Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini Russia na matokeo yake

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini Russia na matokeo yake

    Mar 17, 2022 03:08

    Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aliwasili mjini Moscow siku ya Jumanne akiongoza ujumbe wa ngazi za juu kwa ajili ya kukutana na kuzungumza na Sergey Lavrov, Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Russia kuhusu masuala ya pande mbili, mazungumzo ya Vienna, Ukraine, Syria, Yemen na Afghanistan.

  • Lavrov: Kwa hakikisho la maandishi la US, vikwazo vya Magharibi havitaathiri ushirikiano wa Russia na Iran

    Lavrov: Kwa hakikisho la maandishi la US, vikwazo vya Magharibi havitaathiri ushirikiano wa Russia na Iran

    Mar 15, 2022 23:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya nchi yake kwa kisingizio cha vita vya Ukraine havitaathiri ushirikiano wa Moscow na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Amir-Abdollahian: Kustawisha uhusiano na Russia kuna umuhimu kwa Iran

    Amir-Abdollahian: Kustawisha uhusiano na Russia kuna umuhimu kwa Iran

    Mar 15, 2022 10:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, bila kujali matukio na mabadiliko yoyote yanayojiri kimataifa, kustawisha uhusiano na Russia kuna umuhimu kwa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Macron na Biden waafikiana kuongeza vikwazo dhidi ya Russia

    Macron na Biden waafikiana kuongeza vikwazo dhidi ya Russia

    Mar 14, 2022 04:43

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amezungumza kwa njia ya simu na mwenzake wa Marekani kuhusu mashambulio ya Russia dhidi ya Ukraine, na pande hizo mbili zimekubaliana kuzidisha vikwazo dhidi ya Moscow.

  • Kukiri EU kosa lake la kuiahidi Ukraine kujiunga na NATO

    Kukiri EU kosa lake la kuiahidi Ukraine kujiunga na NATO

    Mar 13, 2022 23:23

    Josep Borrell Fontelles, Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amekiri kuwa kitendo cha umoja huo cha kuipa ahadi Ukraine ya kuiunga na Jeshi la Nchi za Magharibi NATO, lilikuwa kosa.

  • Russia: Marekani na washirika wake wanaunda silaha za kibaolojia nchini Ukraine

    Russia: Marekani na washirika wake wanaunda silaha za kibaolojia nchini Ukraine

    Mar 12, 2022 22:49

    Russia imekutaja kuwepo kwa shughuli za kibaolojia nchini Ukraine kuwa ni tishio kwa amani na usalama wa kimataifa na kutangaza kuwa, ina nyaraka zinazothibitisha kuwepo kwa maabara 30 za kibaolojia zenye kemikali za vimelea vinavyosababisha magonjwa hatari kama tauni na kimeta kupitia ndege wanaohama kati ya Ukraine na Russia.

  • Kuwepo kwa wapiganaji wa kigeni katika vita vya Ukraine; mwelekeo na sura mpya

    Kuwepo kwa wapiganaji wa kigeni katika vita vya Ukraine; mwelekeo na sura mpya

    Mar 12, 2022 07:13

    Sambamba na kuendelea vita huko Ukraine, kuwepo kwa vikosi na wapiganaji wa kigeni kumevipa vita hivyo sura na mwelekeo mpya. Ni baada ya Rais Vladimir Putin wa Russia kuafiki suala la kuwezesha wapiganaji na vikosi vya kujitolea vinavyounga mkono nchi hiyo kushiriki katika vita vya Ukraine.

  • Baraza la Usalama la UN leo linajadili faili la silaha za kibaolojia nchini Ukraine

    Baraza la Usalama la UN leo linajadili faili la silaha za kibaolojia nchini Ukraine

    Mar 11, 2022 08:19

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litafanya kikao cha dharura leo kwa ombi la Russia kujadili faili la silaha za kibaolojia nchini Ukraine. Ni baada ya Moscow kuzishutumu Kyiv na Washington kwamba zimekuwa zikitengeneza silaha za kibaolojia za kueneza magonjwa hatari kwa kutumia wanyama, jambo ambalo Marekani na Ukraine zimelikanusha.

  • Russia: Shambulio dhidi ya hospitali ya watoto ni

    Russia: Shambulio dhidi ya hospitali ya watoto ni "habari feki"

    Mar 10, 2022 08:47

    Russia imekanusha habari kuwa imeshambulia hospitali ya watoto katika mji wa Mariupol nchini Ukraine na kutangaza kuwa, jengo linalodaiwa kushambuliwa lilikuwa liimeshatekwa na askari wake kabla ya shambulio hilo.

  • Kuongezeka propaganda za kueneza chuki dhidi ya Russia barani Ulaya

    Kuongezeka propaganda za kueneza chuki dhidi ya Russia barani Ulaya

    Mar 09, 2022 04:38

    Huku mgogoro ukizidi kuwa mkubwa baina ya Russia na nchi za Magharibi hususan kutokana na kupamba moto mapigano nchini Ukraine, mashinikizo yanayotokana na vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia nayo yameongezeka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS