Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Senegal

  • Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake

    Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake

    Nov 30, 2023 03:53

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano na ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika ikiwemo Senegal katika nyuga mbalimbali.

  • Rais Macky Sall wa Senegal avunja serikali yake

    Rais Macky Sall wa Senegal avunja serikali yake

    Oct 07, 2023 07:25

    Rais Macky Sall wa Senegal amesaini dikrii ya kuivunja serikali yake, miezi michache kabla ya kumalizika hatamu yake ya uongozi.

  • Kiongozi wa upinzani Senegal alazwa hospitalini baada ya kususia kula kwa wiki nzima

    Kiongozi wa upinzani Senegal alazwa hospitalini baada ya kususia kula kwa wiki nzima

    Aug 07, 2023 11:41

    Kiongozi wa upinzani nchini Senegal ambaye amekuwa kwenye mgomo wa kula akipinga kuwekwa kizuizini, amelazwa hospitalini. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na wafuasi wake.

  • Wahajiri 300 kutoka Senegal wahofiwa kufa maji wakielekea Uhispania

    Wahajiri 300 kutoka Senegal wahofiwa kufa maji wakielekea Uhispania

    Jul 11, 2023 07:14

    Mamia ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti tatu walizokuwa wakisafiria kuelekea Uhispania kutoweka baharini.

  • Rais wa Senegal: Sitagombea muhula mwingine wa urais

    Rais wa Senegal: Sitagombea muhula mwingine wa urais

    Jul 04, 2023 06:55

    Rais Macky Sall wa Senegal amesema hatagombea muhula wa tatu wa urais katika uchaguzi mkuu ujao unaotazamiwa kufanyika mwaka ujao 2024.

  • UN yabainisha wasiwasi wake kuhusu haki za binadamu huko Senegal

    UN yabainisha wasiwasi wake kuhusu haki za binadamu huko Senegal

    Jun 14, 2023 04:41

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu hali ya haki za binadamu huko Senegal.

  • Ghasia zashtadi Senegal, mitandao ya kijamii yafungwa

    Ghasia zashtadi Senegal, mitandao ya kijamii yafungwa

    Jun 03, 2023 01:34

    Watu kadhaa wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa nchini Senegal, katika maandamano ya ghasia ya wafuasi wa kiongozi wa upinzani nchini humo Ousmane Sonko, ambaye karibuni alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela.

  • Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yaanza Senegal

    Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yaanza Senegal

    Apr 15, 2023 06:25

    Maonyesho makubwa ya Qur'ani Tukufu yameanza Dakar, mji mkuu wa Senegal huko Magharibi mwa Afrika kwa hima na juhudi za Chuo Kikuu cha Al-Mustafa.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Senegal awekwa korokoroni kwa kumuuliza suali Rais Macky Sall

    Waziri Mkuu wa zamani wa Senegal awekwa korokoroni kwa kumuuliza suali Rais Macky Sall

    Mar 10, 2023 10:17

    Waziri mkuu wa zamani wa Senegal Cheikh Hadjibou Soumare amewekwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kumuuliza Rais Macky Sall kama alimpatia fedha mwanasiasa mmoja wa Ufaransa. Hayo ni kwa mujiibu wa wakili mmoja wa utetezi.

  • Kuwasili nchini Iran ujumbe wa kiuchumi wa Senegal

    Kuwasili nchini Iran ujumbe wa kiuchumi wa Senegal

    Feb 23, 2023 07:37

    Ujumbe wa ngazi ya juu wa kiuchumi wa Senegal ukiongozwa na mshauri mkuu wa rais na mkuu wa chama cha wafanyakazi cha nchi hiyo umeasili mjini Tehran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS