-
AU yapongeza mkutano wa viongozi wa Somalia na Ethiopia kufuatia mapatano ya Ankara
Jan 15, 2025 07:41Umoja wa Afrika umepongeza mkutano wa mwishoni mwa wiki kati ya viongozi wa Somalia na Ethiopia mjini Addis Ababa Ethiopia ambao ulifanyika kufuatia Azimio la Ankara.
-
Rais wa Somalia aitembelea Ethiopia kwa mara ya kwanza tangu kupatiwa ufumbuzi mzozo wa nchi mbili
Jan 12, 2025 07:57Ethiopia na Somalia zimekubali kurejesha na kuimarisha uhusiano wa nchi mbili kupitia uwakilishi kamili wa kidiplomasia katika miji mikuu yao. Mataifa hayo mawili yalieleza haya katika taarifa ya pamoja jana Jumamosi.
-
Wakuu wa Intelijinsia wa Ethiopia na Somalia wakutana huku nchi mbili zikiendelea kuimarisha uhusiano
Dec 25, 2024 02:19Redwan Hussein Mkuu wa Intelijinsia wa Ethiopia jana Jumanne alikutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Somalia Abdullahi Mohamed Ali huko Addis Ababa mji mkuu wa Ethiopia ili kuendeleza ushirikiano wa kiusalama na kuimarisha ahadi zilizoainishwa katika Azimio la Ankara.
-
Baraza la mawaziri la Somalia lamfukuza kazi mkuu wa jeshi na kumteua tena mtangulizi wake
Nov 11, 2024 07:39Mawaziri wa Baraza la Mawaziri la Somalia wiki hii lilimfukuza kazi mkuu wa vikosi vya jeshi Ibrahim Sheikh Muhyadin Addow, na kumteua Meja Jenerali Odowaa Yusuf Rageh kushika wadhifa huo.
-
Magaidi 95 wa kundi la al-Shabaab wauawa Somalia
Oct 22, 2024 07:06Wizara ya Ulinzi ya Somalia imesema kwamba, jeshi la nchi hiyo likisaidiwa na washirika wa ndani na wa kimataifa, limefanya operesheni za kijeshi dhidi ya kundi la wanamgambo wa al-Shabaab, na kuua wanachama zaidi ya 95 wa genge hilo la kigaidi.
-
Jumatatu, Oktoba 21, 2024
Oct 21, 2024 02:21Leo ni Jumatatu tarehe 17 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria sawa na 21 Okktoba 2024 Milaadia.
-
AU yakabidhi kambi 6 za kijeshi kwa vikosi vya Somalia
Oct 18, 2024 02:51Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimekabidhi rasmi kambi ya kijeshi ya Kuday kwa vikosi vya usalama vya Somalia, kuashiria hatua muhimu katika awamu ya tatu ya uondoaji wa wanajeshi hao wa kigeni.
-
Somalia inatiwa wasiwasi na madai kwamba Ethiopia imetuma Puntland shehena ya silaha
Oct 07, 2024 03:50Somalia jana ilieleza kuwa inatiwa wasiwasi na hatua ya jirani yake Ethiopia ya kusafirisha silaha kinyume cha sheria katika eneo la Puntland.
-
Jeshi la Somalia lakikomboa kijiji cha kimkakati kutoka kwa magaidi wa al-Shabaab
Oct 04, 2024 02:22Wizara ya Ulinzi ya Somalia jana ilitangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limeendesha oparesheni maalumu dhidi ya kundi la kigaidi la al Shabaab na kukikomboa kijiji cha kimkakati cha Ali Yabal umbali wa kilomita 18 kutoka Eeldheer katika mkoa wa Galgaduud.
-
Somalia yakumbwa na mlipuko karibu na ikulu ya Rais, watu kadhaa wauawa
Sep 29, 2024 02:17Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa au kujeruhiwa baada ya mlipuko mkubwa kutokea leo katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.