudan Kusini anatazamiwa kuwasili katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba hii leo, kwa shabaha ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa akishirikiana na Rais Salva Kiir wa nchi hiyo.

  • Shein ateua baraza la mawaziri, asema hatishwi na 'kelele' za CUF

    Shein ateua baraza la mawaziri, asema hatishwi na 'kelele' za CUF

    Apr 10, 2016 03:26

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dakta Ali Mohamed Shein ametangaza Baraza la Mawaziri lenye wizara 13 huku akisema kuwa hababaishwi na hatua ya chama kikuu cha upinzani visiwani humo CUF kutoitambua serikali yake.

  • Upinzani Djibouti: Kulikuwa na udanganyifu kwenye uchaguzi wa rais

    Upinzani Djibouti: Kulikuwa na udanganyifu kwenye uchaguzi wa rais

    Apr 10, 2016 03:21

    Viongozi wa upinzani nchini Djibouti wametangaza kutotambua ushindi wa Rais Ismail Omar Guelleh katika uchaguzi mkuu uliofanyika Ijumaa iliyopita.

  • Uchaguzi wa rais Djibouti, baadhi ya wakuu wa upinzani waususia

    Uchaguzi wa rais Djibouti, baadhi ya wakuu wa upinzani waususia

    Apr 08, 2016 04:36

    Wananchi wa Djibouti waliotimiza mashari ya kupiga kura leo wameelekea kwenye masanduku ya kupiga kura kumchagua rais mpya, katika uchaguzi ambao aghalabu ya vyama vya upinzani nchini humo vimeususia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS