Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Wapalestina: Uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ndio umeifanya Saudia iichukie Tehran

    Wapalestina: Uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ndio umeifanya Saudia iichukie Tehran

    Feb 20, 2017 04:07

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina amesema kuwa, Saudia inapingana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na hatua ya Tehran kuiunga mkono Palestina.

  • Qassemi: Kufanana misimamo ya Israel na Saudia sio jambo la ghafla

    Qassemi: Kufanana misimamo ya Israel na Saudia sio jambo la ghafla

    Feb 20, 2017 03:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kufanana misimamo hasi dhidi ya Iran ya Kiislamu ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia na Waziri wa Vita wa Israel katika kikao cha Usalama cha mjini Munich, Ujerumani sio jambo la ghafla.

  • Saudia yanunua idadi kubwa ya 'silaha za kichokozi'

    Saudia yanunua idadi kubwa ya 'silaha za kichokozi'

    Feb 17, 2017 23:09

    Wataalamu wa kijeshi wamefichua kuwa, Saudi Arabia na nchi kadhaa za Kiarabu zinazopata himaya ya nchi za Magharibi zimenunua idadi kubwa ya silaha za 'kichokozi' na zenye uwezo wa kutumika kuhujumu masafa ya mbali.

  • Saudi Arabia: Tumesambaratisha genge la lililokuwa na mfungamano na Daesh huko Makkah na Madina

    Saudi Arabia: Tumesambaratisha genge la lililokuwa na mfungamano na Daesh huko Makkah na Madina

    Feb 17, 2017 00:58

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia imetangaza kusambaratisha mtandao wa kigaidi wenye mafungamano na kundi la kigaidi la Daesh katika maeneo tofauti ya nchi hiyo, ikiwemo miji mitukufu ya Makkah na Madinad.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman aikosoa Saudia kwa kushupalia vita

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman aikosoa Saudia kwa kushupalia vita

    Feb 15, 2017 00:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Yusuf bin Alawi ameikosoa Saudi Arabia kutokana na kushupalia utumiaji njia za kijeshi badala ya diplomasia kwa ajili ya kutatua migogoro ya eneo la Mashariki ya Kati.

  • Hosni Mubarak: Visiwa vya Tiran na Sanafir ni vya Misri

    Hosni Mubarak: Visiwa vya Tiran na Sanafir ni vya Misri

    Feb 13, 2017 23:47

    Dikteta aliyepinduliwa madarakani huko Misri amesisitiza kuwa visiwa vya Tiran na Sanafir ni milki ya nchi hiyo.

  • Iran yasema Saudi Arabia imechanganyikiwa

    Iran yasema Saudi Arabia imechanganyikiwa

    Feb 13, 2017 12:02

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, watawala wa Saudi Arabia wamechanganyikiwa na wanawasababishia raia wa nchi hiyo matatizo mengi.

  • Uingereza yaendelea kuiuzia silaha Saudia licha ya upinzani mkali wa kimataifa

    Uingereza yaendelea kuiuzia silaha Saudia licha ya upinzani mkali wa kimataifa

    Feb 13, 2017 04:20

    Ripoti iliyofichuliwa nchini Uingereza imeonesha kuwa, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo ameitaka serikali ya London kuendelea kuuzia silaha utawala wa Saudi Arabia unaoua watu wasio na hatia wa Yemen hususan wanawake na watoto wadogo.

  • Misri iliwasiliana na Israel kabla ya kuikabidhi Saudia visiwa vya Tiran na Sanafir

    Misri iliwasiliana na Israel kabla ya kuikabidhi Saudia visiwa vya Tiran na Sanafir

    Feb 12, 2017 03:41

    Rekodi iliyovuja ya mazungumzo ya simu imefichua kuwa Misri iliwasiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kupata baraka na uungaji mkono wake kabla ya kusaini muafaka wa kuikabidhi Saudi Arabia visiwa vyake viwili vya Sanafir na Tiran.

  • CIA yaipa Saudia tuzo ya

    CIA yaipa Saudia tuzo ya "kupambana na ugaidi"

    Feb 11, 2017 23:29

    Shirika Kuu la Kijasusi Marekani (CIA) limempa tuzo Mrithi wa Kiti cha Ufalme Saudi Arabia, Mohammad bin Nayef kutokana na kile kilichotajwa kuwa ni "kazi zake za kijasusi katika vita dhidi ya ugaidi."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS