Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulio

  • Pelosi: Walioshambulia Kongeresi ni magaidi wa ndani ya Marekani

    Pelosi: Walioshambulia Kongeresi ni magaidi wa ndani ya Marekani

    Feb 06, 2021 13:23

    Spika wa Kongresi ya Marekani amesema kuwa waungaji mkono wa rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump ambao mwezi Januari mwaka huu walishambulia jengo la Kongresi ni magaidi wa ndani ya nchi.

  • Wanajeshi wa Mali wauawa katika shambulio la wanamgambo wenye silaha huko Mopti

    Wanajeshi wa Mali wauawa katika shambulio la wanamgambo wenye silaha huko Mopti

    Feb 04, 2021 08:00

    Wanajeshi kadhaa wa jeshi la Mali wameuawa na kujeruhiwa katika shambulio la wanamgambo wenye silaha katika jimbo la Mopti nchini humo.

  • UN yataka wahusika wa mauaji ya raia 100 Niger wakamatwe

    UN yataka wahusika wa mauaji ya raia 100 Niger wakamatwe

    Jan 04, 2021 15:40

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na mashambulio mawili ya megenge ya wabeba silaha huko nchini Niger, yaliyopelekea watu wasiopungua 100 kuuawa.

  • Watu karibu 80 wauawa katika mashambulio ya wabeba silaha Niger

    Watu karibu 80 wauawa katika mashambulio ya wabeba silaha Niger

    Jan 03, 2021 03:20

    Makumi ya watu wameuawa katika mashambulio mawili yanayosadikika kutekelezwa na makundi ya kigaidi huko nchini Niger.

  • Macron aendeleza vitendo vya kuuhujumu Uislamu; Trump aparamia mawimbi

    Macron aendeleza vitendo vya kuuhujumu Uislamu; Trump aparamia mawimbi

    Oct 31, 2020 02:38

    Kushtadi vitendo vya chuki na hujuma dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa vinavyokwenda sambamba na uungaji mkono wa Rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron kwa kisingizio kutetea uhuru wa kusema na kujieleza kumekabiliwa na radiamali mbalimbali na kuifanya nchi hiyo kubwa ya Ulaya ikabiiwe na wimbi kubwa la hasira.

  • Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zashambulia Ukanda wa Ghaza

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zashambulia Ukanda wa Ghaza

    Jun 27, 2020 08:19

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeetekeleza mashambulizi katika Ukanda wa Gaza usiku wa kuamkia leo Jumamosi.

  • Indhari kuhusu hujuma ya kigaidi ya Marekani dhidi ya vituo vya brigedi za Hizbullah Iraq

    Indhari kuhusu hujuma ya kigaidi ya Marekani dhidi ya vituo vya brigedi za Hizbullah Iraq

    Jun 26, 2020 16:00

    Hujuma ya majeshi ya kigaidi ya Marekani kwa ushirikiano na waitifaki wao Iraq dhidi ya vituo vya Brigedi za Kata'ib Hizbullah imelaaniwa vikali kote katika nchi hiyo.

  • Uafriti wa Trump wa kuanzisha chokochoko na mivutano katika eneo kwa kuzusha tuhuma dhidi ya Iran

    Uafriti wa Trump wa kuanzisha chokochoko na mivutano katika eneo kwa kuzusha tuhuma dhidi ya Iran

    Apr 03, 2020 06:57

    Licha ya hali ya dharura na isiyo ya kawaida iliyopo kimataifa kutokana na mripuko wa janga la corona lililoikumba dunia nzima, Marekani ingali inaendelea kufuata muelekeo wa utumizi wa nguvu za kijeshi na kushikilia kuchukua hatua za kijeshi katika siasa zake za nje.

  • Sisitizo la Marekani kuendeleza operesheni za kijeshi nje ya nchi licha ya maambukizi ya Corona

    Sisitizo la Marekani kuendeleza operesheni za kijeshi nje ya nchi licha ya maambukizi ya Corona

    Mar 30, 2020 02:29

    Kuenea kusiko kwa kawaida kwa virusi angamizi vya Corona duniani, kumezifanya nchi nyingi za dunia kukumbwa na hali ngumu na matatizo.

  • Watu wenye silaha waua kwa umati wanavijiji 20 katikati ya Mali

    Watu wenye silaha waua kwa umati wanavijiji 20 katikati ya Mali

    Feb 15, 2020 08:04

    Maafisa wa serikali ya Mali wametangaza habari ya kuuawa kwa umati wanavijiji 20 baada ya watu wenye silaha kuvamia kijiji chao katikati ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS