-
Safari ya Cohen mjini Khartoum sambamba na kuongezeka maandamano dhidi ya serikali ya mpito ya Sudan
Jan 27, 2021 08:43Safari ya Waziri wa Habari wa utawala wa Kizayuni huko Khartoum imefanyika huku maandamano ya wananchi wa Sudan ya kupinga hatua ya serikali ya mpito ya nchi hiyo ya kukubali kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na Tel Aviv yakiendelea.
-
Kushadidi malalamiko ya wananchi nchini Sudan
Jan 26, 2021 08:42Sambamba na kushadidi matatizo ya kiuchumi nchini Sudan, wananchi wa nchi hiyo wameanza tena kufanya maandamano wakilalamikia hali hiyo.
-
Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu mapigano ya Darfur chamalizika bila ya natija
Jan 23, 2021 01:32Kikao cha faragha cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichoitishwa kujadili mapigano ya karibuni katika eneo la Darfur maagharibi mwa Sudan kimemalizika bila ya natija.
-
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uingereza aizuru Sudan baada ya zaidi ya muongo mmoja
Jan 22, 2021 04:49Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uingereza ameitembelea Sudan katika safari iliyotajwa kuwa ya aina yake kwa afisa huyo wa ngazi za juu wa nchi hiyo ya Ulaya ikiwa imepita zaidi ya muongo mmoja.
-
Wananchi wa Sudan waandamana kupinga uhusiano na Israel + Video
Jan 18, 2021 07:20Wananchi wa Sudan wameandamana mjini Khartoum, kupinga uamuzi wa nchi yao kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.
-
Vikosi vya Ethiopia vyasambazwa katika maeneo ya mipaka ya pamoja na Sudan
Jan 18, 2021 04:32Waziri wa Ulinzi wa Sudan ametangaza kuwa wanajeshi wa Ethiopia wamejiweka tayari katika mipaka ya pamoja na Sudan ili kukabiliana na wanajeshi wa nchi hiyo.
-
Watu wengine 32 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan
Jan 17, 2021 04:32Watu wasiopungua 32 wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mapigano ya kikabila baina ya Waarabu na wasiokuwa Waarabu katika mkoa wa Darfur Magharibi nchini Sudan.
-
Sudan yamshukuru Salva Kiir kwa kujitolea kuipatanisha na Ethiopia
Jan 16, 2021 22:51Waziri Mkuu wa Sudan amemshukuru Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini kwa kujitolea kuwa mpatanishi kati ya nchi yake na Ethiopia.
-
Marufuku ya kupaa katika anga ya Qadarif nchini Sudan
Jan 15, 2021 03:35Maafisa wa Sudan wameanza kutekeleza sheria ya kuzuia ndege kupaa kwa masafa yaliyoainishwa katika anga ya mkoa wa Qadarif.
-
Wanamgambo wa Ethiopia waishambulia Sudan; watu kadhaa wauawa
Jan 12, 2021 10:13Raia kadhaa wameuawa na wengine hawajulikani walipo kufuatia shambulizi lililofanywa na wanamgambo wa Kiethiopia huko Sudan.