-
Somalia, Muqawama walaani shambulio dhidi ya Hamas nchini Qatar
Sep 10, 2025 07:04Somalia imelaani shambulio la Israel katika mji mkuu wa Qatar, Doha ambalo liliwalenga viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas, ikisema kuwa hujuma hiyo ni "ukiukwaji mkubwa wa sheria za kimataifa" na tishio kwa amani na usalama wa kikanda na kimataifa.
-
Shirika la Uhamiaji la Somalia na jitihada za kupambana na misimamo mikali
Sep 08, 2025 07:32Shirika la Uhamiaji la Somalia linafanya kazi kwa bidii kupambana na vitendo vya uchupaji mipaka na misimamo mikali na kuimarisha usalama katika mipaka ya nchi hiyo kwa kushirikiana na washirika wa kimataifa.
-
Maulidi ya Mtume SAW yaadhimishwa kwa sherehe kubwa Somalia, yatangazwa sikukuu rasmi ya kitaifa
Sep 05, 2025 14:45Maelfu ya Waislamu nchini Somalia jana Alkhamisi, waliandamana mitaani katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu kuadhimisha siku aliyozaliwa Bwana Mtume Muhammad SAW, huku Wizara ya Kazi na Masuala ya Kijamii ikiitangaza kuwa ni sikukuu ya kitaifa na siku rasmi ya mapumziko kuadhimisha tukio hilo.
-
Mrengo wa upinzani Somalia wafikia makubaliano na serikali kuhusu uchaguzi
Aug 27, 2025 02:28Mrengo uliojitenga na muungano mkuu wa upinzani nchini Somalia wa Salvation Forum umetia saini makubaliano ya uchaguzi na Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia, na hivyo kutoa pigo kubwa kwa harakati kuu ya upinzani nchini humo.
-
Magaidi wa al-Shabab zaidi ya 100 wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia
Aug 19, 2025 11:32Magaidi wa kundi la al Shabab zaidi ya 100 wameuawa katika oparesheni iliyotekelezwa na jeshi la Somalia katikaa maeneo karibu na mji wa Awdhegle katika mkoa wa Lower Shabelle.
-
Wanajeshi 4, magaidi 18 wauawa katika mapigano baada ya walinda amani wa Somalia na AU kuzima shambulio la al-Shabaab
Jul 26, 2025 11:51Wanajeshi wanne wameuawa na wengine saba kujeruhiwa katika mapigano na kundi la kigaidi la al-Shabaab baada ya shambulio lao kuzimwa na jeshi la Somalia katika eneo la Lower Shabelle ambapo magaidi 18 wameuawa.
-
Maelfu wahamishwa baada ya Al-Shabab kudhibiti mji katikati mwa Somalia
Jul 15, 2025 16:22Afisa mmoja wa jeshi la Somalia ametangaza kuwa, wanamgambo wa kundi la kigaidi la Al-Shabab wameuteka mji wa Tardo katika eneo la Hiiran katikati ya nchi hiyo.
-
Magaidi 13 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi Somalia
Jul 11, 2025 15:55Shirika la kitaifa la ujasusi na usalama la Somalia (NISA) jana Ijumaa lilisema kuwa lmeifanya operesheni tatu zilizoratibiwa katika eneo la Shabelle ya Kati, na kuua takriban wanachama 13 wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab, wakiwemo wapiganaji na makamanda wake.
-
Jumanne tarehe Mosi Julai, 2025
Jul 01, 2025 02:31Leo ni Jumanne tarehe 05 Muharram 1447 Hijria sawa na Julai Mosi mwaka 2025.
-
Jeshi la Somalia laangamiza makamanda kadhaa wa al-Shabaab
Jun 09, 2025 02:50Makamanda watatu waandamizi wa kundi la kigaidi la al-Shabab walioendesha wimbi la mashambulizi mabaya nchini Somalia katika miezi ya karibuni wameuawa katika operesheni ya pamoja ya usalama.