Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Jeshi la Somalia laua magaidi karibu 50 wa al-Shabaab katika mashambulizi 2

    Jeshi la Somalia laua magaidi karibu 50 wa al-Shabaab katika mashambulizi 2

    Apr 17, 2025 12:49

    Jeshi la Somalia limewauwa magaidi 47 wa al-Shabaab katika mashambulizi mawili tofauti leo Alkhamisi, likiwemo lile la Aadan Yabaal katika eneo la Shabelle ya Kati, mji wa kimkakati uliotwaliwa na kundi hilo la kigaidi lenye mfungamano na al-Qaeda jana.

  • Jumanne, 25 Machi, 2025

    Jumanne, 25 Machi, 2025

    Mar 25, 2025 02:17

    Leo ni Jumanne tarehe 24 Ramadhani 1446 Hijria, sawa na tarehe 25 Machi, 2025.

  • AU yalaani shambulio dhidi ya msafara wa Rais wa Somalia

    AU yalaani shambulio dhidi ya msafara wa Rais wa Somalia

    Mar 20, 2025 03:11

    Somalia na Umoja wa Afrika (AU) zimelaani shambulizi la kigaidi lililolenga msafara wa Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud huko Mogadishu, mji mkuu wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Somalia pia yapinga pendekezo la US kuhusu Wapalestina wa Gaza

    Somalia pia yapinga pendekezo la US kuhusu Wapalestina wa Gaza

    Mar 15, 2025 07:10

    Serikali ya Somali imepinga vikali pendekezo la Marekani la kuwapa makazi Wapalestina kutoka Ukanda wa Gaza kwenye ardhi ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Al-Shabaab yaendelea kumwaga damu za Waislamu Ramadhani

    Al-Shabaab yaendelea kumwaga damu za Waislamu Ramadhani

    Mar 12, 2025 07:11

    Wanachama waliokuwa wamejizatiti kwa silaha wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wamewauwa watu wasiopungua saba katika shambulio dhidi ya hoteli moja katika mji wa kati wa Somalia; ambapo wazee wa eneo hilo na maafisa wa serikali walikuwa wamekutana kujadili jinsi ya kuchukua hatua dhidi ya genge hilo la wanamgambo.

  • Wasomali wengine milioni moja kuathiriwa na ukosefu wa usalama wa chakula kutokana na ukame

    Wasomali wengine milioni moja kuathiriwa na ukosefu wa usalama wa chakula kutokana na ukame

    Mar 05, 2025 06:20

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeripoti kuwa Ukame, mzozo na kupanda kwa bei za vyakula vinaweza kusabaisha uhaba na kukosekana usalama wa chakula kwa Wasomali wengine milioni moja katika miezi mingine ijayo.

  • Jeshi la Somalia laangamizi magaidi 130 wa al-Shabaab kusini mwa nchi

    Jeshi la Somalia laangamizi magaidi 130 wa al-Shabaab kusini mwa nchi

    Feb 21, 2025 06:51

    Somalia imesema jeshi la nchi hiyo likishirikiana na vikosi washirika vimefanikiwa kuzima mashambulizi ya al-Shabaab, na kuua makumi ya wanachama wa genge hilo la kigaidi.

  • Makumi ya wapiganaji wa ISIS wauawa katika mapigano na vikosi vya Puntland, Somalia

    Makumi ya wapiganaji wa ISIS wauawa katika mapigano na vikosi vya Puntland, Somalia

    Feb 13, 2025 06:50

    Makumi ya wanamgambo wa ISIS wameuawa katika makabiliano makali na vikosi vya usalama katika eneo linalojitawala la Puntland huko Somalia jana Jumatano, huku vikosi vya usalama vikipata hasara katika mapigano hayo yaliyoanza Jumanne iliyopita.

  • Magaidi 16 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia

    Magaidi 16 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia

    Jan 29, 2025 10:37

    Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kuwaua magaidi 16 wa al-Shabaab katika operesheni katika mkoa wa Hiiraan, mashariki mwa nchi, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali.

  • AU yapongeza mkutano wa viongozi wa Somalia na Ethiopia kufuatia mapatano ya Ankara

    AU yapongeza mkutano wa viongozi wa Somalia na Ethiopia kufuatia mapatano ya Ankara

    Jan 15, 2025 07:41

    Umoja wa Afrika umepongeza mkutano wa mwishoni mwa wiki kati ya viongozi wa Somalia na Ethiopia mjini Addis Ababa Ethiopia ambao ulifanyika kufuatia Azimio la Ankara.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS