-
Dakta Zarif: Iran kinyume na Saudia, inafuatilia kutatuliwa kisiasa mgogoro wa Syria
May 26, 2017 22:17Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran kinyume na Saudi Arabia, inafuatilia kuhakikisha kwamba, mgogoro wa Syria unapatiwa ufumbuzi kupitia njia za kisiasa.
-
Wanaharakati 14 wahukumiwa kifo kwa kuandamana Saudia
May 26, 2017 09:43Mahakama moja nchini Saudi Arabia imewahukumu adhabu ya kifo wanaharakati 14 kwa kushiriki maandamano katika eneo la Qatif.
-
Wabunge Marekani wapanga kumzuia Trump kuiuzia Saudia silaha
May 26, 2017 03:04Wabunge kadhaa nchini Marekani wanapanga kuanzisha sheria ya kumzuia Rais Donald Trump kuiuzia Saudia baadhi ya silaha.
-
Wanajeshi wa Saudia waendeleza hujuma katika mji wa Al Awamiyah
May 24, 2017 23:56Baada ya kupita wiki mbili tokea wanajeshi wa Saudi Arabia wavamie mtaa wa Al Masourah mjini Al-Awamiya mashariki mwa nchi hiyo hali inaripotiwa kuwa mbaya huku ukandamizaji ukiendelea.
-
Iran: Mauaji ya waandamanaji Bahrain, matokeo ya awali ya safari ya Trump Riyadh
May 23, 2017 23:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kushambuliwa na kuuawa wananchi wa Bahrain waliokuwa wakishiriki maandamano ya amani ni matokeo ya kwanza ya safari ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani, Donald Trump nchini Saudi Arabia.
-
Waislamu Pakistan: Mkutano wa Riyadh na Trump ulikuwa wa kupanga njama chafu dhidi ya Uislamu
May 23, 2017 10:52Kiongozi wa Jumuiya ya 'Ahlu Hurm' ya nchini Pakistan amekosoa vikali safari ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Saudia na kikao cha hivi karibuni katika mji mkuu wa nchi hiyo Riyadh, na kusema kuwa kikao hicho kimebainisha wazi kwamba baadhi ya nchi hazifungamani na mafundisho ya dini ya Uislamu, bali zinafungamana na dini ambayo msemaji wake ni Rais Trump.
-
Saudia mnunuzi mkubwa zaidi wa silaha za Marekani, Israel mpokezi mkubwa zaidi wa misaada ya kijeshi ya Marekani
May 23, 2017 02:33Utawala wa Kizayuni wa Israel umebainisha wasiwasi wake kuhusu Marekani kuiuzia Saudi Arabia silaha zenye kugharimu mabilioni ya dola katika hali ambayo Israel yenyewe inapokea misaada ya silaha za kisasa zaidi kutoka Marekani.
-
Independent: Hotuba ya Trump Saudia imetoa baraka kwa tawala za kidikteta Mashariki ya Kati
May 22, 2017 11:58Gazeti la The Independent linalochapishwa London, Uingereza limeandika kuwa hotuba iliyotolewa na Rais wa Marekani mjini Riyadh, Saudi Arabia ilikuwa sawa na ujumbe wa kutoa baraka kwa tawala za kiimla na kidikteta za Mashariki ya Kati (Magharibi ya Asia) za kuendeleza utesaji na ukandamizaji dhidi ya jamii za wachache katika nchi zao.
-
Afghanistan: Saudia na Qatar, ndio wafadhili wakuu wa genge la Daesh nchini mwetu
May 22, 2017 11:18Mjumbe wa Bunge la Afghanistan amesema kuwa, kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) linaendelesha harakati zake kaskazini mwa nchi hiyo kupitia uungaji mkono wa kifedha wa Saudia na Qatar.
-
Seneta wa US akosoa mauzo ya silaha kwa Saudia kwa dola bilioni 110
May 21, 2017 23:32Seneta mmoja wa chama cha Democratic nchini Marekani amekosoa vikali hatua ya Washington kusaini makubaliano ya mauzo ya silaha yenye thamani ya dola bilioni 110 za Marekani kwa Saudi Arabia, licha ya kufahamu fika kuwa silaha hizo zinatumiwa na watawala Riyadh kuwaua raia wa Yemen.