Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Takriban watu 56 wameuawa Sudan huku mapigano yakiendelea Khartoum

    Takriban watu 56 wameuawa Sudan huku mapigano yakiendelea Khartoum

    Feb 02, 2025 04:07

    Mashambulio ya mizinga na ya anga yalisababisha vifo vya takriban watu 56 jana Jumamosi katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum. Haya yameelezwa na duru za hospitali na wanaharakati wa Sudan.

  • Iran yasikitishwa na shambulio la droni lililoua 70 hospitalini Darfur, Sudan

    Iran yasikitishwa na shambulio la droni lililoua 70 hospitalini Darfur, Sudan

    Jan 27, 2025 08:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei amelaani shambulio la ndege isiyo na rubani dhidi ya hospitali moja katika mji wa El Fasher katika mkoa wa magharibi wa Darfur nchini Sudan, na kusababisha vifo vya makumi ya watu.

  • Jeshi la Sudan ladhibiti kikamilifu kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha mafuta nchini humo

    Jeshi la Sudan ladhibiti kikamilifu kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha mafuta nchini humo

    Jan 26, 2025 03:24

    Jeshi la Sudan limeeleza kuwa limechukua udhibiti kamili wa kiwanda cha kusafisha mafuta cha al Jaili karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum huku gavana mmoja wa nchi hiyo akiripoti kuuawa watu zaidi ya 70 katika shambulio la droni lililotekelezwa na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko al Fasher magharibi mwa Sudan.

  • Jeshi la Sudan: Tumevunja mzingiro wa RSF Khartoum

    Jeshi la Sudan: Tumevunja mzingiro wa RSF Khartoum

    Jan 25, 2025 08:05

    Jeshi la Sudan limetangaza habari ya kufanikiwa kuvunja 'mzingiro' uliowekwa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) dhidi ya Kamandi Kuu ya jeshi hilo katikati mwa Khartoum, mji mkuu wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Jeshi la Sudan na RSF wapigana kuhusu kinu cha kusafisha mafuta kaskazini mwa Khartoum

    Jeshi la Sudan na RSF wapigana kuhusu kinu cha kusafisha mafuta kaskazini mwa Khartoum

    Jan 24, 2025 00:06

    Mapigano makali yaliendelea kwa siku ya pili jana Alhamisi kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo hasimu wa jeshi hiyo yaani Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) karibu na kinu cha kusafisha mafuta kaskazini mwa mji mkuu, Khartoum.

  • Sudan: Wanamgambo wa RSF wamekishambulia kituo cha umeme cha mji wa Dongola

    Sudan: Wanamgambo wa RSF wamekishambulia kituo cha umeme cha mji wa Dongola

    Jan 21, 2025 03:41

    Jeshi la Sudan limewatuhumu wanamgambo wa kikosi cha (RSF) kwa kukishambulia kituo cha umeme kaskazini mwa nchi hiyo na kusababisha kukatika kwa umeme katika mji wa Dongola.

  • Sudan yakosoa hatua ya Marekani ya kumuwekea vikwazo kamanda wa jeshi la nchi hiyo

    Sudan yakosoa hatua ya Marekani ya kumuwekea vikwazo kamanda wa jeshi la nchi hiyo

    Jan 17, 2025 23:11

    Sudan imelaani na kukosoa uamuzi wa Wizara ya Fedha ya Marekani ya kumuwekea vikwazo kiongozi wa jeshi la nchi hiyo, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan.

  • Kiongozi wa Sudan: Mataifa ya kikoloni yanachochea migogoro Afrika

    Kiongozi wa Sudan: Mataifa ya kikoloni yanachochea migogoro Afrika

    Jan 13, 2025 07:19

    Kiongozi wa Sudan Jenerali Abdel Fattah al Burhan amesema kuwa mataifa ya kikoloni yanachochea migogoro mbalimbali barani Afrika.

  • Al Burhan akataa kurejea katika mazingira kabla ya vita na kikosi cha RSF

    Al Burhan akataa kurejea katika mazingira kabla ya vita na kikosi cha RSF

    Jan 01, 2025 09:01

    Kiongozi wa Baraza Kuu la Utawala la Sudan amesema ni jambo lisilowezekana kurejea katika hali ya kabla ya vita na mahasimu wao yaani wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) .

  • Jumatano, tarehe Mosi Januari, 2025

    Jumatano, tarehe Mosi Januari, 2025

    Jan 01, 2025 00:15

    Leo ni Jumatano tarehe 30 Jamadil Awwal 1446 Hijria sawa na Januari mwaka 2025.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS