Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sheikh Ibrahim Zakzaky

  • Jeshi la Nigeria lawazingira Waislamu wa madehebu ya Shia katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Jeshi la Nigeria lawazingira Waislamu wa madehebu ya Shia katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Oct 12, 2016 04:24

    Jeshi la Nigeria limewazingria Waislamu wa madheebu ya Shia waliokuwa wamekusanyika msikitini katika hafla ya maombolezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.

  • Harakati ya Kiislamu yapigwa marufuku Kaduna, Nigeria

    Harakati ya Kiislamu yapigwa marufuku Kaduna, Nigeria

    Oct 08, 2016 06:48

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria inayoongozwa na Sheikh Ibrahim Zakzaky imepigwa marufuku katika jimbo la Kaduna huku Waislamu wakiendelea kukandamizwa nchini humo.

  • Wanigeria waandamana kutaka Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Wanigeria waandamana kutaka Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Aug 27, 2016 03:25

    Waislamu wa Nigeria wamendamana katika mji wa Kaduna ulioko kaskazini mwa nchi hiyo wakitaka kuachiwa huru mara moja kiongozi wa Harakati ya Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa kwa miezi kadhaa sasa katika korokoro za nchi hiyo.

  • Familia: Afya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky sio nzuri

    Familia: Afya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky sio nzuri

    Jul 25, 2016 08:01

    Familia ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, mwanachuoni na kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeeleza juu ya wasi wasi wake kuhusu hali ya kiafya ya msomi huyo wa Kiislamu.

  • Mwanafunzi wa Sh. Zakzaky: Serikali ya Nigeria ni kibaraka wa US na Israel

    Mwanafunzi wa Sh. Zakzaky: Serikali ya Nigeria ni kibaraka wa US na Israel

    May 16, 2016 07:51

    Mmoja wa wanafunzi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema serikali ya Abuja ni kikaragosi wa Marekani na utawala haramu wa Israel na kwamba imefanya kosa la jinai kwa kuua Waislamu wa Zaria na kuendelea kumzuilia Sheikh Zakzaky.

  • Wanaharakati Uingereza waandamana dhidi ya Rais wa Nigeria, wataka kuachiwa Sh. Zakzaky

    Wanaharakati Uingereza waandamana dhidi ya Rais wa Nigeria, wataka kuachiwa Sh. Zakzaky

    May 13, 2016 07:51

    Makundi ya waharakati wa kutetea haki za binadamu yamefanya maandamano katika mji mkuu wa Uingereza London kulalamikia dhuluma na ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya usalama vya Nigeria dhidi Waislamu wa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria liliwazika Waislamu kwa umati wakiwa hai

    Jeshi la Nigeria liliwazika Waislamu kwa umati wakiwa hai

    Apr 22, 2016 15:30

    Jeshi la Nigeria liliwaua mamia ya Waislamu nchini Nigeria na kuwazika katika kaburi la umati wakiwemo baadhi waliokuwa hai mwezi Desemba mwaka jana, imefichua Amnesty International.

  • Watetezi wa haki za binadamu Uingereza wataka Sheikh Zakzaky aichiwe huru

    Watetezi wa haki za binadamu Uingereza wataka Sheikh Zakzaky aichiwe huru

    Apr 21, 2016 06:49

    Kundi la wanaharakai wa kutetea haki za binadamu nchini Uingereza limeanzisha wimbi kubwa la malalamiko katika mitandao ya kijamii likitaka kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Amnesty International yataka kufanyike uchunguzi wa mauaji ya Waislamu Nigeria

    Amnesty International yataka kufanyike uchunguzi wa mauaji ya Waislamu Nigeria

    Apr 14, 2016 05:26

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji ya wanachama wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria.

  • Kaburi la Umati la Waislamu lagundiliwa nchini Nigeria

    Kaburi la Umati la Waislamu lagundiliwa nchini Nigeria

    Apr 13, 2016 04:23

    Karibu miili 350 ya Waislamu imepatikana ikiwa imezikwa kwa siri katika kaburi la umati kaskazini mwa Nigeria.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS