Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Rwanda yashambulia ndege ya kivita ya DRC kwa 'kukiuka' anga yake

    Rwanda yashambulia ndege ya kivita ya DRC kwa 'kukiuka' anga yake

    Jan 25, 2023 11:52

    Serikali ya Kigali imesema imechukua 'hatua za kujilinda' baada ya ndege ya kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kukiuka anga ya Rwanda.

  • Rwanda yaituhumu DRC kuwa

    Rwanda yaituhumu DRC kuwa "imetengeneza" mauaji ya halaiki yanayodaiwa kufanywa na M23

    Dec 22, 2022 07:35

    Rwanda imeishutumu serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa "kutengeneza" mauaji, ambayo uchunguzi wa Umoja wa Mataifa ulisema yalifanywa na waasi wa M23 na kusababisha raia 131 kuuawa.

  • Rais Kagame aijia juu US kwa kutaka shujaa wa

    Rais Kagame aijia juu US kwa kutaka shujaa wa "Hotel Rwanda" aachiliwe

    Dec 16, 2022 05:30

    Rais Paul Kagame wa Rwanda ameikosoa vikali Marekani kwa kuishinikiza serikali ya Kigali imuachie huru Paul Rusesabagina, nyota wa filamu ya "Hotel Rwanda" aliyegeuka na kuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya Kigali.

  • Wakimbizi wa DRC nchini Rwanda wakosoa kimya cha jamii ya kimataifa

    Wakimbizi wa DRC nchini Rwanda wakosoa kimya cha jamii ya kimataifa

    Dec 13, 2022 07:16

    Maelfu ya wakimbizi raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Rwanda wameikosoa jamii ya kimataifa kwa kufumbia macho mauaji yanayoendelea kufanywa na magenge ya waasi mashariki mwa DRC.

  • Rwanda yaafiki 'kusitishwa mapigano mara moja' mashariki mwa DR Kongo

    Rwanda yaafiki 'kusitishwa mapigano mara moja' mashariki mwa DR Kongo

    Nov 19, 2022 07:12

    Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta na Rais Paul Kagame wa Rwanda wamekubaliana juu ya haja ya waasi wa M23 kusitisha mapigano na kuondoka katika maeneo waliyoyateka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Hayoa yameelezwa kwenye taarifa iliyotolewa na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

  • Maelfu ya watu washiriki maandamano dhidi ya Rwanda mjini Goma Kongo DR

    Maelfu ya watu washiriki maandamano dhidi ya Rwanda mjini Goma Kongo DR

    Nov 01, 2022 07:07

    Maelfu ya watu wameandamana katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) dhidi Rwanda inayodaiwa kuwaunga mkono waasi wa M23, huku uhusiano baina ya nchi hizo mbili ukizidi kuharibika baada ya Kinshasa kumuita nyumbani kaimu balozi wake wa muda aliyeko Kigali.

  • Burundi yafungua mipaka yake na Rwanda baada ya miaka 5

    Burundi yafungua mipaka yake na Rwanda baada ya miaka 5

    Oct 24, 2022 04:02

    Serikali ya Burundi imetangaza kufungua mipaka ya ardhini ya nchi hiyo na jirani yake Rwanda, baada ya kufungwa kwa kipindi cha miaka mitano.

  • Kabuga, mtuhumiwa wa mauaji ya kimbari Rwanda akwepa ufunguzi wa kesi yake

    Kabuga, mtuhumiwa wa mauaji ya kimbari Rwanda akwepa ufunguzi wa kesi yake

    Sep 29, 2022 12:21

    Felicien Kabuga anayetuhumiwa kushiriki katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda ameripotiwa kukataa kuhudhuria ufunguzi wa kesi dhidi yake katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ya mjini Hague nchini Uholanzi.

  • UN yawahamishia Rwanda watafuta hifadhi 100 kutoka Libya

    UN yawahamishia Rwanda watafuta hifadhi 100 kutoka Libya

    Sep 02, 2022 12:06

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limetangaza kuwa limewahamishia nchini Rwanda makumi ya watu wanaotafuta hifadhi waliokuwa nchini Libya.

  • Mpango wa UK wawaacha bila makazi wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda

    Mpango wa UK wawaacha bila makazi wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda

    Sep 01, 2022 07:36

    Wahanga wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda waliofurushwa katika mabweni walikokuwa wakiishi kutokana na mpango tata wa wakimbizi wa Uingereza, wanalalamika kuwa wameachwa bila pahala pa kuishi, licha ya mabweni hayo kusalia bila watu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS