Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Saudi Arabia: Chanjo ya corona ni sharti la kufanya ibada ya Hija mwaka huu

    Saudi Arabia: Chanjo ya corona ni sharti la kufanya ibada ya Hija mwaka huu

    Mar 02, 2021 08:56

    Waziri wa Afya wa Saudi Arabia ametangaza kuwa, kupata chanjo ya virusi vya corona ni sharti muhimu kwa watu wote wanaoazimia kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu katika miji mitakatifu ya Makka na Madina.

  • Jeshi la Yemen latungua ndege ya kijasusi ya Saudi Arabia

    Jeshi la Yemen latungua ndege ya kijasusi ya Saudi Arabia

    Mar 02, 2021 04:19

    Jeshi la Yemen limetangaza kutungua ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya Saudi Arabia wakati ikiwa katika oparesheni ya kijasusi nchini humo.

  • Afisa wa Umoja wa Mataifa aikosoa Marekani kwa kutomchukulia hatua Bin Salman

    Afisa wa Umoja wa Mataifa aikosoa Marekani kwa kutomchukulia hatua Bin Salman

    Mar 02, 2021 04:09

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa Agnes Kalamar amesema ripoti ya serikali ya Marekani kuhusu mauaji ya mwandishi habari mkosoaji wa Saudia ni ya kuvunja moyo.

  •  Michelle Bachelet: Saudia ikomeshe ukatili na ukiukaji wa haki za binadamu

    Michelle Bachelet: Saudia ikomeshe ukatili na ukiukaji wa haki za binadamu

    Feb 26, 2021 23:20

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza masikitiko yake kutokana na ukandamizaji unaofanywa na serikali ya Saudi Arabia dhidi ya raia wa nchi hiyo.

  • Saudia yazidi kushutumiwa kwa kuvunja haki za binadamu

    Saudia yazidi kushutumiwa kwa kuvunja haki za binadamu

    Feb 21, 2021 00:43

    Dada wa mwanaharakati mmoja wa masuala ya kijamii wa Saudi Arabia ameushutumu vikali utawala wa ukoo wa Aal Saud kwa kuwatesa na kuwakandamiza wakosoaji wa utawala huo wa kiimla.

  • Ansarullah yatoa indhari kwa mashirika ya ndege kutotumia viwanja vya ndege vya Saudia

    Ansarullah yatoa indhari kwa mashirika ya ndege kutotumia viwanja vya ndege vya Saudia

    Feb 11, 2021 04:33

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Asarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, Utawala wa Aal Saud unatumia viwanja vya ndege vya Saudia kutekeleza mashambulizi dhidi ya Yemen na kuyatahadharisha mashirika ya ndege kutotumia viwanja hivyo.

  • Abdulsalam: Martin Griffiths ni Muingereza katika joho la Umoja wa Mataifa

    Abdulsalam: Martin Griffiths ni Muingereza katika joho la Umoja wa Mataifa

    Feb 10, 2021 04:18

    Msemaji wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amesema kuwa mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro wa Yemen, Martin Griffiths, ni Muingereza aliyevaa joho la Umoja wa Mataifa.

  • Mjumbe Maalumu wa UN nchini Yemen afanya mazungumzo na mshauri wa Zarif

    Mjumbe Maalumu wa UN nchini Yemen afanya mazungumzo na mshauri wa Zarif

    Feb 08, 2021 04:33

    Mjumbe Malumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen amefanya mazungumzo na mshauri maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ambapo wamejadili matukio ya hivi karibuni ya Yemen.

  • Italia pia yasitisha mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati

    Italia pia yasitisha mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati

    Jan 30, 2021 04:22

    Serikali ya Italia imesimamisha uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, baada ya wanaharakati na wabunge wa nchi hiyo ya Ulaya kuonya kuwa, silaha hizo zinatumika kukanyaga haki za binadamu nchini Yemen.

  • Saudia yashambulia mara 13 ndani ya siku moja mikoa ya Sa'dah na Ma'rib nchini Yemen

    Saudia yashambulia mara 13 ndani ya siku moja mikoa ya Sa'dah na Ma'rib nchini Yemen

    Jan 25, 2021 09:00

    Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeshambulia mara 13 katika muda wa saa 24 zilizopita maeneo tofauti ya mikoa ya Sa'dah na Ma'rib, ikiwa ni katika mwendelezo wa hujuma zake dhidi ya maeneo ya makazi ya raia nchini Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS