-
Sudan: Vyombo vya habari vya Magharibi vinapotosha ukweli kuhusu vita
Dec 30, 2024 08:50Waziri wa Habari na Utamaduni wa Sudan amevituhumu vyombo vya habari vya Magharibi kwa kupotosha uhakika wa mambo kuhusiana na vita vinavyoendelea nchini humo akisema kuwa vyombo hivyo vinaegemea upande wa kikosi cha RSF.
-
Sudan yaikosoa EU kwa kuwawekea vikwazo majenerali wake 2
Dec 19, 2024 23:21Sudan imelaani uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuwawekea vikwazo majenerali wawili wa jeshi la nchi hiyo, ikieleza kuwa hatua hiyo ni potofu na yenye dosari.
-
Mauritania; mwenyeji wa mazungumzo ya amani ya Sudan
Dec 18, 2024 09:26Mauritania Jumatano hii imekuwa mwenyeji wa mashauriano yenye lengo la kurejesha amani nchini Sudan kufuatia ombi la Umoja wa Mataifa na kwa ushiriki wa wajumbe kutoka nchi na mashirika mbalimbali.
-
Khartoum yakosoa uingiliaji wa Imarati katika masuala ya ndani ya Sudan
Dec 04, 2024 08:42Wizara ya Ulinzi ya Sudan imetoa taarifa ikikosoa uingiliaji wa Imarati katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na pia hatua yake ya kuwapatia silaha na zana za kijeshi wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).
-
Sudan: Colombia yaomba radhi kufuatia baadhi ya raia wake kushiriki kama mamluki katika kikosi cha RSF
Dec 03, 2024 08:54Sudan imethibitisha kuwa Colombia imeiomba radhi kufuatia baadhi ya raia wa nchi hiyo kushiriki kama mamluki katika kikosi cha wanamgambo wa RSF wa Sudan wanaopigana dhidi ya serikali ya Khartoum.
-
Jeshi la Sudan: Tumeuwa wanamgambo 30 wenye silaha wa RSF
Dec 02, 2024 08:46Jeshi la Sudan leo limedai kuwa limewauwa wapiganaji 30 wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika mapigano makali yaliyozuka kati yao na kikosi hicho.
-
Sudan yaripoti wagonjwa wa kipindupindu zaidi ya elfu 43
Nov 29, 2024 03:45Sudan jana Alhamisi iliripoti watu zaidi ya 43,000 wanaugua kipindupindu huku wengine 1,800 wakiaga dunia kwa ugonjwa huo.
-
Wapiganaji wa RSF washambulia kijiji na kuua watu 42 katikati mwa Sudan
Nov 21, 2024 04:17Watu wasiopungua 42 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na wapiganaji wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika kijiji cha Wad Oshaib katika jimbo la kati la al Jazira nchini Sudan.
-
Msisitizo wa kupanuliwa ushirikiano wa vyombo vya habari kati ya Iran na Sudan
Nov 15, 2024 00:25Imesisitizwa katika kikao cha balozi wa Sudan nchini Iran na Mkuu wa kitengo cha matangazo ya nje cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) nia ya dhati ya nchi hizo mbili ya kuendeleza ushirikiano wa vyombo vya habari.
-
Utafiti mpya: Idadi ya waliouawa vitani Sudan inaweza kuwa ya juu zaidi
Nov 15, 2024 00:24Zaidi ya watu 61,000 wanakadiriwa kupoteza maisha katika jimbo la Khartoum katika kipindi cha miezi 14 ya kwanza ya vita vya Sudan. Ushahidi unaonyesha kuwa idadi ya watu waliouliwa vitani ni kubwa zaidi kuliko ilivyosajiliwa hapo awali. Hii ni kwa mujibu wa ripoti mpya ya watafiti nchini Uingereza na Sudan.