Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Al-Shabaab yaendelea kumwaga damu za Waislamu Ramadhani

    Al-Shabaab yaendelea kumwaga damu za Waislamu Ramadhani

    Mar 12, 2025 07:11

    Wanachama waliokuwa wamejizatiti kwa silaha wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wamewauwa watu wasiopungua saba katika shambulio dhidi ya hoteli moja katika mji wa kati wa Somalia; ambapo wazee wa eneo hilo na maafisa wa serikali walikuwa wamekutana kujadili jinsi ya kuchukua hatua dhidi ya genge hilo la wanamgambo.

  • Wasomali wengine milioni moja kuathiriwa na ukosefu wa usalama wa chakula kutokana na ukame

    Wasomali wengine milioni moja kuathiriwa na ukosefu wa usalama wa chakula kutokana na ukame

    Mar 05, 2025 06:20

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeripoti kuwa Ukame, mzozo na kupanda kwa bei za vyakula vinaweza kusabaisha uhaba na kukosekana usalama wa chakula kwa Wasomali wengine milioni moja katika miezi mingine ijayo.

  • Jeshi la Somalia laangamizi magaidi 130 wa al-Shabaab kusini mwa nchi

    Jeshi la Somalia laangamizi magaidi 130 wa al-Shabaab kusini mwa nchi

    Feb 21, 2025 06:51

    Somalia imesema jeshi la nchi hiyo likishirikiana na vikosi washirika vimefanikiwa kuzima mashambulizi ya al-Shabaab, na kuua makumi ya wanachama wa genge hilo la kigaidi.

  • Makumi ya wapiganaji wa ISIS wauawa katika mapigano na vikosi vya Puntland, Somalia

    Makumi ya wapiganaji wa ISIS wauawa katika mapigano na vikosi vya Puntland, Somalia

    Feb 13, 2025 06:50

    Makumi ya wanamgambo wa ISIS wameuawa katika makabiliano makali na vikosi vya usalama katika eneo linalojitawala la Puntland huko Somalia jana Jumatano, huku vikosi vya usalama vikipata hasara katika mapigano hayo yaliyoanza Jumanne iliyopita.

  • Magaidi 16 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia

    Magaidi 16 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia

    Jan 29, 2025 10:37

    Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kuwaua magaidi 16 wa al-Shabaab katika operesheni katika mkoa wa Hiiraan, mashariki mwa nchi, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali.

  • AU yapongeza mkutano wa viongozi wa Somalia na Ethiopia kufuatia mapatano ya Ankara

    AU yapongeza mkutano wa viongozi wa Somalia na Ethiopia kufuatia mapatano ya Ankara

    Jan 15, 2025 07:41

    Umoja wa Afrika umepongeza mkutano wa mwishoni mwa wiki kati ya viongozi wa Somalia na Ethiopia mjini Addis Ababa Ethiopia ambao ulifanyika kufuatia Azimio la Ankara.

  • Rais wa Somalia aitembelea Ethiopia kwa mara ya kwanza tangu kupatiwa ufumbuzi mzozo wa nchi mbili

    Rais wa Somalia aitembelea Ethiopia kwa mara ya kwanza tangu kupatiwa ufumbuzi mzozo wa nchi mbili

    Jan 12, 2025 07:57

    Ethiopia na Somalia zimekubali kurejesha na kuimarisha uhusiano wa nchi mbili kupitia uwakilishi kamili wa kidiplomasia katika miji mikuu yao. Mataifa hayo mawili yalieleza haya katika taarifa ya pamoja jana Jumamosi.

  • Wakuu wa Intelijinsia wa Ethiopia na Somalia wakutana huku nchi mbili zikiendelea kuimarisha uhusiano

    Wakuu wa Intelijinsia wa Ethiopia na Somalia wakutana huku nchi mbili zikiendelea kuimarisha uhusiano

    Dec 25, 2024 02:19

    Redwan Hussein Mkuu wa Intelijinsia wa Ethiopia jana Jumanne alikutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Somalia Abdullahi Mohamed Ali huko Addis Ababa mji mkuu wa Ethiopia ili kuendeleza ushirikiano wa kiusalama na kuimarisha ahadi zilizoainishwa katika Azimio la Ankara.

  • Baraza la mawaziri la Somalia lamfukuza kazi mkuu wa jeshi na kumteua tena mtangulizi wake

    Baraza la mawaziri la Somalia lamfukuza kazi mkuu wa jeshi na kumteua tena mtangulizi wake

    Nov 11, 2024 07:39

    Mawaziri wa Baraza la Mawaziri la Somalia wiki hii lilimfukuza kazi mkuu wa vikosi vya jeshi Ibrahim Sheikh Muhyadin Addow, na kumteua Meja Jenerali Odowaa Yusuf Rageh kushika wadhifa huo.

  • Magaidi 95 wa kundi la al-Shabaab wauawa Somalia

    Magaidi 95 wa kundi la al-Shabaab wauawa Somalia

    Oct 22, 2024 07:06

    Wizara ya Ulinzi ya Somalia imesema kwamba, jeshi la nchi hiyo likisaidiwa na washirika wa ndani na wa kimataifa, limefanya operesheni za kijeshi dhidi ya kundi la wanamgambo wa al-Shabaab, na kuua wanachama zaidi ya 95 wa genge hilo la kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS