-
Mpango wa WFP wa kulisha watoto mashuleni Rwanda na matokeo yake chanya
Apr 29, 2023 22:39Mkakati wa Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wa kulisha watoto shuleni umesababisha mabadiliko makubwa katika maisha ya watoto wa shule nchini Rwanda.
-
Wito wa Katibu Mkuu wa UN katika kumbukumbu ya mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi nchini Rwanda
Apr 08, 2023 07:22Wakati dunia ikiadhimisha kumbukumbu ya kutisha ya mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi nchini Rwanda mwaka 1994, ambapo Watutsi na watu wengine waliopinga mauaji hayo waliuawa pia, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekiambia kizazi cha baada ya matukio hayo ya kutisha: “Tusisahau kamwe kilichotokea na tuhakikishe vizazi vijavyo vinayakumbuka kila wakati."
-
Rais Kagame atangaza msamaha kwa shujaa wa "Hotel Rwanda"
Mar 24, 2023 23:43Serikali ya Rwanda imemuachia huru Paul Rusesabagina, nyota wa filamu ya "Hotel Rwanda" aliyegeuka na kuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya Rais Paul Kagame wa nchi hiyo.
-
Rwanda yashambulia ndege ya kivita ya DRC kwa 'kukiuka' anga yake
Jan 25, 2023 08:22Serikali ya Kigali imesema imechukua 'hatua za kujilinda' baada ya ndege ya kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kukiuka anga ya Rwanda.
-
Rwanda yaituhumu DRC kuwa "imetengeneza" mauaji ya halaiki yanayodaiwa kufanywa na M23
Dec 22, 2022 04:05Rwanda imeishutumu serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa "kutengeneza" mauaji, ambayo uchunguzi wa Umoja wa Mataifa ulisema yalifanywa na waasi wa M23 na kusababisha raia 131 kuuawa.
-
Rais Kagame aijia juu US kwa kutaka shujaa wa "Hotel Rwanda" aachiliwe
Dec 16, 2022 02:00Rais Paul Kagame wa Rwanda ameikosoa vikali Marekani kwa kuishinikiza serikali ya Kigali imuachie huru Paul Rusesabagina, nyota wa filamu ya "Hotel Rwanda" aliyegeuka na kuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya Kigali.
-
Wakimbizi wa DRC nchini Rwanda wakosoa kimya cha jamii ya kimataifa
Dec 13, 2022 03:46Maelfu ya wakimbizi raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Rwanda wameikosoa jamii ya kimataifa kwa kufumbia macho mauaji yanayoendelea kufanywa na magenge ya waasi mashariki mwa DRC.
-
Rwanda yaafiki 'kusitishwa mapigano mara moja' mashariki mwa DR Kongo
Nov 19, 2022 03:42Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta na Rais Paul Kagame wa Rwanda wamekubaliana juu ya haja ya waasi wa M23 kusitisha mapigano na kuondoka katika maeneo waliyoyateka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Hayoa yameelezwa kwenye taarifa iliyotolewa na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
-
Maelfu ya watu washiriki maandamano dhidi ya Rwanda mjini Goma Kongo DR
Nov 01, 2022 03:37Maelfu ya watu wameandamana katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) dhidi Rwanda inayodaiwa kuwaunga mkono waasi wa M23, huku uhusiano baina ya nchi hizo mbili ukizidi kuharibika baada ya Kinshasa kumuita nyumbani kaimu balozi wake wa muda aliyeko Kigali.
-
Burundi yafungua mipaka yake na Rwanda baada ya miaka 5
Oct 24, 2022 00:32Serikali ya Burundi imetangaza kufungua mipaka ya ardhini ya nchi hiyo na jirani yake Rwanda, baada ya kufungwa kwa kipindi cha miaka mitano.