-
Shein ashinda uchaguzi wa rais Zanzibar kwa 91%, Maalim Seif 1.9% licha ya kususia
Mar 21, 2016 11:45Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC imemtangaza mgombea wa kiti cha rais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Dakta Ali Muhammed Shein kuwa mshindi wa uchaguzi wa marudio uliofanyika jana visiwani humo.
-
Upinzani kususia duru ya pili ya uchaguzi wa rais Niger
Mar 09, 2016 04:29Muungano wa upinzani nchini Niger umesema mgombea wake wa kiti cha rais Hama Amadou hatoshiriki katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais dhidi ya Rais Mahamadou Issoufou aliyeko madarakani.
-
Rais wa Gabon kuwania muhula wa pili mwaka huu
Mar 01, 2016 04:22Rais wa Gabon Ali Bongo amesema atawania kuhifadhi kiti chake kwa muhula wa pili katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika baadaye mwaka huu.
-
Ujumbe wa AU wawasili Burundi baada ya kuondoka Ban Ki-Moon
Feb 25, 2016 12:59Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini anaongoza ujumbe wa marais wanne wa Umoja wa Afrika ambao umewasili nchini Burundi leo Alkhamisi kwa lengo la kufanya mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mzozo wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo tangu mwezi Aprili mwaka jana.
-
Ujumbe wa AU wawasili Burundi baada ya kuondoka Ban Ki-Moon
Feb 25, 2016 11:59Rais Macky Sall wa Senegal anaongoza ujumbe wa marais wanne wa Umoja wa Afrika ambao umewasili nchini Burundi leo Alkhamisi kwa lengo la kufanya mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mzozo wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo tangu mwezi Aprili mwaka jana.
-
Wananchi wa Niger washiriki uchaguzi wa rais
Feb 21, 2016 12:32Wananchi wa Niger waliotimiza masharti ya kupiga kura, leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kumchagua rais atakayeiongoza nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika, ambayo kwa muda sasa imekuwa ikikabiliwa na shambulio moja baada ya jingine kutoka kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.
-
Mugabe: Tutawaadhibu wanaogombania kunirithi urais
Feb 20, 2016 10:15Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametishia kuwachukulia hatua za kinidhamu makada wa chama tawala nchini humo ZANU-PF wanaozozana kuhusu ni nani atakayerithi kiti cha urais baada yake.
-
Serikali yazidi kuwabana wapinzani nchini Uganda
Feb 15, 2016 11:56Huku siku chache tu zikiwa zimebakia hadi kufanyika uchaguzi mkuu wa Februari 18 nchini Uganda, polisi ya nchi hiyo leo imemtia mbaroni na baadaye kuwachia Daktari Kizza Besigye, kiongozi wa chama cha upinzani cha cha FDC. Besigye amekamatwa na polisi wakati alipokuwa anakwenda kwenye mkutano wa hadhara katika wilaya yenye shughuli nyingi, jijini Kampala.
-
Wabunge Lebanon washindwa tena kumchagua Rais
Feb 08, 2016 22:59Bunge la Lebanon lilikutana tena jana (Jumatatu) na kwa mara nyingine likashindwa kumchagua Rais kutokana na kutotimia idadi ya mahudhurio ya Wabunge kwa ajili ya zoezi hilo.