Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulio

  • Watu 15 wauawa katika shambulio la kigaidi nchini Somalia

    Watu 15 wauawa katika shambulio la kigaidi nchini Somalia

    Nov 06, 2022 07:34

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulio jingine la kigaidi lililolenga kambi ya mafunzo ya kijeshi karibu na Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Waandishi 260 wa habari washambuliwa na wanajeshi wa Israel katika kipindi cha mwaka mmoja

    Waandishi 260 wa habari washambuliwa na wanajeshi wa Israel katika kipindi cha mwaka mmoja

    Mar 15, 2022 02:56

    Zaidi ya waandishi wa habari 260 wameshambuliwa na wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni hao.

  • Mazungumzo ya simu ya Marais wa Iran na Russia

    Mazungumzo ya simu ya Marais wa Iran na Russia

    Feb 27, 2022 03:52

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi, na Rais wa Russia, Vladimir Putin, walifanya mazungumza ya simu Alhamisi iliyopita kuhusu masuala ya kimataifa na mazungumzo yanayoendelea huko Vienna kuhusu suala la kuondolewa vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Iran.

  • Vikwazo vyenye wigo mpana vya Wamagharibi dhidi ya Russia

    Vikwazo vyenye wigo mpana vya Wamagharibi dhidi ya Russia

    Feb 25, 2022 13:33

    Baada ya Russia kuchukua uamuzi wa kuishambuulia kijeshi Ukraine, kambi ya magharibi imeonyesha radiamali katika fremu ya kuiwekea vikwazo Moscow ambapo kabla ya hapo madola hayo yalikuwa yameahidi kuchukua uamuzi huo.

  • Ufaransa yakiri makosa yake ya kushiriki katika mashambulio ya Libya

    Ufaransa yakiri makosa yake ya kushiriki katika mashambulio ya Libya

    Oct 11, 2021 02:28

    Akizungumza karibuni katika mji wa Montpellier na viongozi wa nchi za Kiafrika za eneo la Sahel, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekiri kwamba nchi yake ilifanya makosa kwa kushiriki katika mashambulio ya kijeshi yaliyofanyika dhidi ya Libya nwaka 2011.

  • 'Kuua raia mjini Kabul kumeonyesha udhaifu wa kiintelijensia wa Marekani'

    'Kuua raia mjini Kabul kumeonyesha udhaifu wa kiintelijensia wa Marekani'

    Sep 20, 2021 11:22

    Mchambuzi wa zamani wa masuala ya usalama katika wizara ya ulinzi ya Marekani, Pentagon amesema, kukiri makamanda wa jeshi la Marekani kwamba walifanya shambulio kimakosa katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul na kuua raia wa nchi hiyo kumeonyesha udhaifu wa kiintelijensia wa Washington.

  • Mfumo wa kupiga kura kwa njia ya elektroniki nchini Russia wahujumiwa na wadukuzi

    Mfumo wa kupiga kura kwa njia ya elektroniki nchini Russia wahujumiwa na wadukuzi

    Sep 18, 2021 08:12

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Ulinzi wa Haki ya Kujitawala ya Baraza la Seneti la Russia ametangaza kuwa, mfumo wa kupiga kura kwa njia ya elektroniki nchini humo umehujumiwa na wadukuzi kutoka nchi za Magharibi.

  • Watu 19 wauawa katika shambulizi jipya la wabeba silaha Niger

    Watu 19 wauawa katika shambulizi jipya la wabeba silaha Niger

    Jul 30, 2021 12:39

    Raia 19 wameuawa kwenye shambulizi linaloaminika kuwa la kigaidi katika mpaka wa Niger na Mali.

  • Zaidi ya walowezi 400 wavamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Zaidi ya walowezi 400 wavamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Jul 18, 2021 11:23

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina wakisaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kuuvunjia heshima msikiti huo ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Ubalozi wa Marekani Baghdad washambuliwa kwa droni

    Ubalozi wa Marekani Baghdad washambuliwa kwa droni

    Jul 06, 2021 08:16

    Baadhi ya duru za habari za Iraq zimetangaza habari ya kujiri shambulio la anga katika eneo la Kijani huko Baghdad na karibu na jengo la ubalozi wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS