-
Besigye kuendelea kuzuiliwa wakati Rais Museveni wa Uganda akiapishwa
May 12, 2016 03:32Katika hali ambayo Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda anatazamiwa kuapishwa wakati wowote tokeo sasa, kinara wa upinzanai nchini humo Dakta Kizza Besigye anaendelea kuzuiliwa katika jela ya Nalufenya wilayani Jinja eneo la Karamoja.
-
Mgombea urais wa wapinzani Kongo aitwa mahakamani
May 08, 2016 03:09Mwendesha mashtaka mkuu wa mji wa Lubumbashi, kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amemwita mahakamani mgombea wa urais wa muungano wa wapinzani.
-
Rais wa Equitorial Guinea ahifadhi kiti chake kwa kupata 98% ya kura
Apr 26, 2016 03:53Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Equitorial Guinea yanaonyesha kuwa Rais Teodoro Obiang Nguema ameshinda kiti hicho kwa kupata asilimia 98 ya kura zilizopigwa.
-
Riek Machar kuwasili Juba leo kuunda serikali na Salva Kiir
Apr 18, 2016 23:24Kiongozi wa upinzani wa Sudan Kusini anatazamiwa kuwasili katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba hii leo, kwa shabaha ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa akishirikiana na Rais Salva Kiir wa nchi hiyo.
-
Shein ateua baraza la mawaziri, asema hatishwi na 'kelele' za CUF
Apr 10, 2016 03:26Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dakta Ali Mohamed Shein ametangaza Baraza la Mawaziri lenye wizara 13 huku akisema kuwa hababaishwi na hatua ya chama kikuu cha upinzani visiwani humo CUF kutoitambua serikali yake.
-
Upinzani Djibouti: Kulikuwa na udanganyifu kwenye uchaguzi wa rais
Apr 10, 2016 03:21Viongozi wa upinzani nchini Djibouti wametangaza kutotambua ushindi wa Rais Ismail Omar Guelleh katika uchaguzi mkuu uliofanyika Ijumaa iliyopita.
-
Uchaguzi wa rais Djibouti, baadhi ya wakuu wa upinzani waususia
Apr 08, 2016 04:36Wananchi wa Djibouti waliotimiza mashari ya kupiga kura leo wameelekea kwenye masanduku ya kupiga kura kumchagua rais mpya, katika uchaguzi ambao aghalabu ya vyama vya upinzani nchini humo vimeususia.
-
Mahakama ya Juu Uganda yatupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa Museveni
Mar 31, 2016 09:33Mahakama ya Juu ya Uganda imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa na Waziri Mkuu wa zamani nchini humo Amama Mbabazi ya kupinga ushindi wa Rais Yoweri Museveni katika uchaguzi wa rais wa Februari mwaka huu.
-
Dakta Shein aapishwa kushika hatamu ya uongozi Zanzibar
Mar 24, 2016 11:53Rais mteule wa Zanzibar, Dakta Ali Mohamed Shein ameapishwa leo kushika hatamu ya uongozi visiwani humo. Dakta Shein ameapishwa leo kufuatia ushindi alioupata Jumapili iliyopita wa kura 299,982 sawa na asilimia 91.4 ya kura zote halali 328,327 zilizopigwa katika uchaguzi marudio.
-
Wasenegal waunga mkono kupunguzwa muhula wa rais
Mar 24, 2016 10:40Idadi kubwa ya wananchi wa Senegal wameunga mkono azma ya kufanyiwa marekebisho katiba ya nchi ili kupunguza muhula wa rais wa nchi hiyo.