-
Saudia inaongoza katika nchi za Kiarabu na ni ya sita duniani kwa bajeti kubwa ya kijeshi
Apr 27, 2021 23:14Taasisi ya kimataifa ya tafiti za masuala ya amani ya Stockholm imeeleza katika ripoti yake kuwa, Saudi Arabia inashika nafasi ya kwanza kati ya nchi za Kiarabu na ni ya sita kati ya nchi zote duniani kwa kutumia fedha nyingi kwa ajili ya bajeti ya masuala ya kijeshi.
-
Saudi Leaks: Bin Salman anatumia pombe, ni mraibu wa dawa za kulevya
Apr 26, 2021 23:50Mtandao wa Saudi Leaks umefichua kuwa, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman anatumia dawa za kulevya ni ni mraibu wa heroni.
-
Yafichuka: Bin Salman anahonga vyombo vya habari ili kusafisha sura yake duniani
Apr 25, 2021 07:49Mtandao mmoja wa habari nchini Marekani umefichua kuwa, mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman amefunga mkataba wa gharama kubwa ya fedha na kampuni moja ya Marekani kwa shabaha ya kuboresha sura yake iliyochafuka sana mbele ya macho ya walimwengu.
-
Mamluki wa Saudia na Imarati wapigana wao kwa wao kusini mwa Yemen
Apr 12, 2021 06:54Mamluki wa kundi linalojiita Baraza la Mpito la Kusini lenye mfungamano na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na wale wa serikali iliyojiuzulu ya Yemen wenye mfungamano na Saudi Arabia kwa mara nyingine tena wamepigana wao kwa wao huko kusini mwa Yemen.
-
Vibarua wa kigeni Saudia wanakabiliwa na hali mbaya, Wabangladeshi wengi waambukizwa corona
Apr 11, 2021 03:25Kufuatia kuibuka wimbi jipya la COVID-19 au corona duniani, taarifa kutoka Saudi Arabia zinaonyesha vibarua wa kigeni wenye asili ya Asia nchini humo wanakabiliwa na hali mbaya ya kiafya.
-
Hamas: Kutiwa nguvuni Wapalestina huko Saudia kunawanufaisha Wazayuni
Apr 05, 2021 22:17Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametilia mkazo udharura wa kuachiwa huru makumi ya Wapalestina wanaoshikiliwa mahabusu nchini Saudi Arabia na kusema kuwa, kufungwa kwa Wapalestina hao huko Saudia kunawanufaisha Wazayuni wa Israel.
-
Saudia yawekeza dola bilioni 1.5 kusafisha faili chafu la ukandamiza wa haki za binadamu
Mar 29, 2021 08:04Mashirika ya kutetea haki za binadamu yametangaza kuwa, serikali ya Saudi Arabia imewekeza dola bilioni 1.5 za Marekani kwa ajili ya kupata uenyeji wa mashindano ya kimataifa ya michezo na kutakasa sura yake chafu ya ukandamizaji na ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Al Houthi: Saudia itaangamia ikiendelea kuishambulia Yemen
Mar 09, 2021 04:26Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Mapinduzi Yemen amesisitiza kuwa iwapo Saudi Arabia itaendeleza hujuma yake dhidi ya Yemen, uvamizi huo utapelekea kuangamia ufalme wa Saudia.
-
Waziri wa Habari wa Yemen: Tuna uwezo wa kupiga popote pale Saudia
Mar 09, 2021 01:15Waziri wa Habari wa Yemen amesisitiza kuwa, shambulio la vikosi vya ulinzi vya Yemen dhidi ya Taasisi za Mafuta za Shirika la Aramco la Saudi Arabia ni ujumbe wa wazi kwamba vikosi vya Yemen vina uwezo wa kupiga eneo lolote lile ndani ya ardhi ya Saudi Arabia.
-
Saudia: Aramco na bandari ya mafuta ya Ras Tanura zimeshambuliwa kwa makombora ya Ansarullah
Mar 08, 2021 04:12Wizara ya Ulinzi ya Saudi Arabia imethibitisha kuwa vikosi vya ulinzi vya Yemen vimefanya mashambulio makubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani ndani ya ardhi ya nchi hiyo.