Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Juhudi za kufanya mapinduzi nchini Sudan

    Juhudi za kufanya mapinduzi nchini Sudan

    Apr 16, 2023 09:53

    Nchini Sudan hali si shwari ambapo habari kutoka nchini humo zinaonyesha kuendelea mapigano kati ya jeshi la Sudan na vikosi vya radiamali ya haraka na kuzusha wasiwasi wa kutokea mapinduzi katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Mapigano ya kuwania madaraka baina ya majenerali yaingia siku ya pili nchini Sudan

    Mapigano ya kuwania madaraka baina ya majenerali yaingia siku ya pili nchini Sudan

    Apr 16, 2023 06:56

    Mapigano kati ya jeshi la Sudan na Vikosi vya Radiamali ya Haraka yameingia siku ya pili, huku milipuko ikisikika tangu alfajiri ya leo, Jumapili, karibu na Mji wa Michezo, kusini mwa mji mkuu, Khartoum.

  • Madaktari Sudan: Zaidi ya watu 50 wameuawa, karibu 600 wamejeruhiwa katika mapigano

    Madaktari Sudan: Zaidi ya watu 50 wameuawa, karibu 600 wamejeruhiwa katika mapigano

    Apr 16, 2023 03:31

    Kamati Kuu ya Madaktari wa Sudan imetangaza kuwa takriban watu 56 wameuawa na wengine 595 wamejeruhiwa katika mapigano yanayoendelea nchini humo kati ya Jeshi na Kikosi cha Radiamali ya Haraka (RSF).

  • Sudan: Mapigano yazuka Khartoum kati ya jeshi la nchi na kikosi cha radiamalia ya haraka

    Sudan: Mapigano yazuka Khartoum kati ya jeshi la nchi na kikosi cha radiamalia ya haraka

    Apr 15, 2023 08:05

    Milio ya risasi na milipuko imesikika katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum, baada ya siku kadhaa za mvutano kati ya kikosi cha radiamali ya haraka na jeshi la nchi hiyo.

  • Al-Burhan na wapinzani wafichua sababu za kuchelewesha makubaliano ya mwisho ya amani

    Al-Burhan na wapinzani wafichua sababu za kuchelewesha makubaliano ya mwisho ya amani

    Apr 06, 2023 09:20

    Mkuu wa Baraza Kuu la Sudan, Abdel Fattah Al-Burhan, na wawakilishi wa mirengo mbalimbali ya kisiasa ya Sudan wamefichua sababu za kuchelewesha kutiwa saini makubaliano ya mwisho ya kisiasa, ambako kulipaswa kufanyika leo, Alhamisi.

  • Watu 14 waaga dunia baada ya mgodi kuporomoka Sudan

    Watu 14 waaga dunia baada ya mgodi kuporomoka Sudan

    Apr 01, 2023 05:51

    Kwa akali watu 14 wamefariki dunia baada ya kuporomokewa na udongo kwenye mgodi wa dhahabu wa Jebel Al-Ahmar katika jimbo la Kaskazini nchini Sudan, mpakani na Misri.

  • Sudan kususia sarafu ya dola ya Marekani katika biashara na Russia

    Sudan kususia sarafu ya dola ya Marekani katika biashara na Russia

    Mar 12, 2023 08:03

    Sudan inatafakari kusitisha matumizi ya sarafu ya dola ya Marekani katika miamala yake ya kibiashara na Russia.

  • Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na ongezeko la njaa nchini Sudan

    Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na ongezeko la njaa nchini Sudan

    Feb 28, 2023 06:42

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake kuhusu ongezeko la njaa na idadi ya wakimbizi nchini Sudan mwaka huu wa 2023.

  • Wanachuo wa Sudan wapinga uhusiano wa kawaida na Israel

    Wanachuo wa Sudan wapinga uhusiano wa kawaida na Israel

    Feb 14, 2023 04:32

    Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini Sudan wamefanya maandamano katika mji mkuu Khartoum kupinga hatua ya utawala wa kijeshi wa nchi hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Lavrov aunga mkono takwa la Sudan la kuondolewa vikwazo vya UN

    Lavrov aunga mkono takwa la Sudan la kuondolewa vikwazo vya UN

    Feb 10, 2023 03:26

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amekutana na kufanya mazungumzo huko Khartoum mji mkuu wa Sudan na viongozi wa nchi hiyo na kuahidi kuunga mkono takwa lao la kuondolewa vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS