-
UN: Yemen imerejea muongo mmoja nyuma katika sekta ya afya
Feb 01, 2017 00:52Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema sekta ya afya ya Yemen imesambaratika kwa kiwango cha kutia wasi wasi kutokana na hujuma za kila siku za jeshi la utawala wa Aal-Saud.
-
Video: Jeshi la Yemen laangamiza meli ya kivita ya Saudia
Jan 31, 2017 03:07Jeshi la Yemen jana Jumatatu liliteketeza meli ya kivita ya Saudia na kuangamiza makumi ya wanajeshi vamizi wa nchi hiyo na kujeruhi wengine wengi.
-
Jeshi la Yemen laangamiza meli ya mizinga ya Saudia, Riyadh yakiri
Jan 31, 2017 01:09Jeshi la Yemen Jumatatu ya jana liliangamiza meli ya mizinga ya Saudia na kusababisha makumi ya askari wa nchi hiyo vamizi kuangamizwa na wengine kujeruhiwa.
-
UN: Saudi Arabia imetenda jinai kubwa za kivita nchini Yemen
Jan 31, 2017 00:40Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, Saudi Arabia imefanya jinai za kivita katika mashambulizi yake ya kijeshi nchini Yemen.
-
Mkahawa wa kwanza wa muziki na mchanganyiko wa kike kiume wafunguliwa Riyadh, Saudia
Jan 29, 2017 04:23Mkahawa wa kwanza wa muziki na mchanganyiko wa wanawake na wanaume umefunguliwa katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh na viongozi wa utawala wa Aal Saud ambao wenyewe wanajinasibu kuwa watumishi wa haram mbili tukufu za Makka na Madina.
-
Waziri wa Fedha wa Saudia akiri nchi kukabiliwa na mgogoro wa kifedha
Jan 23, 2017 04:23Waziri wa Fedha wa Saudi Arabia amekiri kuwa nchi hiyo itaendelea kuathiriwa na mgogoro wa kifedha hadi mwaka 2020.
-
Jumapili Januari 22, 2017
Jan 22, 2017 10:58Leo ni Jumapili tarehe 23 Rabiul th-Thani 1438 Hijria sawa na tarehe 22 Januari, 2017 Miladia.
-
Kuongezeka wimbi la umasiki nchini Saudia
Jan 22, 2017 10:23Philip Alston, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya ongezeko la umasikini na masuala ya haki za wanawake duniani amesema kuwa, kinyume na inavyodhaniwa, nchini Saudia kuna maeneo mengi ambayo wakazi wake ni masikini wa sana.
-
Jumamosi, 21 Januari, 2017
Jan 21, 2017 01:09Leo ni Jumamosi tarehe 22 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1438 Hijria sawa na tarehe 21 Januari 2017 Miladia.
-
Saudia yaendelea kuua raia wa Yemen kwa mabomu ya vishada
Jan 21, 2017 00:48Raia wengine watatu wa Yemen wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulio mapya ya anga yaliyofanywa na jeshi la Saudi Arabia katika mkoa wa Sanaá mji mkuu wa Yemen.