Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Senegal

  • Wagombea 15 wa urais Senegal wataka uchaguzi ufanyike kabla ya muhula wa Rais Sall kumalizika

    Wagombea 15 wa urais Senegal wataka uchaguzi ufanyike kabla ya muhula wa Rais Sall kumalizika

    Feb 20, 2024 07:05

    Wagombea 15 kati ya 20 walioidhinishwa kugombea katika uchaguzi wa urais wa Senegal ambao uliakhirishwa kufanyika mwezi huu wa Februari wametaka uchaguzi huo mpya uwe umeshafanyika kabla ya tarehe Pili Aprili.

  • Baraza la Katiba Senegal: Uamuzi wa Bunge wa kuidhinisha kuakhirishwa uchaguzi ni

    Baraza la Katiba Senegal: Uamuzi wa Bunge wa kuidhinisha kuakhirishwa uchaguzi ni "kinyume na Katiba"

    Feb 16, 2024 07:51

    Baraza la Katiba la Senegal limetoa hukumu na kutangaza kwamba uamuzi uliopitishwa na bunge wa kuakhirisha uchaguzi wa rais wa Februari 25 hadi Disemba haukuendana na Katiba.

  • Maandamano ya wapinzani Senegal yaahirishwa baada ya kupigwa marufuku na serikali

    Maandamano ya wapinzani Senegal yaahirishwa baada ya kupigwa marufuku na serikali

    Feb 13, 2024 12:01

    Maandamano yaliyokuwa yamepangwa kufanyika leo huko Senegal kupinga hatua ya Rais Macky Sall wa nchi hiyo ya kuakhirisha uchaguzi wa rais, yameakhirishwa baada ya serikali kuyapiga marufuku.

  • AU: Tuna wasiwasi kuhusu kuakhirishwa uchaguzi wa Rais Senegal

    AU: Tuna wasiwasi kuhusu kuakhirishwa uchaguzi wa Rais Senegal

    Feb 05, 2024 15:32

    Umoja wa Afrika (AU) umesema kuwa unatiwa wasiwasi na hatua ya Senegal ya kuakhirisha uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Polisi wapambana na waandamanaji Senegal wanaolalamikia kuakhirishwa uchaguzi wa rais

    Polisi wapambana na waandamanaji Senegal wanaolalamikia kuakhirishwa uchaguzi wa rais

    Feb 05, 2024 06:46

    Wafuasi wa vyama vya upinzani na polisi wamepambana katika mji mkuu wa Senegal Dakar baada ya Rais Macky Sall kutangaza kuakhirisha kwa muda usiojulikana uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika Februari 25, na hivyo kuzusha wasiwasi kimataifa.

  • Rais wa Senegal aakhirisha uchaguzi wa rais wa Februari 25 kwa muda usiojulikana

    Rais wa Senegal aakhirisha uchaguzi wa rais wa Februari 25 kwa muda usiojulikana

    Feb 04, 2024 03:22

    Rais Macky Sall wa Senegal ametangaza kuakhirisha kwa muda usiojulikana uchaguzi wa urais uliopangwa kufanyika Februari 25, saa chache kabla ya kampeni rasmi kuanza.

  • Chama cha upinzani chataka kuakhirishwa uchaguzi wa rais Senegal

    Chama cha upinzani chataka kuakhirishwa uchaguzi wa rais Senegal

    Feb 03, 2024 07:29

    Chama cha Democratic cha Senegal (PDS) kimewasilisha muswada Bungeni unaotaka kuakirishwa uchaguzi wa rais ulioratibiwa kufanyika baadaye mwezi huu.

  • Kiongozi wa upinzani Senegal aondolewa katika orodha ya wagombea urais

    Kiongozi wa upinzani Senegal aondolewa katika orodha ya wagombea urais

    Jan 21, 2024 07:50

    Baraza la Katiba la Senegal Jumamosi lilichapisha orodha ya mwisho ya wagombea 20 wa uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika nchini humo Februari 25 ambayo haiwajumuishi kiongozi wa upinzani aliyefungwa Ousmane Sonko, na Karim Wade, mtoto wa rais wa zamani wa Rais wa nchi hiyo Abdoulaye Wade.

  • Ousmane Sonko apatikana na hatia, hataruhusiwa kugombea urais Senegal

    Ousmane Sonko apatikana na hatia, hataruhusiwa kugombea urais Senegal

    Jan 05, 2024 07:44

    Mahakama ya Juu ya Senegal imethibitisha hukumu iliyotolewa Mei mwaka jana na Mahakama ya Rufaa ya kifungo cha miezi sita jela dhidi ya kinara wa upinzani nchini humo, Ousmane Sonko, kwa kumkashifu Waziri wa Utalii, Mame Mbaye Niang.

  • Mahakama Senegal 'yaridhia' kiongozi wa upinzani agombee urais

    Mahakama Senegal 'yaridhia' kiongozi wa upinzani agombee urais

    Dec 15, 2023 10:32

    Mahakama Kuu mjini Dakar imeamuru kusajiliwa upya kwa Ousmane Sonko, kiongozi wa upinzani nchini Senegal katika daftari la wapigakura, na hivyo kumruhusu kuwa mgombea urais.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS