-
WHO: Yumkini ugonjwa hatari wa Ebola umesambaa hadi nchini Rwanda
Jul 18, 2019 07:31Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mwanamke raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyeaga dunia mapema mwezi huu kutokana na homa hatari ya Ebola aliingia nchini Rwanda akiwa ameathiriwa na ugonjwa huo na huenda alisambaza virusi hivyo nchini humo kabla ya kuelekea nchini Uganda alikofia.
-
Polisi wawashikilia watuhumiwa 10 utekaji watu Rwanda + Sauti
Jun 27, 2019 04:29Polisi mjini Kigali Rwanda inawashikilia watu kumi na saba wakiwemo Wanyarwanda 15 na Wakenya wawili kwa shutuma za kuwatapeli vijana zaidi ya elfu tatu wakiwaahidi ajira hewa za ujasiriamali. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi...
-
Rwanda yaitaka Burundi iwashughulike wahalifu 6,000 wa mauaji ya kimbari
Jun 07, 2019 03:38Mwendesha mashtaka mkuu wa Rwanda Jean Mutangana ametoa wito kwa nchi jirani ya Burundi kushughulikia watu ambao amedai walihusika na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda dhidi ya Watutsi.
-
SAUTI, Serikali ya Rwanda imepitisha muswada wa sheria inayofuta sheria zote zilizotungwa wakoloni
Jun 06, 2019 12:41Bunge nchini Rwanda limepitisha muswada wa sheria ambao unalenga kufuta sheria zote zilizotungwa kabla na wakati wa ukoloni.
-
SAUTI, Rais Paul Kagame wa Rwanda: Wale wanaokusudia kuchafua amani yetu tutawanasa popote walipo duniani, ni muda tu
May 09, 2019 00:23Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema kuwa, wale wote wanaokusudia kuchafua usalama na amani ya Rwanda watanaswa na serikali ya Kigali popote pale walipo duniani.
-
Wanamgambo kadhaa wa Rwanda wakamatwa nchini Burundi
May 01, 2019 03:23Serikali ya Burundi imetangaza habari ya kuwatia mbaroni wanamgambo saba wa Rwanda na kisha kuwakabidhi kwa serikali ya Kigali.
-
Rwanda yamkamata kinara wa kundi la waasi la NFL
Apr 30, 2019 22:05Serikali ya Rwanda imetangaza kuwa imemkamata mtu anayejitaja kuwa mkuu wa kundi la waasi la National Liberation Force (NLF)
-
New Zealand, nchi ya kwanza kuikabidhi Rwanda nyaraka za mauaji ya kimbari
Apr 20, 2019 22:11New Zealand imekuwa nchi ya kwanza duniani kuikabidhi Rwanda nyaraka zinazohusiana na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994.
-
Rwanda yawaenzi waliouawa katika mauaji ya kimbari robo karne iliyopita
Apr 07, 2019 10:30Wananchi wa Rwanda leo wamekusanyika kuwaenzi Watutsi 800,000 na Wahutu wenye misimamo ya wastani waliouawa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda yaliyojiri katika kipindi cha miezi mitatu miaka 25 iliyopita.
-
Rais wa Ufaransa atoa amri ya kuchunguzwa nafasi ya Paris katika mauaji ya halaiki nchini Rwanda
Apr 06, 2019 21:57Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameipatia kamisheni moja ya nchi hiyo jukumu la kufuatilia iwapo Paris ilikuwa na nafasi katika mauaji ya halaiki ya muongo wa 90 nchini Rwanda au la.