-
Human Rights Watch yamuonya Trump kuhusu kuiuzia silaha Saudia
May 21, 2017 23:27Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limemuona Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na kuiuzia silaha Saudi Arabia kutokana na nchi hiyo kutenda jinai dhidi ya wananchi wa Yemen.
-
Hizbullah: Safari ya Trump Saudia ni ya kiwendawazimu
May 21, 2017 09:35Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imeitaja safari ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Saudi Arabia kama ya kiwendawazimu na ambayo haitakuwa na tija yoyote kwa ulimwengu wa Kiislamu.
-
Iran: Lengo la Marekani ni kuudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu
May 21, 2017 03:26Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa ya Bunge la Iran amesema, lengo la Marekani ni kuudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu, kushadidisha mizozo katika eneo hili, kuuza silaha nyingi zaidi na kuweka kambi nyingi zaidi za kijeshi katika nchi kama vile Saudi Arabia.
-
Jumapili 21 Mei, 2017
May 21, 2017 00:00Leo ni Jumapili tarehe 24 Shaaban 1438 Hijria Qamaria sawa 21 Mei 2017 Miladia.
-
Ijumaa Tarehe 19 Mei, 2017
May 19, 2017 05:48Leo ni Ijumaa tarehe 22 Shaaban 1438 Hijiria, sawa na tarehe 19 Mei 2017 Miladia.
-
Madai yasiyo na msingi kwamba Iran inapeleka silaha nchini Yemen
May 16, 2017 03:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Bahram Qassemi ameashiria mashambulio ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen yaliyoanza Machi mwaka 2015 na kuendelea hadi sasa na kueleza kwamba Wayemeni wana silaha nyingi sana ambapo bila ya kuzingaia ukweli huo, Saudia ilidhani itaweza kuhatimisha vita hivyo kwa manufaa yake ndani ya kipindi kifupi mno.
-
Saudia yauzingira mji wa Waislamu wa Kishia
May 15, 2017 23:42Mji mmoja wenye idadi kubwa ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Saudi Arabia uko chini ya mzingiro kwa siku ya saba mfululizo huku raia kadhaa wakiuawa na jeshi walipokuwa katika maandamano ya Amani.
-
Qassemi: Kikao cha Marekani na Waarabu mjini Riyadh ni njama za Kizayuni
May 15, 2017 23:42Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria safari ijayo ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Saudia kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa nchi za Kiarabu na Marekani mjini Riyadh na kusema kuwa, kufanyika kikao hicho ni katika njama za Wazayuni.
-
US: Lengo la safari ya Trump Mashariki ya Kati ni dhidi ya Iran
May 15, 2017 03:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema lengo kuu la safari ya wiki ijayo ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika eneo la Mashariki ya Kati ni kwa ajili ya kuunda 'umoja' dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mashambulizi ya Saudia nchini Yemen, yasababisha kuenea maradhi baina ya watoto
May 12, 2017 22:04Kuendelea vita na mzingiro wa kila upande unaofanywa na Saudi Arabia kupitia ndege za kivita za nchi hiyo huko Yemen, kumesababisha kuenea maradhi baina ya watoto wa taifa hilo masikini la Kiarabu, kiasi kwamba kila dakika 10 mtoto mmoja hufariki dunia kutokana na maradhi hayo.