Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sheikh Ibrahim Zakzaky

  • Waislamu waliouawa na jeshi la Nigeria wakumbukwa katika 'Siku ya Mashahidi'

    Waislamu waliouawa na jeshi la Nigeria wakumbukwa katika 'Siku ya Mashahidi'

    Apr 25, 2017 22:03

    Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imeadhimisha siku ya mashahidi katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.

  • Wakristo waungana na Waislamu Nigeria kushinikiza kuachiwa huru Zakzaky

    Wakristo waungana na Waislamu Nigeria kushinikiza kuachiwa huru Zakzaky

    Apr 12, 2017 02:55

    Kwa mara nyingine tena Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano ya amani katika mji mkuu wa nchi hiyo, Abuja kushinikiza kuachiwa huru mwanazuoni wa Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Waislamu Nigeria wafufua maandamano ya kushinikiza kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Waislamu Nigeria wafufua maandamano ya kushinikiza kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Apr 07, 2017 03:06

    Kwa mara nyingine tena Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano ya amani katika mji mkuu wa nchi hiyo, kushinikiza kuachiwa huru mwanazuoni wa Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Mawakili wa Zakzaky wamwandikia barua Mwanasheria Mkuu, Waziri

    Mawakili wa Zakzaky wamwandikia barua Mwanasheria Mkuu, Waziri

    Feb 28, 2017 04:19

    Mawakili wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wamemuandikia barua Mwanasheria Mkuu na Waziri wa Sheria wa nchi hiyo, wakishinikiza kuachiwa huru msomi huyo wa Kiislamu pamoja na mkewe.

  • Polisi Nigeria wawafyatulia mabomu ya kutoa machozi wafuasi wa Sheikh Zakzaky

    Polisi Nigeria wawafyatulia mabomu ya kutoa machozi wafuasi wa Sheikh Zakzaky

    Jan 26, 2017 10:22

    Maafisa usalama nchini Nigeria wamewafyatulia mabomu ya kutoa machozi wafuasi wa kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky ambaye anaendelea kuzuiliwa kinyume cha sheria.

  • Viongozi wa Nigeria wang'ang'ania Sheikh Zakzaky afunguliwe mashtaka

    Viongozi wa Nigeria wang'ang'ania Sheikh Zakzaky afunguliwe mashtaka

    Dec 06, 2016 12:22

    Licha ya Mahakama Kuu ya Nigeria kutoa amri ya kuitaka serikali ya shirikisho imwachie huru kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky, viongozi wa jimbo la Kaduna wangali wanashikilia kiongozi huyo wa kidini ashtakiwe na kuhukumiwa kifungo jela.

  • Mahakama ya Nigeria yaamuru Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Mahakama ya Nigeria yaamuru Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Dec 02, 2016 12:26

    Mahakama nchini Nigeria imeiamuru serikali kumuachilia huru Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Sisitizo la Waislamu wa Nigeria la kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Sisitizo la Waislamu wa Nigeria la kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Nov 23, 2016 00:47

    Wanaharakati wa jumuiya ya kiraia ya Nigeria wameitaka rasmi serikali ya nchi hiyo imuachilie huru Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo kwa karibu mwaka mmoja sasa.

  • Harakati ya Kiislamu Nigeria yataka wananchi kudumisha maandamano ya amani dhidi ya serikali

    Harakati ya Kiislamu Nigeria yataka wananchi kudumisha maandamano ya amani dhidi ya serikali

    Nov 09, 2016 10:27

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imewataka wananchi wa nchi hiyo kudumisha maandamano ya amani dhidi ya serikali ya nchi hiyo ili kushinikiza suala la kuachiwa huru kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeendelea kushikiliwa katika korokoro za nchi hiyo.

  • IHRC: Saudia inashiriki kukandamiza Harakati ya Kiislamu Nigeria

    IHRC: Saudia inashiriki kukandamiza Harakati ya Kiislamu Nigeria

    Oct 20, 2016 23:53

    Kamisheni ya Haki za Binadamu za Kiislamu (IHRC) yenye makao yake mjini London Uingereza imetangaza kuwa, nyaraka zilizofichuliwa na mtandao wa WikiLeaks zinathibitisha kwamba Saudi Arabia inashiriki katika kukandamiza Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS