Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sheikh Ibrahim Zakzaky

  • Waislamu 6 wafuasi wa Sheikh Zakzaky wauawa kwa kupigwa risasi, Abuja

    Waislamu 6 wafuasi wa Sheikh Zakzaky wauawa kwa kupigwa risasi, Abuja

    Jul 23, 2019 04:22

    Wafuasi 6 wa kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi wa Nigeria mjini Abuja.

  • Mahakama yaakhirisha kutoa hukumu dhidi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Mahakama yaakhirisha kutoa hukumu dhidi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jul 22, 2019 07:59

    Mahakama Kuu katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria imeakhirisha kutoa hukumu ya kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Zakzaky

    Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Zakzaky

    Jul 20, 2019 07:29

    Waislamu na wanaharakati nchini Nigeria jana Ijumaa waliendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo licha ya kukabiliwa kwa mkono wa chuma na maafisa usalama wa nchi hiyo.

  • Mahakama ya Nigeria yachunguza uwezekano wa kuruhusiwa Sheikh Zakzaky kutibiwa nje ya nchi

    Mahakama ya Nigeria yachunguza uwezekano wa kuruhusiwa Sheikh Zakzaky kutibiwa nje ya nchi

    Jul 19, 2019 02:36

    Duru za kieneo zimetangaza kuwa, Mahakama Kuu ya Nigeria inachunguza uwezekano wa kuruhusiwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongbozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo kwenda kutibiwa nje ya nchi.

  • Maulamaa wa Iran waitaka Nigeria imuachie huru Sheikh Zakzaky

    Maulamaa wa Iran waitaka Nigeria imuachie huru Sheikh Zakzaky

    Jul 16, 2019 07:14

    Jumuiya ya Wanazuoni wa Hauza ya Kidini ya Qom hapa nchini Iran sambamba na kulaani kuendelea kushikiliwa korokoroni katika mazingira mabaya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi Nigeria, wameitaka serikali ya Abuja imuachie huru kiongozi huyo wa Waislamu ya madhehebu ya Shia.

  • Wanachuo wa Tehran wakusanyika kulalamikia kuendelea kushikiliwa korokoroni Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Wanachuo wa Tehran wakusanyika kulalamikia kuendelea kushikiliwa korokoroni Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jul 15, 2019 11:24

    Wanachuo wa vyuo vikuu hapa mjini Tehran leo wamefanya mkusanyiko mkubwa kulalamikia kuendelea kushikiliwa korokoroni Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Msimamo wa Waislamu wa Nigeria wa kuendelea kufuatilia takwa la kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Msimamo wa Waislamu wa Nigeria wa kuendelea kufuatilia takwa la kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jul 15, 2019 10:26

    Waislamu wa Nigeria wameendelea na maandamano yao katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika wakitaka kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Maandamano makubwa yafanyika Kano Nigeria ya kutaka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Maandamano makubwa yafanyika Kano Nigeria ya kutaka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Jul 15, 2019 02:34

    Mji wa Kano nchini Nigeria jana (Jumapili) ulishuhudia maandamano makubwa ya kushinikiza kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa korokoroni kwa miaka kadhaa sasa.

  • Jeshi la Nigeria laendelea kuwashambulia wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jeshi la Nigeria laendelea kuwashambulia wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jul 13, 2019 07:30

    Vikosi vya usalama nchini Nigeria vimetumia risasi za vita dhidi ya wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo, waliomiminika barabarani jana Ijumaa kwa lengo la kushinikiza kuachiliwa kwake.

  • Wanaharakati mjini London, Uingereza wataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Wanaharakati mjini London, Uingereza wataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Jul 10, 2019 04:20

    Wanaharakati wa Kiislamu na wa haki za binadamu mjini London Uingereza wamelaani vikali kuendelea kushikiliwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria pamoja na mkewe na kutoa wito wa kuachiliwa huru wawili hao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS