Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Wapinzani Sudan watoa wito wa kufanyika uasi wa kijamii

    Wapinzani Sudan watoa wito wa kufanyika uasi wa kijamii

    Jan 19, 2022 04:45

    Muungano wa kisiasa wa Uhuru wa Mabadiliko nchini Sudan umetoa taarifa ukiwahimzia wananchi kufanya uasi wa kijamii.

  • Madaktari Sudan waandamana kulaani ukandamizaji wanaotendewa na jeshi

    Madaktari Sudan waandamana kulaani ukandamizaji wanaotendewa na jeshi

    Jan 17, 2022 04:21

    Madaktari nchini Sudan wameshiriki katika maandamano kulaani vikali ukandamizaji na mabavu yanayotumiwa dhidi ya madaktari na wauguzi wanatoa huduma wakati wa maandamano dhidi ya mapinduzi ya kijeshi nchini humo.

  • Matangazo ya al Jazeera Mubasher yazuiwa huko Sudan

    Matangazo ya al Jazeera Mubasher yazuiwa huko Sudan

    Jan 16, 2022 23:10

    Kibali cha kufanya shughuli za matangazo ya televishen ya al Jazeera Mubasher kimefutwa nchini Sudan kutokana na kile kilichoelezwa na Khartoum kuwa ni kutangaza matangazo yyasiyozingatia utaalamu wa matukio ya Sudan.

  • Usalama waimarishwa Khartoum Sudan; maandamano mengine yatarajiwa

    Usalama waimarishwa Khartoum Sudan; maandamano mengine yatarajiwa

    Jan 12, 2022 04:45

    Serikali ya kijeshi ya Sudan ambayo katika siku za karibuni imekuwa ikikabiliwa na changamoto kubwa za malalalamiko na maandamano ya wananchi, imeimarisha usalama katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum.

  • Kuendelea mgogoro wa Sudan; sambamba na kukataliwa mpango wa Umoja wa Mataifa

    Kuendelea mgogoro wa Sudan; sambamba na kukataliwa mpango wa Umoja wa Mataifa

    Jan 11, 2022 05:56

    Katika hali ambayo mgogoro wa Sudan ungali unaendelea kutokota, Jumuiya ya Wafanyakazi imetangaza kupinga mpango wa Umoja wa Mataifa wa kufanyika mazungumzo na wanajeshi wenye mamlaka ambao kimsingi ndio wanaoongoza nchi hiyo hivi sasa.

  • Umoja wa Mataifa waja na mpango mpya wa kutatua mgogoro wa Sudan

    Umoja wa Mataifa waja na mpango mpya wa kutatua mgogoro wa Sudan

    Jan 10, 2022 09:12

    Televisheni ya Sky News ya lugha ya Kiarabu imetoa ufafanuzi kuhusu mpango mpya wa Umoja wa Mataifa wa kutatua mgogoro wa Sudan.

  • Wanataaluma wa Sudan wapinga mazungumzo ya UN

    Wanataaluma wa Sudan wapinga mazungumzo ya UN

    Jan 09, 2022 09:57

    Chama cha Wanataaluma cha Sudan ambacho kiliongoza maandamano ya wananchi yaliyopelekea kung'olewa madarakani utawala wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Omar al Bashir, kimetangaza kuwa hakiungi mkono mazungumzo yaliyoitishwa na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kujaribu kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • Baraza la Usalama la UN kujadili mgogoro wa Sudan

    Baraza la Usalama la UN kujadili mgogoro wa Sudan

    Jan 08, 2022 08:56

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatazamiwa kukutana Jumatano ijayo kujadili mgogoro wa kisiasa unaoikabili Sudan kwa miezi kadhaa sasa, huku wananchi wa nchi hiyo wakiendeleza maandamano yao ya kupinga utawala wa kijeshi.

  • Maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi yaendelea nchini Sudan

    Maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi yaendelea nchini Sudan

    Jan 07, 2022 00:19

    Wananchi wa Sudan wameendeleza maandamano yao ya kupinga utawala wa kijeshi na kwa mara nyingine wamewashinikiza wanajeshi warejee makambini na waruhusu raia waendeshe masuala ya kisiasa na kiutawala ya nchi hiyo.

  • Kujiuzulu Waziri Mkuu Hamdok na kushitadi mgogoro wa kisiasa nchini Sudan

    Kujiuzulu Waziri Mkuu Hamdok na kushitadi mgogoro wa kisiasa nchini Sudan

    Jan 04, 2022 23:10

    Abdalla Hamdok, Waziri Mkuu wa Sudan ambaye hivi karibuni alitishia kujiuzulu, hatimaye Jumapili usiku alitangaza rasmi kujiuzulu nafasi hiyo mbele ya waandishi wa habari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS