Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Vijana wa Kisomali wachukua udhibiti wa  meli ya mafuta

    Vijana wa Kisomali wachukua udhibiti wa meli ya mafuta

    Apr 25, 2026 11:23

    Taarifa zinasema meli ya mafuta iliyokuwa imebeba mapipa 18,500 ya mafuta na wafanyakazi 17 katika pwani ya kaskazini mashariki Somalia imechukuliwa na vijana wa Kisomali.

  • Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb

    Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb

    Apr 23, 2026 09:59

    Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.

  • Somalia yazuia meli za Israel kupita Bab al-Mandab

    Somalia yazuia meli za Israel kupita Bab al-Mandab

    Apr 23, 2026 09:47

    Somalia imepiga marufuku meli za utawala wa Israel kupita katika mlango‑bahari wa kimkakati wa Bab al‑Mandab kama jibu kwa hatua ya utawala huo ya kulitambua rasmi eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la “Somaliland”.

  • Iran yailaani Israel kwa kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Somalia

    Iran yailaani Israel kwa kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Somalia

    Apr 21, 2026 08:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema hatua ya utawala wa kizayuni wa Israel ya kuteua mjumbe wa kidiplomasia huko Somaliland ni ishara wazi ya njama ya utawala huo ya kuvuruga amani na utulivu na kuchochea migawanyiko baina ya nchi za Kiislamu na za Kanda hiyo.

  • Takriban watu milioni 6.5 wanakabiliwa na njaa kali kutokana na ukame ulioikumba Somalia

    Takriban watu milioni 6.5 wanakabiliwa na njaa kali kutokana na ukame ulioikumba Somalia

    Feb 25, 2026 00:57

    Serikali ya Somalia na Umoja wa Mataifa zimetangaza kuwa wananchi wa Somalia wasiopungua milioni 6.5 wanakabiliwa na njaa kali kutokana na ukame ulioiathiri nchi hiyo.

  • Somalia yalaani shambulio la mauaji katika jimbo la Zamfara, Nigeria

    Somalia yalaani shambulio la mauaji katika jimbo la Zamfara, Nigeria

    Feb 23, 2026 07:06

    Somalia leo imelaani vikali shambulio la umwagaji damu katika jimbo la Zamfara kaskazini magharibi mwa Nigeria lililouwa raia wasiopungua 50. Wanawake na watoto pia walitekwa nyara katika hujuma hiyo ya kigaidi.

  • Somalia kuanza kutoa pasipoti za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

    Somalia kuanza kutoa pasipoti za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

    Feb 17, 2026 07:51

    Somalia inatarajiwa kuanza kutoa hati ya kusafiria ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa raia wake; ikiungana na nchi nyingine wanachama katika kutumia hati ya kusafiria ya kikanda.

  • AU yasisitiza kuunga mkono umoja wa Somalia; yalaani kuingiliwa masuala ya ndani ya Sudan

    AU yasisitiza kuunga mkono umoja wa Somalia; yalaani kuingiliwa masuala ya ndani ya Sudan

    Feb 12, 2026 23:19

    Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU) kwa mara nyingine tena jana Alhamisi lilithibitisha kuhusu mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi nzima ya Somalia na kutupilia mbali suala la kutambuliwa rasmi eneo la Somaliland kama nchi huru.

  • Kamanda wa ngazi ya juu wa al Shabaab auawa katika oparesheni ya usalama Somalia

    Kamanda wa ngazi ya juu wa al Shabaab auawa katika oparesheni ya usalama Somalia

    Feb 10, 2026 11:32

    Idara ya Intelijinsia na Usalama wa Taifa ya Somalia (NISA) leo Jumanne imetangaza kuuawa kiongozi wa ngazi ya juu wa wanamgambo wa kundi la al- Shabaab katika oparesheni ya usalama.

  • Kusimama kidete Somalia dhidi ya mpango hatari wa Wazayuni huko Somaliland

    Kusimama kidete Somalia dhidi ya mpango hatari wa Wazayuni huko Somaliland

    Feb 10, 2026 09:25

    Somalia imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuwahamisha kwa lazima wa Wapalestina na kuwapeleka Somaliland ambalo limejitangazia uhuru.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS