-
Iran na Russia kuendelea kushirikiana kuhusu mgogoro wa Syria
Aug 02, 2017 03:42Wanadiplomasia wa ngazi za juu wa Iran na Russia wamesisitizia udharura wa kuendelezwa mazungumzo ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria, sambamba na kupambana na magenge ya kigaidi.
-
Syria: Uungaji mkono wa Iran, Russia na Hizbullah kwetu umebadilisha hali ya mlingano duniani
Jul 29, 2017 03:20Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa ugaidi hauwezi kuyashinda mataifa na kusisitiza kwamba jeshi la nchi hiyo na mhimili wa muqawama zitaendelea kupambana na ugaidi.
-
Maneva ya siku mbili ya kijeshi kati ya Russia na China katika maji ya bahari ya Baltic
Jul 27, 2017 03:01Maneva ya kijeshi ya baharini kati ya Russia na China yalianza siku ya Jumanne ya tarehe 25 mwezi huu katika maji ya bahari ya Baltic.
-
Jumamosi, Julai 22, 2017
Jul 21, 2017 21:57Leo ni Jumamosi tarehe 27 Mfunguo Mosi Shawwal 1438 Hijria, mwafaka na tarehe 22 Julai mwaka 2017 Miladia.
-
Japan: Tutaishawishi Russia isaidie katika kutatua mgogoro wa eneo la Korea
Jul 11, 2017 03:32Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Japan, Norio Maruyama amesema kuwa, Tokyo na washirika wake wataishawishi Russia ili iweze kushiriki katika kutatuliwa mgogoro wa eneo la Korea.
-
China na Russia zapinga utumiwaji njia za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini
Jul 05, 2017 23:52China na Russia zimetangaza kupinga utumiaji njia za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini
-
Russia: Madai mapya ya USA ya silaha za kemikali dhidi ya Syria, ni vita ya kisaikolojia dhidi ya Damascus
Jul 02, 2017 23:42Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, madai mapya ya Marekani kulilenga jeshi la Syria kwamba, limetumia silaha za kemikali katika viunga vya mji wa Damascus, ni vita vya kisaikolojia na propaganda tu dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Ujerumani: Ni lazima kushirikiana na Assad ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria
Jun 29, 2017 02:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitiza kuwa ni lazima kushirikiana na serikali ya Rais Bashar Assad wa Syria ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.
-
Jumamosi, 24 Juni, 2017
Jun 23, 2017 23:40Leo ni Jumamosi tarehe 29 Ramadhani 1438 Hijria sawa na tarehe 24 Juni mwaka 2017 Miladia.
-
Lavrov akosoa harakati za Marekani dhidi ya Russia
Jun 23, 2017 03:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amekosoa hatua ya Marekani ya kuiwekea nchi yake vikwazo vipya.