-
Aal-Saud wawaekea vizuizi Waislamu wa Shia wasiende Karbala kumzuru mjukuu wa Mtume (saw)
Feb 09, 2017 13:01Utawala wa kifalme wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia, umeendeleza ukandamizaji na mashinikizo dhidi ya Waislamu wa Shia wa nchi hiyo, mara hii ukiwazuia wanaume walio na umri chini ya miaka 40 kufanya safari nchini Iraq kwa lengo la kumzuru al-Imamul-Hussein, mjukuu wa Mtume Muhammad (saw).
-
Ubelgiji: Saudia inaeneza fikra za Uwahabi barani Ulaya
Feb 09, 2017 03:48Ubelgiji imeeleza wasi wasi wake juu ya kuenea kwa kasi mwangwi wa Uwahabi katika nchi hiyo na kote bara Ulaya kwa ujumla.
-
Mfululizo wa vipindi vya vinavyokosoa mienendo ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 23 pamoja na sauti
Feb 07, 2017 13:21Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 23 ya makala yanayokosoa kwa mujibu wa Qur'ani Tukufu na suna za Bwana Mtume (sawa) mienendo ya makundi ya ukufurishaji yanayotenda jinai na mauaji ya kutisha dhidi ya Waislamu wengine.
-
Mfululizo wa vipindi vya vinavyokosoa mienendo ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 22 pamoja na sauti
Feb 07, 2017 13:12Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika mfululizo wa vipindi hivi vinavyokosoa kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu na suna za Bwana Mtume (saw) makundi ya ukufurishaji yanayotekeleza jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wengine hii ikiwa ni sehemu ya 22 ya mfululizo huo.
-
Mfululizo wa vipindi vya vinavyokosoa mienendo ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 21 pamoja na sauti
Feb 07, 2017 13:06Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika mfululizo wa vipindi hivi vinavyokosoa kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu na suna za Bwana Mtume (saw) makundi ya ukufurishaji yanayotekeleza jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wengine hii ikiwa ni sehemu ya 21 ya mfululizo huo.
-
HRW yatiwa wasiwasi na kuongezeka mateso Saudi Arabia
Feb 07, 2017 03:39Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limesema linatiwa wasiwasi na kuongezeka pakubwa mateso nchini Saudia.
-
Misri yawaongezea muda wanajeshi wake katika muungano vamizi wa Saudia huko Yemen
Feb 05, 2017 23:11Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri ameongeza muda wa ushiriki wa wanajeshi wa nchi hiyo katika vita huko Yemen vinavyoongozwa na utawala wa Saudi Arabia.
-
Saudi Arabia yazuia msaada wa chakula kufikishiwa wananchi wa Yemen
Feb 03, 2017 01:09Utawala wa Saudi Arabia umezuia kufikishiwa misaada ya chakula kwa wananchi wa Yemen baada ya kuizuia katika bandari ya al-Hadida meli iliyokuwa imebeba shehena ya chakula kwa ajili ya wananchi wa nchi hiyo.
-
Yemen: Hadi sasa tumeangamiza asilimia 20 ya manuwari za Saudia
Feb 02, 2017 10:21Mkuu wa Baraza la Kisiasa nchini Yemen amesema kuwa, jeshi la Yemen kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Answarullah limefanikiwa kuangamiza asilimia 20 ya manuwari za Saudi Arabia, wakati manuwari hizo zilipokuwa zikijaribu kukaribia pwani za nchi hiyo.
-
Mwanadiplomasia wa Saudia apatikana na hatia ya kubaka, kulawiti
Feb 02, 2017 04:39Mahakama moja nchini Singapore imempata mwanadiplomasia wa Saudi Arabia, na hatia ya kubaka na kulawiti mhudumu mmoja wa hoteli kusini mwa nchi hiyo ya bara Asia.