-
Mkuu wa Benki ya Dunia asusia mkutano wa Saudi Arabia, kisa, mauaji ya Khashoggi
Oct 12, 2018 23:15Mkuu wa Benki ya Dunia amekataa kushiriki katika mkutano wa wawekezaji uliopangwa kufanyika Saudi Arabia.
-
Uturuki: Tuna mkanda unaothibitisha Saudia imemuua Khashoggi
Oct 12, 2018 13:42Afisa mmoja wa masuala ya usalama wa Uturuki amesema kuwa, kuna mkanda wa sauti na video unaothibitisha kuwa mwandishi habari na mkosoaji wa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi ameuawa ndani ya ubalozi wa nchi hiyo nchini Uturuki.
-
Trump awashambulia marafiki na maadui zake
Oct 11, 2018 23:11Tangu aingie madarakani nchini Marekani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekuwa akitekeleza siasa ambazo zimeifanya dunia kuwa uwanja wa malumbano na mivutano.
-
Droni ya jeshi la Yemen ya Qasef-1 yashambulia kambi za wanajeshi vamizi wa Saudia
Oct 10, 2018 11:37Kikosi cha ndege zisizo na rubani cha jeshi la Yemen kimeshambulia ngome na mahali walipokuwa makamanda wa muungano wa wanajeshi vamizi katika kambi ya Anbara magharibi mwa Yemen.
-
Afrika Kusini yatuhumiwa kushirikiana na Saudia katika mauaji ya watu wa Yemen
Oct 08, 2018 11:17Serikali ya Afrika Kusini imetuhumiwa kuwa inashirikiana na Saudi Arabia katika mauaji yanayofanywa na utawala huo wa kifalme dhidi ya raia wasio na hatia nchini Yemen.
-
AI: Jamii ya kimataifa ifuatilie mauaji ya mwandishi habari Msaudi
Oct 08, 2018 11:00Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka jamii ya kimataifa isinyamazie kimya ukandamizaji unaofaywa na serikali ya Saudi Arabia dhidi ya wapinzani wa nchi hiyo na iishinikize serikali ya Riyadh kwa ajili ya kuweka wazi faili la mwandishi habari wa nchi hiyo aliyetoweka kwa njia ya kutatanisha.
-
UN: Jamii ya Kimataifa haitalifanya kuwa jambo jepesi faili la mauaji ya Jamal Khashoggi
Oct 08, 2018 04:14David Kaye, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa uhuru wa maoni na kujieleza amesema kuhusiana na mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia aliyeuliwa katika ubalozi mdogo wa nchi hiyo mjini Istanbul, Uturuki, kwamba jamii ya kimataifa haitalifanya kuwa jambo jepesi faili la mauaji ya mwandishi huyo wa habari.
-
The Independent: Kadhia ya Khashoggi imezidi kudhihirisha jinsi utawala wa Saudia ulivyo dhaifu
Oct 07, 2018 12:00Gazeti la The Independent linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa kusadifiana mkasa wa kuuliwa mwandishi wa habari mkoasoaji wa utawala wa Aal Saud sambamba na matamshi ya udhalilishaji yaliyotolewa na rais wa Marekani kuhusu Saudi Arabia kumezidi kudhihirisha jinsi utawala huo ulivyo dhaifu.
-
Waturuki waandamana mbele ya ubalozi wa Saudia wakitaka kuachiliwa huru Jamal Khashoggi
Oct 06, 2018 01:22Raia wa Uturuki wamefanya maandamano mbele ya ubalozi wa Saudia wakitaka kuachiliwa huru mwandishi wa habari wa Saudia ambaye ametoweka kwa siku kadhaa sasa.
-
Saudia, Imarati na Marekani kuunda muungano wa kijeshi Pembe ya Afrika
Oct 01, 2018 00:03Gazeti moja la nchini Qatar limefichua kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu kwa kushirikiana na Saudi Arabia zina nia ya kuunda muungano mwingine wa kijeshi wa nchi kadhaa katika eneo la Pembe ya Afrika.