Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Umoja wa Afrika

  • AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza

    AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza

    Aug 08, 2022 07:28

    Umoja wa Afrika (AU) umeungana na jamii ya kimataifa kulaani jinai za kinyama zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina.

  • AU yataka Sudan, Ethiopia ziache makabiliano ya kijeshi mpakani

    AU yataka Sudan, Ethiopia ziache makabiliano ya kijeshi mpakani

    Jun 30, 2022 08:12

    Kamisheni ya Umoja wa Afrika imetoa mwito kwa nchi za Sudan na Ethiopia kujizuia na kutochukua hatua yoyote inayoweza kushadidisha mivutano ya kijeshi katika eneo la al-Fashaqa, lililoko katika mpaka wa pamoja wa nchi mbili hizo jirani.

  • AU yataka uchunguzi wa mauaji ya makumi ya watu mpakani mwa Morocco, Uhispania

    AU yataka uchunguzi wa mauaji ya makumi ya watu mpakani mwa Morocco, Uhispania

    Jun 27, 2022 11:27

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Afrika ametoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa mauaji ya makumi ya wahajiri wa Kiafrika katika mpaka wa Morocco na Uhispania.

  • Jumatano tarehe 25 Mei 2022

    Jumatano tarehe 25 Mei 2022

    May 25, 2022 03:12

    Leo ni Jumatano tarehe 23 Shawwal 1443 Hijria sawa na tarehe 25 Mei mwaka 2022.

  • Umoja wa Afrika wataka kusimamishwa mgogoro wa Ukraine

    Umoja wa Afrika wataka kusimamishwa mgogoro wa Ukraine

    Feb 25, 2022 14:47

    Umoja wa Afrika umetoa mwito wa kusimamishwa haraka iwezekanavyo mgogoro wa Ukraine.

  • Iran: Uamuzi wa AU kuisimamishia Israel uanachama ni wa hekima, sahihi

    Iran: Uamuzi wa AU kuisimamishia Israel uanachama ni wa hekima, sahihi

    Feb 08, 2022 07:57

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepongeza uamuzi wa Umoja wa Afrika wa kusimamisha hadhi ya uanachama mtazamaji ya utawala wa Kizayuni Israel katika jumuiya hiyo ya kibara.

  • AU yatiwa wasi wasi na jaribio la mapinduzi Guinea-Bissau

    AU yatiwa wasi wasi na jaribio la mapinduzi Guinea-Bissau

    Feb 03, 2022 02:31

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Moussa Faki Mahamat amesema AU imesikitishwa mno na jaribio la mapinduzi lililofeli katika nchi nyingine ya Afrika Magharibi ya Guinea-Bissau.

  • AU yataka pande hasimu za kisiasa Somalia zifanye mazungumzo

    AU yataka pande hasimu za kisiasa Somalia zifanye mazungumzo

    Jan 01, 2022 03:01

    Umoja wa Afrika umetoa mwito kwa Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo wa Somalia na Waziri Mkuu wa nchi hiyo aliyesimamishwa kazi hivi karibuni, Mohamed Hussein Roble kufanya mazungumzo haraka iwezekanavyo, baada ya wawili hao kutofautiana vikali wakati huu wa kuendelea uchaguzi wa bunge.

  • Namibia pia yalaani kuruhusiwa Israel kuwa mwanachama wa AU

    Namibia pia yalaani kuruhusiwa Israel kuwa mwanachama wa AU

    Jul 30, 2021 12:43

    Namibia imelalamikia vikali kitendo cha kuruhusiwa utawala haramu wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika (AU).

  • Jumatatu, 25 Mei, 2020

    Jumatatu, 25 Mei, 2020

    May 25, 2020 03:54

    Leo ni Jumatatu tarehe Pili Mfunguo Mosi Shawwal 1441 Hijria mwafaka na tarehe 25 Mei 2020 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS