-
Saudi Arabia yaendelea kuwashambulia raia wa Yemen
Jan 20, 2017 00:54Ndege za kivita za Saudia zimeendelea kufanya mashambulizi katika maeneo mbalimbali ya Yemen ambapo habari za hivi karibuni zinasema kuwa, ndege hizo zimefanya mashambulizi katika mikoa ya Sana'a, Taiz, Saada, Lahij na Hudaidah.
-
Vibaraka 35 wa Saudia waangamizwa nchini Yemen
Jan 18, 2017 04:20Jeshi la Yemen na harakati za kujitolea za wananchi zimezuia shambulizi lililokuwa limepangwa kufanywa na vibaraka wa Saudia mjini Sana'a, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 19 na sauti
Jan 16, 2017 13:17Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika mfululizo wa vipindi hivi vinavyokosoa kwa mujibu wa Qur’an Tukufu na suna za Bwana Mtume (saw) makundi ya ukufurishaji yanayotekeleza jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wengine hii ikiwa ni sehemu ya 19 ya mfululizo huo.
-
Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 18 na sauti
Jan 16, 2017 13:14Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 18 ya makala yanayokosoa kwa mujibu wa Qur'ani Tukufu na suna za Bwana Mtume (sawa) mienendo ya makundi ya ukufurishaji yanayotenda jinai na mauaji ya kutisha dhidi ya Waislamu wengine.
-
Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 17 na sauti
Jan 16, 2017 13:12Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika mfululizo wa vipindi hivi vinavyokosoa kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu na suna za Bwana Mtume (saw) makundi ya ukufurishaji yanayotekeleza jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wengine, hii ikiwa ni sehemu ya 17 ya mfululizo huo.
-
Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 16 na sauti
Jan 16, 2017 13:08Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika mfululizo wa vipindi hivi vinavyokosoa kwa mujibu wa aya za Qur'ani Tukufu na hadithi mienendo ya makundi yenye kuwakufurisha Waislamu wengine na kutekeleza jinai na mauaji ya kutisha dhidi yao hii leo ikiwa ni sehemu ya 16 ya mfululizo huo.
-
Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 15na sauti
Jan 16, 2017 13:01Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika mfululizo wa vipindi hivi vinavyokosoa kwa mujibu wa Qur’an Tukufu na suna za Bwana Mtume (saw) makundi ya ukufurishaji yanayotekeleza jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wengine, hii ikiwa ni sehemu ya 15 ya mfululizo huo.
-
Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 14 na sauti
Jan 16, 2017 12:59Katika kipindi kilichopita tulizungumzia suala la bidaa na namna ambavyo kundi la Uwahabi (Answar Suna) linavyolichukulia kila jambo ambalo halijatajwa na mihimili miwili ya vyanzo vya dini yaani Qur'an na hadithi, kuwa ni bidaa (uzushi.) katika kipindi hiki tutaendelea kuashiria suala hilo, hivyo endeleeni kuungana nami hadi mwisho wa kipindi….
-
Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 13 na sauti
Jan 16, 2017 12:57Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika mfululizo wa vipindi hivi vinavyokosoa kwa mujibu wa Qur’an Tukufu na suna za Bwana Mtume (saw) makundi ya ukufurishaji yanayotekeleza jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wengine, hii ikiwa ni sehemu ya 13 ya mfululizo huo.
-
Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 12 na sauti
Jan 16, 2017 12:53Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuungana nami katika sehemu ya 12 ya kipindi kinachokosoa, kwa mujibu wa Qur'ani na hadithi za Mtume (saw), mienendo na fikra za makundi yanayowakufurisha Waislamu wengine.