-
Kutangazwa baraza jipya la mawaziri la Sudan; hatua nyingine kuelekea demokrasia
Sep 06, 2019 22:02Baada ya kupita miezi kadhaa ya machafuko ya kisiasa nchini Sudan, hatimaye baraza jipya la mawazi la serikali ya mpito limetangazwa na hivyo kuchukuliwa hatua nyingine ya kivitendo ya kukabidhiwa madaraka kidemokrasia kutoka kwa wanajeshi.
-
Waziri Mkuu wa Sudan achagua mawaziri 14 wa baraza la kwanza la mawaziri tangu kupinduliwa al Bashir
Sep 03, 2019 22:55Waziri Mkuu wa Sudan amewaidhinisha mawaziri 14 wa baraza lake la mawaziri; ambao ni wa kwanza kuteuliwa tangu kupinduliwa utawala wa muda mrefu wa rais wa nchi hiyo Omar al Bashir mwezi Aprili mwaka huu.
-
Gavana wa zamani wa mji mkuu wa Sudan, Khartoum atorokea nje ya nchi
Sep 02, 2019 08:46Maafisa wa Baraza la Utawala la Sudan wamesema, gavana wa zamani wa mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum ametorokea nje ya nchi.
-
Al Bashir akiri kupokea dola milioni 25 kutoka kwa mritihi wa ufalme wa Saudia
Aug 31, 2019 10:32Rais wa zamani wa Sudan, Omar al Bashir amekiri mahakamani kuwa alipokea mamilioni ya dola kinyume cha sheria kutoka kwa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman.
-
Waziri Mkuu wa Sudan achelewa kutangaza baraza la mawaziri
Aug 30, 2019 03:29Waziri mkuu mpya wa Sudan bado hajatangaza baraza lake jipya la mawaziri pamoja na kuwa alikuwa ametakiwa kuitangaza serikali yake kufikia jumatano.
-
Harakati ya Uhuru na Mabadiliko Sudan yawasilisha orodha ya wagombe wa nafasi za uwaziri
Aug 27, 2019 08:56Harakati ya Uhuru na Mabadiliko nchini Sudan imewasilisha orodha ya majina ya wagombea wake wa nafasi za uwaziri katika serikali ya mpito ya nchi hiyo.
-
Watu 37 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan
Aug 27, 2019 03:18Vyombo vya habari vya Sudan vimeripoti kuwa watu wasiopungua 37 wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea mashariki mwa nchi hiyo.
-
Serikali mpya ya Sudan yaomba kusaidiwa kifedha
Aug 25, 2019 03:26Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Sudan amesema kuwa, nchi hiyo inahitajia msaada wa kigeni wa dola bilioni nane kwa ajili ya kufufua uchumi wake.
-
Watu 54 wapoteza maisha katika mafuriko nchini Sudan
Aug 23, 2019 22:24Watu wasiopungua 54 wamepoteza maisha kufuatia mvua kubwa na mafuriko nchini Sudan huku watu wengine wengi wakiathiriwa vibaya kote nchini na janga hilo la kimaumbile.
-
Serikali ya Mpito ya Sudan yatangaza vipaumbele vyake, amani na changamoto za kiuchumi zawekwa mbele
Aug 23, 2019 06:10Waziri Mkuu wa Serikali ya Mpito ya Sudan ametangaza kuwa, serikali yake itatoa kipaumbele kwa masuala ya kusitisha vita, kuimarisha amani na kukabiliana na changamoto za kiuchumi.