-
Sudan yamteua mwanamke wa kwanza mkuu wa vyombo vya mahakama ili kupambana na ufisadi
Oct 10, 2019 23:45Sudan kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo ya Kiarabu na Kiislamu jana ilimteua mwanamke kama mkuu wa vyombo vyake vya mahakama. Hayo yameelezwa na Baraza la Uongozi wa Mpito la nchi hiyo.
-
Sudan yazikosoa Saudia na Imarati kwa kushindwa kutekeleza ahadi zao za kifedha
Oct 09, 2019 03:56Waziri wa Fedha wa Sudan amezikosoa Saudia na Imarati kwa kushindwa kutekeleza ahadi zao za kifedha kuihusu nchi hiyo.
-
Maafisa wa utawala uliopinduliwa Sudan wafutwa kazi
Oct 05, 2019 03:18Waziri Mkuu wa Serikali ya Mpito ya Sudan amewafuta kazi maafisa 67 wa serikali ambao wanafungamana na utawala uliopinduliwa wa Omar al Bashir.
-
WHO, UNICEF zatia nia ya kuwalinda na kipindupindu watu milioni 1.6 nchini Sudan
Oct 02, 2019 07:46Shirika la Afya Duniani (WHO) na lile la UNICEF yanashirikiana na maafisa wa Sudan kulinda usalama wa zaidi ya watu milioni moja na nusu kutokana na ugonjwa wa kipindupindu nchini humo.
-
Abdalla Hamdok asisitiza kuhitimishwa vurugu za ndani nchini Sudan
Sep 28, 2019 23:01Waziri Mkuu wa Serikali ya Mpito ya Sudan amesema kuwa, serikali yake inatoa kipaumbele juu ya suala la kuhitimishwa vurugu na machafuko ya ndani nchini humo na kuandaa mazingira mazuri ya kuelekea uchaguzi mkuu ujao.
-
Sudan yaunda kamati ya kutafuta ukweli kuhusu mauaji ya waandamanaji
Sep 23, 2019 03:42Waziri Mkuu wa Sudan ametoa agizo la kuundwa kamati maalumu ya kutafuta ukweli kuhusu mauaji dhidi ya waandamanaji yaliyofanywa na vikosi vya usalama Juni mwaka huu.
-
Baraza la Utawala Sudan na waasi kufanya mazungumzo
Sep 12, 2019 07:11Mazungumzo ya amani baina ya Baraza la Utawala nchini Sudan na makundi ya waasi yamepangwa kuanza Oktoba 14 hadi mwezi Disemba ili kurejesha utulivu nchini humo.
-
Misri yataka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Sudan
Sep 10, 2019 02:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametaka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Sudan, akisisitiza kuwa serikali mpya ya kiraia ya Khartoum inahitaji uungaji mkono wa jamii ya kimataifa na sio kuendelea kuwekewa vikwazo na kutengwa.
-
UN: Mvua na mafuriko yameua watu 78 nchini Sudan
Sep 08, 2019 07:45Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imesema kuwa mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini Sudan yameua makumi ya watu.
-
Serikali mpya ya Sudan yaahidi kuwashughulikia mafisadi
Sep 06, 2019 22:08Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Sudan ameahidi kwamba, serikali yake itawashtaki na kuwapandisha kizimbani mafisadi wote na kwamba, haitakuwa na huruma katika hilo.