Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Rais wa Somalia: Vita dhidi ya ugaidi nchini haviishi karibuni

    Rais wa Somalia: Vita dhidi ya ugaidi nchini haviishi karibuni

    Mar 05, 2019 23:23

    Rais Mohammed Abdullahi Farmajo wa Somalia amekiri kuwa, vita dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab havitamalizika hivi karibuni, lakini akasisitiza kuwa genge hilo limedhoofishwa kwa kiasi kikubwa.

  • Al-Shabaab yateka mji Somalia baada ya Kenya kuondoa wanajeshi wake

    Al-Shabaab yateka mji Somalia baada ya Kenya kuondoa wanajeshi wake

    Mar 03, 2019 04:19

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeuteka mji mmoja wa kistratajia ulioko kusini magharibi mwa Somalia, baada ya jeshi la Kenya KDF kuwaondoa wanajeshi wake waliokuwa wanaudhibiti mji huo.

  • Watu 6 wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Watu 6 wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Mar 01, 2019 04:35

    Watu wasiopungua sita wameuawa katika shambulizi la hujuma ya kigaidi kwenye mtaa wenye pilika nyingi wa Maka Al-Mukarama katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Shambulizi la anga la Marekani ladaiwa kuua 'magaidi' 35 Somalia

    Shambulizi la anga la Marekani ladaiwa kuua 'magaidi' 35 Somalia

    Feb 26, 2019 04:13

    Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Afrika (AFRICOM) imedai kuwa mashambulizi ya anga ya wanajeshi wake yamefanikiwa kuangamiza wanachama 35 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab nchini Somalia.

  • Burundi inakataa kuondoa askari wake Somalia

    Burundi inakataa kuondoa askari wake Somalia

    Feb 20, 2019 04:40

    Marais wa Burundi na Somalia wameitisha kikao cha dharura cha nchi zenye askari katika Kikosi cha Umoja wa Afrika Somalia, AMISOM, kujadili agizo la kutaka askari 1,000 wa kulinda amani wa Burundi waondoke Somalia kabla ya mwisho wa mwezi huu wa Februari.

  • Jamii ya kimataifa yatakiwa itatue mgogoro wa Kenya na Somalia kuhusu bahari

    Jamii ya kimataifa yatakiwa itatue mgogoro wa Kenya na Somalia kuhusu bahari

    Feb 17, 2019 10:32

    Mwanasiasa wa ngazi za juu nchini Kenya Musalia Mudavadi ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura kutatua mgogoro wa mpakani unaotokota baina ya Kenya na Somalia ili kuzuia hali kuwa mbaya zaidi.

  • Kenya na Somalia zaingia katika mgogoro mkubwa wa kidiplomasia + Sauti

    Kenya na Somalia zaingia katika mgogoro mkubwa wa kidiplomasia + Sauti

    Feb 17, 2019 04:44

    Kenya imemfukuza balozi wa Somalia mjini Nairobi huku ikimuita balozi wake wa Mogadishu nyumbani, ikiituhumu nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kuwa imepiga mnada maeneo yake yenye gesi na mafuta katika mipaka yao ya pamoja ya baharini.

  • Shambulizi la kigaidi laua askari kadhaa wa Ethiopia nchini Somalia

    Shambulizi la kigaidi laua askari kadhaa wa Ethiopia nchini Somalia

    Feb 02, 2019 21:57

    Mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa garini umeua watu kadhaa wakiwemo wanajeshi wa Ethiopia huko kusini mwa Somalia.

  • Watu wawili wafariki katika hujuma ya kigaidi Mogadishu

    Watu wawili wafariki katika hujuma ya kigaidi Mogadishu

    Jan 29, 2019 10:28

    Watu wasiopungua wawili wamefariki dunia baada ya gari lililotegwa bomu kulipuka katika kituo cha mafuta karibu na makao makuu ya ofisi za kanda ya Banadir, mjini Mogadishu, Somalia, mapema leo Jumanne.

  • Jeshi la Ethiopia lajiandaa kuadhibu vikali magaidi wa Al Shabab baada ya askari wake 50 kuuawa

    Jeshi la Ethiopia lajiandaa kuadhibu vikali magaidi wa Al Shabab baada ya askari wake 50 kuuawa

    Jan 20, 2019 10:35

    Jeshi la Ethiopia limetangaza kuwa linajiandaa kufanya mashambulizi makubwa dhidi ya kundi la kigaidi la Al Shabab, baada ya kundi hilo kushambulia msafara wa magari ya jeshi la Ethiopia karibu na mji wa Burhakaba wa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS