Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Safari ya Cohen mjini Khartoum sambamba na kuongezeka maandamano dhidi ya serikali ya mpito ya Sudan

    Safari ya Cohen mjini Khartoum sambamba na kuongezeka maandamano dhidi ya serikali ya mpito ya Sudan

    Jan 27, 2021 08:43

    Safari ya Waziri wa Habari wa utawala wa Kizayuni huko Khartoum imefanyika huku maandamano ya wananchi wa Sudan ya kupinga hatua ya serikali ya mpito ya nchi hiyo ya kukubali kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na Tel Aviv yakiendelea.

  • Kushadidi malalamiko ya wananchi nchini Sudan

    Kushadidi malalamiko ya wananchi nchini Sudan

    Jan 26, 2021 08:42

    Sambamba na kushadidi matatizo ya kiuchumi nchini Sudan, wananchi wa nchi hiyo wameanza tena kufanya maandamano wakilalamikia hali hiyo.

  • Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu mapigano ya Darfur chamalizika bila ya natija

    Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu mapigano ya Darfur chamalizika bila ya natija

    Jan 23, 2021 01:32

    Kikao cha faragha cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichoitishwa kujadili mapigano ya karibuni katika eneo la Darfur maagharibi mwa Sudan kimemalizika bila ya natija.

  • Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uingereza aizuru Sudan baada ya zaidi ya muongo mmoja

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uingereza aizuru Sudan baada ya zaidi ya muongo mmoja

    Jan 22, 2021 04:49

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uingereza ameitembelea Sudan katika safari iliyotajwa kuwa ya aina yake kwa afisa huyo wa ngazi za juu wa nchi hiyo ya Ulaya ikiwa imepita zaidi ya muongo mmoja.

  • Wananchi wa Sudan waandamana kupinga uhusiano na Israel + Video

    Wananchi wa Sudan waandamana kupinga uhusiano na Israel + Video

    Jan 18, 2021 07:20

    Wananchi wa Sudan wameandamana mjini Khartoum, kupinga uamuzi wa nchi yao kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.

  • Vikosi vya Ethiopia vyasambazwa katika maeneo ya mipaka ya pamoja na Sudan

    Vikosi vya Ethiopia vyasambazwa katika maeneo ya mipaka ya pamoja na Sudan

    Jan 18, 2021 04:32

    Waziri wa Ulinzi wa Sudan ametangaza kuwa wanajeshi wa Ethiopia wamejiweka tayari katika mipaka ya pamoja na Sudan ili kukabiliana na wanajeshi wa nchi hiyo.

  • Watu wengine 32 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan

    Watu wengine 32 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur, Sudan

    Jan 17, 2021 04:32

    Watu wasiopungua 32 wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mapigano ya kikabila baina ya Waarabu na wasiokuwa Waarabu katika mkoa wa Darfur Magharibi nchini Sudan.

  • Sudan yamshukuru Salva Kiir kwa kujitolea kuipatanisha na Ethiopia

    Sudan yamshukuru Salva Kiir kwa kujitolea kuipatanisha na Ethiopia

    Jan 16, 2021 22:51

    Waziri Mkuu wa Sudan amemshukuru Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini kwa kujitolea kuwa mpatanishi kati ya nchi yake na Ethiopia.

  • Marufuku ya kupaa katika anga ya Qadarif nchini Sudan

    Marufuku ya kupaa katika anga ya Qadarif nchini Sudan

    Jan 15, 2021 03:35

    Maafisa wa Sudan wameanza kutekeleza sheria ya kuzuia ndege kupaa kwa masafa yaliyoainishwa katika anga ya mkoa wa Qadarif.

  • Wanamgambo wa Ethiopia waishambulia Sudan; watu kadhaa wauawa

    Wanamgambo wa Ethiopia waishambulia Sudan; watu kadhaa wauawa

    Jan 12, 2021 10:13

    Raia kadhaa wameuawa na wengine hawajulikani walipo kufuatia shambulizi lililofanywa na wanamgambo wa Kiethiopia huko Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS