Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Askari wa Saudia wavamia tena mashariki mwa nchi hiyo, waua na kujeruhi

    Askari wa Saudia wavamia tena mashariki mwa nchi hiyo, waua na kujeruhi

    May 11, 2017 00:13

    Wanaharakati wa Saudia wametangaza kwamba kwa mara nyingine tena askari wa utawala wa nchi hiyo wamevamia mji wa Al-Awamia ulioko eneo la Qatif katika mkoa wa Mashariki alikozaliwa Sheikh Nimr Baqir Nimr, mwanazuoni mkubwa aliyeuawa shahidi na utawala huo mwaka uliopita, na kusababisha maafa.

  • Alkhamisi, Mei 11, 2017

    Alkhamisi, Mei 11, 2017

    May 10, 2017 21:47

    Leo ni Alkhamisi tarehe 14 Shaaban mwaka 1438 Hijria mwafaka na tarehe 11 Mei mwaka 2017 Miladia.

  • Iran yaionya Saudia dhidi ya kuchukua hatua yoyote ya kishenzi dhidi ya Tehran

    Iran yaionya Saudia dhidi ya kuchukua hatua yoyote ya kishenzi dhidi ya Tehran

    May 08, 2017 02:26

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameuonya vikali utawala wa kifalme wa Aal-Saud dhidi ya kufanya maamuzi yoyote ya kipuuzi dhidi ya taifa hili na kusisitiza kwamba Jeshi la Iran halitachelewa kutoa jibu kali kwa kuusambaratisha utawala wote wa Riyadh.

  • Saudi yaipongeza Marekani kwa kuendeleza sera za uhasama dhidi ya Iran

    Saudi yaipongeza Marekani kwa kuendeleza sera za uhasama dhidi ya Iran

    May 06, 2017 09:19

    Adel al Jubeir, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia, katika safari yake ya hivi karibuni nchini Marekani, alizungumza na waandishi habari na kusema, safari ijayo ya rais Trump wa Marekani nchini Saudia itakuwa ya kihistoria huku akimpongeza rais huyo na serikali yake kwa misimamo yao mikali na ya uhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Barua ya Iran kwa Umoja wa Mataifa; Saudi Arabia nembo ya ugaidi katika eneo

    Barua ya Iran kwa Umoja wa Mataifa; Saudi Arabia nembo ya ugaidi katika eneo

    May 05, 2017 09:52

    Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa matamshi ya hivi karibuni ya Muhammad bin Salman, Naibu Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa Saudi Arabia dhidi ya Iran ni kinyume cha kipengee cha nne cha mada ya pili ya hati ya umoja huo na kwamba ni kukiri wazi nchi hiyo ya kifalme kuhusiana na uungaji mkono wake kwa vitendo vya mabavu na ugaidi.

  • Umoja wa Mataifa walaani siasa za ukandamizaji za utawala wa Saudia

    Umoja wa Mataifa walaani siasa za ukandamizaji za utawala wa Saudia

    May 05, 2017 03:00

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu ameukosoa vikali utawala wa Saudi Arabia kwa kukiuka uhuru wa maoni, kuwatia nguvuni kiholela na kuwatesa wanaharakati wa kisiasa nchini humo.

  • Khoshrou: Matamshi ya Muhammad bin Salman, ni kitisho dhidi ya Iran na kukiri Saudia kuwa inahusika na ugaidi

    Khoshrou: Matamshi ya Muhammad bin Salman, ni kitisho dhidi ya Iran na kukiri Saudia kuwa inahusika na ugaidi

    May 05, 2017 00:08

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa, amesema kuwa matamshi ya hivi karibuni ya Kaimu Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa utawala wa kifalme wa Saudia, ni tishio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ni kukiri kuwepo ushirikiano wa utawala wa Saudia na vitendo vya ukatili na ugaidi ndani ya Iran.

  • Saudia yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, Muhammad Bin Salman adhihirisha chuki yake

    Saudia yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, Muhammad Bin Salman adhihirisha chuki yake

    May 03, 2017 00:07

    Naibu Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa utawala wa kifalme nchini Saudia, amebainisha chuki yake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kusema wazi kwamba, Saudia haitakuwa na mahusiano mazuri na Tehran.

  • Saudia imetumia fedha nyingi kuiziba mdomo jamii ya kimataifa isizungumzie jinai inazofanya Yemen

    Saudia imetumia fedha nyingi kuiziba mdomo jamii ya kimataifa isizungumzie jinai inazofanya Yemen

    Apr 27, 2017 11:28

    Mkuu wa Taasisi iitwayo "Haki za Binaadamu kwa ajili ya Yemen" amesema kuwa, Saudi Arabia imetumia kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya kuinyamazisha jamii ya kimataifa isizungumzie jinai zake inazozitenda nchini Yemen na pia kuhusu hali mbaya ya kibinaadamu inayoshuhudiwa hivi sasa nchini humo.

  • Umoja wa Mataifa: Yemen inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa duniani

    Umoja wa Mataifa: Yemen inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa duniani

    Apr 26, 2017 03:27

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa indhari kuhusu hali mbaya ya maafa inayowakabili watoto nchini Yemen kutokana na mashambulio ya kijeshi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS