• Ndege zisizo na rubani za Yemen zashambulia Shirika la Mafuta la Saudia, mjini Riyadh

    Ndege zisizo na rubani za Yemen zashambulia Shirika la Mafuta la Saudia, mjini Riyadh

    Jul 19, 2018 03:32

    Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema baada ya ndege zisizo na rubani za nchi hiyo kushambulia kwa makombora Shirika la Mafuta la Saudi Arabia (ARAMCO) kwamba, operesheni ya jeshi la Yemen kwa kutumia ndege hizo zisizo na rubani, zimeleta mabadiliko makubwa katika vita dhidi ya maadui.

  • Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan

    Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan

    Jul 15, 2018 23:46

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa na kieneo wa nchini Afghanistan ambaye pia ni muhadhiri katika Chuo Kikuu cha mjini Kabul, mji mkuu wa nchi hiyo amesema kuwa, Saudi Arabia inalinda kikamilifu maslahi na malengo ya Marekani nchini Afghanistan.

  • SAUTI, Mashirika ya kiraia yaitaka serikali ya Kenya kuwasaidia Wakenya wanaoteswa nchini Saudia

    SAUTI, Mashirika ya kiraia yaitaka serikali ya Kenya kuwasaidia Wakenya wanaoteswa nchini Saudia

    Jul 14, 2018 12:50

    Mashirika kadhaa ya kutetea haki za binaadamu nchini Kenya yameitaka serikali ya ya nchi hiyo kufuatialia hali ya Wakenya wanaofanya kazi mbalimbali katika nchi za Kiarabu hususan Saudi Arabia.

  • Msafara wa vifaru vya Saudia waangamizwa na Wayemen

    Msafara wa vifaru vya Saudia waangamizwa na Wayemen

    Jul 14, 2018 09:34

    Kikosi cha mizinga na makombora cha jeshi pamoja na Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen, kimefanikiwa kuangamiza msafara wa vifaru vya Saudi Arabia vilivyokuwa ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Saudi Arabia yamtia nguvuni mwanazuoni wa nchi hiyo kwa kukosoa serikali

    Saudi Arabia yamtia nguvuni mwanazuoni wa nchi hiyo kwa kukosoa serikali

    Jul 12, 2018 10:29

    Utawala wa Saudi Arabia umemtia nguvuni mwanazuoni wa kidini wa nchi hiyo baada ya kukosoa siasa za utawala wa kifalme wa nchi hiyo na Marekani.

  • Hadithi ya Uongofu (118)

    Hadithi ya Uongofu (118)

    Jul 11, 2018 08:34

    Ni wasaa na wakati mwingine wapenzi wasikilizaji tunapokutana katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu. Kipindi chetu kilichopita kilizungumzia moja ya tabia mbaya za kimaadili nayo ni uzuaji na usingiziaji au utungaji uwongo.

  • Saudia yaendeleza tuhuma zake dhidi ya Iran

    Saudia yaendeleza tuhuma zake dhidi ya Iran

    Jul 10, 2018 23:56

    Serikali ya Saudi Arabia sambamba na kutuma barua kwenda Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeituhumu nchi hii kwamba inakiuka haki yake ya kujitawala katika maji ya bahari ya nchi hiyo.

  • Jeshi la Yamen lavurumisha kombora katika kambi ya mamluki wa Saudia

    Jeshi la Yamen lavurumisha kombora katika kambi ya mamluki wa Saudia

    Jul 10, 2018 23:38

    Jeshi la Yemen, likishirikiana na wapiganaji wa Kamati za Wananchi, limevurumisha kombora lililotengenezwa nchini humo na kulenga kambi ya mamluki wa Saudi Arabia ambao ni watiifu kwa rais wa zamani wa nchi hiyo Abd Rabbuh Mansur Hadi katika mji wa al Hudaydah katika pwani ya magharibi mwa nchi hiyo.

  • Hadithi ya Uongofu (114)

    Hadithi ya Uongofu (114)

    Jul 10, 2018 08:19

    Ni wakati mwingine mpenzi msikilizaji mnapojiunga nami katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu.

  • Tsunami ya kamatakamata nchini Saudi Arabia

    Tsunami ya kamatakamata nchini Saudi Arabia

    Jul 06, 2018 22:12

    Vita vya madaraka katika ukoo wa Aal Sad nchini Saudi Arabia vinachukua mkondo mpya na mpana zaidi kila siku ambapo wanawafalme na maafisa wengi wa ngazi za juu nchini humo wamekuwa wakitiwa mbaroni kwa amri ya Muhamm bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo.