Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani azindua stempu ya kumbukumbu ya Shahidi Soleimani

    Rais Rouhani azindua stempu ya kumbukumbu ya Shahidi Soleimani

    Jan 02, 2021 13:04

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo amezindua stempu ya kumbukumbu ya Shahidi Qassem Soleimani.

  • Rais Rouhani:  Shahidi Qassim Suleimani amewazawaidia izza Waislamu na kuwadhalilisha maadui

    Rais Rouhani: Shahidi Qassim Suleimani amewazawaidia izza Waislamu na kuwadhalilisha maadui

    Dec 31, 2020 12:28

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, shahdi Luteni Jenerali Qassim Suleimani amelizawadia izza wakazi wote wa eneo la Asia Magharibi na Waislamu wa eneo hili na amewadhalilisha maadui katika matukio mengi.

  • Rouhani: Taifa la Iran litaikata miguu Marekani katika eneo

    Rouhani: Taifa la Iran litaikata miguu Marekani katika eneo

    Dec 30, 2020 14:36

    Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaikata miguu Marekani katika eneo la Asia Magharibi katika kisasi chake cha mauaji ya kigaidi ya Luteni Jenerali Qassem Suleimani, Kamanda wa zamani wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH).

  • Rais Rouhani: Serikali inafuatilia kila lahadha ili kuvifanya vikwazo kutokuwa na taathira

    Rais Rouhani: Serikali inafuatilia kila lahadha ili kuvifanya vikwazo kutokuwa na taathira

    Dec 26, 2020 14:33

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, serikali inafanya hima na juhudi kubwa tena kila lahadha kuhakikisha kwamba vikwazo vya kidhulma vya Marekani dhidi ya taifa hili vinafubaa na kutokuwa na taathira.

  • Ujumbe wa Rais wa Iran kwa mnasaba wa kukumbuka kuzaliwa Nabi Isa AS

    Ujumbe wa Rais wa Iran kwa mnasaba wa kukumbuka kuzaliwa Nabi Isa AS

    Dec 26, 2020 07:23

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu za pongezi viongozi wa dunia kwa mnasaba wa kukumbuka kuzaliwa Nabii Isa Masih-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake- na kuwadia mwaka mpya wa 2021 Miladia.

  • Rouhani: Kuzinduliwa miradi ya kitaifa ya petrokemikali ni dhihirisho la nguvu ya taifa la Iran

    Rouhani: Kuzinduliwa miradi ya kitaifa ya petrokemikali ni dhihirisho la nguvu ya taifa la Iran

    Dec 24, 2020 14:11

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutaja kuzinduliwa na vijana wataalamu wa Kiirani miradi mbalimbali ya kitaifa ya petrokemikali kuwa ni dhihirisho la nguvu ya taifa la Kiislamu la Iran na ni pigo kubwa kwa ubeberu wa kimataifa.

  • Rouhani: Hatima ya Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta Saddam

    Rouhani: Hatima ya Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta Saddam

    Dec 23, 2020 12:24

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatima ya Rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein.

  • Rouhani: Imani ya wananchi kwa wahudumu wa sekta ya afya imeiepusha nchi na wimbi la tatu la corona

    Rouhani: Imani ya wananchi kwa wahudumu wa sekta ya afya imeiepusha nchi na wimbi la tatu la corona

    Dec 19, 2020 12:24

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelitaja wimbi la tatu la corona hapa nchini kuwa kali sana na kueleza kuwa, umoja, maelewano na imani ya wananchi kwa wafanyakazi wa sekta ya afya vimeiepusha nchi na wimbi hilo la kutisha.

  • Rais Rouhani: Umoja wa taifa la Iran umewalazimu maadui kusalimu amri

    Rais Rouhani: Umoja wa taifa la Iran umewalazimu maadui kusalimu amri

    Dec 17, 2020 12:03

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema umoja wa taifa la Iran ni sababu kuu ambayo imepelekea maadui wa Iran kusalimu amri.

  • Rais Rouhani: Iran ya leo ina uwezo na nguvu kubwa kuliko huko nyuma

    Rais Rouhani: Iran ya leo ina uwezo na nguvu kubwa kuliko huko nyuma

    Dec 16, 2020 11:22

    Rais Hassan Rouhani amesema kuwa, Iran ya leo ina uwezo na nguvu kubwa kuliko ilivyokuwa huko nyuma.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS