Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Mwandishi wa Algeria: Saudia ni silaha inayotumiwa na Marekani kuwahujumu Waislamu

    Mwandishi wa Algeria: Saudia ni silaha inayotumiwa na Marekani kuwahujumu Waislamu

    Jul 19, 2017 12:49

    Mwandishi maarufu wa nchini Algeria Haddat Hizam, amesema kuwa kinyume na madai yanayotolewa, Saudia si tu kwamba haina na nafasi yoyote yenye maslahi katika eneo, bali ni nyenzo bora inayotumiwa na Marekani kuwalenga Waislamu.

  • Wasudan elfu 50 watimuliwa Saudia kwa sababu ya matatizo ya kiuchumi ya Riyadh

    Wasudan elfu 50 watimuliwa Saudia kwa sababu ya matatizo ya kiuchumi ya Riyadh

    Jul 18, 2017 11:04

    Jumla ya Wasudan elfu 50 wanaoishi nchini Saudia, wametakiwa kuondoka nchi hiyo kabla ya muda waliopewa na serikali ya Riyadh kumalizika.

  • Saudia yaichochea FIFA iipokonye Qatar uwenyeji wa Kombe la Dunia 2022

    Saudia yaichochea FIFA iipokonye Qatar uwenyeji wa Kombe la Dunia 2022

    Jul 16, 2017 02:31

    Saudi Arabia inaziongoza nchi kadhaa za Kiarabu katika kulishinikiza Shirikisho la Soka Duniani kuipokonya Qatar haki ya kuandaa Kombe la Dunia mwaka 2022 kwa madai kuwa nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi inaunga mkono ugaidi.

  • Saudia yashindwa kuishawishi OIC kutoa azimio dhidi ya Iran

    Saudia yashindwa kuishawishi OIC kutoa azimio dhidi ya Iran

    Jul 14, 2017 22:03

    Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kisiasa na Usalama wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, pendekezo la Saudia la kuingizwa kipengee cha kuilaani Iran katika taarifa ya mwisho ya kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC limetupiliwa mbali na wajumbe wa kikao hicho.

  • Maafisa wa Saudia waliwasaidia magaidi wa ISIS huko Mosul, Iraq

    Maafisa wa Saudia waliwasaidia magaidi wa ISIS huko Mosul, Iraq

    Jul 14, 2017 03:33

    Saudi Arabia ilituma maafisa wake wa kijasusi na kijeshi kujiunga na magaidi wa ISIS au Daesh Mosul wakati wa oparesheni ya jeshi la Iraq ya kuukomboa mji huo.

  • Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Uingereza  wazidi kulalamikiwa kimataifa

    Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Uingereza wazidi kulalamikiwa kimataifa

    Jul 12, 2017 03:02

    Taasisi za kutetea haki za binadamu nchini Uingereza zimekosoa kuendelea mchakato wa kuiuzia silaha Saudi Arabia ili izitumie katika mashambulizi yake dhidi ya raia wa Yemen wasio na hatia.

  • Bin Salman akoswakoswa kuuawa kwa risasi Saudi Arabia

    Bin Salman akoswakoswa kuuawa kwa risasi Saudi Arabia

    Jul 11, 2017 11:41

    Ripoti za kuaminika zinasema kuwa, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia na mwana wa mfalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman amekoswakoswa kuuawa kwa risasi ndani ya familia ya kifalme ya Saudia.

  • Ahadi ya kuchekesha ya Saudia katika kuishawishi Iraq ijiunge na nchi zilizo dhidi ya Qatar

    Ahadi ya kuchekesha ya Saudia katika kuishawishi Iraq ijiunge na nchi zilizo dhidi ya Qatar

    Jul 10, 2017 22:36

    Vyanzo vilivyo karibu na Haidar al-Abadi Waziri Mkuu wa Iraq vimesema kuwa Saudi Arabia inaishiinikiza nchi hiyo ili ijiunge na nchi zinazoiwekea vikwazo Qatar

  • Hali yazidi kuwa mbaya Saudia, sasa mahujaji kupandishiwa kodi kwa asilimi 30

    Hali yazidi kuwa mbaya Saudia, sasa mahujaji kupandishiwa kodi kwa asilimi 30

    Jul 10, 2017 00:07

    Wizara inayosimamia Ibada ya Hijja na Umra nchini Saudia imeyataka mashirika na taasisi za ndani zinazohusika na ibada ya Hija, sambamba na kuwasilisha dhamana ya benki, kuwatoza mahujai kodi ya asilimia 30.

  • Raia wa kigeni Saudia kutozwa kodi, pesa za ufalme zimeishia vitani Yemen

    Raia wa kigeni Saudia kutozwa kodi, pesa za ufalme zimeishia vitani Yemen

    Jul 09, 2017 23:29

    Saudi Arabia inapanga kuwatoza kodi raia wa kigeni nchini humo kutokana na nakisi kubwa ya bajeti iliyotokana na kiasi kikubwa cha fedha kutumiwa kuivamia nchi jirani ya Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS