Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sheikh Ibrahim Zakzaky

  • Ayatullah Araki afanya mazungumzo na Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Ayatullah Araki afanya mazungumzo na Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Aug 15, 2019 10:20

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu mapema leo amefanya mazungumzo ya simu na Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky aliyepelekwa India kwa ajili ya matibabu.

  • Kuruhusiwa Sheikh Zakzaky kwenda India; matunda ya juhudi za Waislamu wa Nigeria

    Kuruhusiwa Sheikh Zakzaky kwenda India; matunda ya juhudi za Waislamu wa Nigeria

    Aug 13, 2019 11:39

    Hatimaye juhudi za Waislamu wa Nigeria zimezaa matunda baada ya mahakama nchini Nigeria kuruhusu Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo asafiri kuelekea nchini India kwa ajili ya matibabu.

  • Iran yaunga mkono kuanza mchakato wa kumtibu kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria

    Iran yaunga mkono kuanza mchakato wa kumtibu kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria

    Aug 13, 2019 11:00

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono mchakato wa kuanza kumpatia matibabu Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na kueleza kufurahishwa na hatua ya kuelekea India Sheikh Zakzaky na mkewe kwa ajili ya matibabu.

  • Madaktari wa nchi 7 waiandikia barua serikali ya Nigeria, wataka Sheikh Zakzaky apewe matibabu

    Madaktari wa nchi 7 waiandikia barua serikali ya Nigeria, wataka Sheikh Zakzaky apewe matibabu

    Aug 12, 2019 02:44

    Makumi ya madaktari kutoka nchi 7 duniani wameiandikia barua serikali ya Nigeria wakikumbusha hali mbaya ya kiafya ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky na kutaka apewe matibabu haraka iwezakanavyo.

  • Harakati ya IMN yajibu mapigo, yasema itakabiliana na vizingiti vya serikali ya Abuja

    Harakati ya IMN yajibu mapigo, yasema itakabiliana na vizingiti vya serikali ya Abuja

    Aug 01, 2019 07:25

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) imetangaza kuwa, itabadilisha mbinu zake za kufuatilia suala la kuachiwa huru kiongozi wake anayeendelea kushikiwa korokoroni kwa miaka kadhaa sasa, Sheikh Ibrahim Zakzaky, na kukabiliana na vizingiti na mbinyo wa serikali ya Abuja.

  • Kesi ya Sheikh Zakzaky yaakhirishwa hadi Agosti 5, mawakili wataka aachiwe huru kwa ajili ya matibabu

    Kesi ya Sheikh Zakzaky yaakhirishwa hadi Agosti 5, mawakili wataka aachiwe huru kwa ajili ya matibabu

    Jul 29, 2019 12:08

    Mahakama ya Nigeria leo imeakhirisha kikao cha kusikiliza kesi iliyowasilishwa kwa ajili ya kumwachia huru kwa dhamana kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo IMN, Sheikh Ibrahim Zakzaky ambaye wafuasi wake wasiopungua 20 waliuawa juma lililopita wakiandamana kwa amani ili kuishinikiza serikali imwachie huru.

  • Mazishi ya wafuasi 6 wa Sheikh Zakzaky waliouliwa shahidi na wanajeshi wa Nigeria yafanyika mjini Abuja

    Mazishi ya wafuasi 6 wa Sheikh Zakzaky waliouliwa shahidi na wanajeshi wa Nigeria yafanyika mjini Abuja

    Jul 25, 2019 07:05

    Shughuli ya kuviaga kwa ajili ya mazishi viwiliwili vya Waislamu sita waliouliwa shahidi katika shambulio la karibuni la wanajeshi wa Nigeria dhidi ya wafuasi wa kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky, ilifanyika jana katika mji mkuu Abuja.

  • Guterres aombwa kufuatilia hali ya Sheikh Zakzaky ili apatiwe matibabu

    Guterres aombwa kufuatilia hali ya Sheikh Zakzaky ili apatiwe matibabu

    Jul 25, 2019 02:38

    Wasomi na wanafikra 52 wamemwandikia barua Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakimtaka asaidie jitihada za kuwaondoa huko Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky pamoja na mkewe Malam Zeenat ili waweze kupatiwa matibabu nje ya nchi haraka iwezekanavyo.

  • Wanachuo wakusanyika mjini Mashhad kumuunga mkono Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Wanachuo wakusanyika mjini Mashhad kumuunga mkono Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jul 24, 2019 04:15

    Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Ferdowsi cha mjini Mashhad kaskazini masharikki wa Iran wamefanya mkusanyiko mkubwa na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Wasomi 52 wamtaka Guterres aingilie kati kadhia ya Sheikh Zakzaky

    Wasomi 52 wamtaka Guterres aingilie kati kadhia ya Sheikh Zakzaky

    Jul 23, 2019 17:04

    Wasomi na wanafikra 52 wamemtaka Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa asaidie jitihada za kutaka kuachiwa huru mara moja Sheikh Ibrahim Zakzaky huko Nigeria kwa ajili ya kupatiwa matibabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS